Wewe takataka, nimegundua ni taahira. Usiniquote tena. Mbweha.Naona umeamua kuchukua nafasi ya 'Magonjwa mtambuka, au YEHODA au Kawe Alumni', kama siyo wewe uliyekuwa ukiyatumia majina hayo!
Umejipambanua kwelikweli safari hii!
Mungu ibariki Chadema
Zero brain Kama anavyofahamika huko Kanda ya ziwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]"Aboubakar Mbowe kama anavyofahamika huko Zanzibar"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ufisadi haufutwi wala kumalizwa duniani. Hapa si peponi au Mbinguni. Ni kama kusema magonjwa yenye tiba yaishe. That'd be a pipe dream.Katiba iliyopo ni bora.....
Ufisadi kamwe hautatoweka juu ya mgongo wa ardhi....kazi ya serikali zote ni kupambana/kupunguza ufisadi.....
Pamoja na US kuwa kinara dhidi ya ufisadi ,bado hawajaufuta....rejea kashfa za WATERGATE ,kashfa za mdororo wa uchumi(economic recession) 2008 na makampuni yao ya LEHMAN BROTHERS,AIG et Al!
Kiuhalisia ni manazi wa CCM na serikali ndio hupenda kudai kuwa hawana interest na siasa, vyama vya siasa wala wanasiasa. Watakwambia wao kwao ni utaifa mbele! Akili za ajabu sana hizi. Hata mtu ambaye hajaenda shule anajua hakuna hesabu ya aina hiyo.Ni maiti pekee ambazo hazijihusishi na siasa
Jibu hoja mkuu , povu halitokusaidia kituWewe takataka, nimegundua ni taahira. Usiniquote tena. Mbweha.
π€£π€£Ha ha ha kwa hiyo huko Kanda ya ziwa ,mwenyekiti wake Erthrocyte wala hana heshima anayomsifia humu ndani ?!!Zero brain Kama anavyofahamika huko Kanda ya ziwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ππMkuu unasali kwa Gwajima ?
Nipo kanda ya Ziwa. Usiongee usiyoyajua.[emoji1787][emoji1787]Ha ha ha kwa hiyo huko Kanda ya ziwa ,mwenyekiti wake Erthrocyte wala hana heshima anayomsifia humu ndani ?!!
EeeenHeee Heee.Wewe takataka, nimegundua ni taahira. Usiniquote tena. Mbweha.
Na kiuhakika "watu walishapania ku'deal naye", liwalo na liwe!Tatizo la SAMIA anataka awe tofauti na Magufuli lakini bado una uvuguvugu,hajionyeshi yupo upande upi bora Magufuli alijulikana ni dikiteta basi kwa badaye Watu wangetafuta njia ya Kudeal naye.
Aisee, una umri gani ?EeeenHeee Heee.
Umepata stahiki yako, na nimeridhika kwamba ujumbe umefika barabara kama nilivyotegemea.
Baada ya kufahamu kwamba wewe ni mmoja wa wale niliowataja hapo juu sioni sababu tena ya kujadili na wewe chochote, kwa sababu huna lolote la maana ninaloweza kujadiliana na wewe mchumia tumbo.
Lakini sikuachi bila ya kukupa ukweli wako: Your days are numbered, and that's why you're desperate.
Mama hatawavusha safari hii, ni lazima muondoke, au takataka kama wewe muondoke ndani ya chama hicho.
Watu akina nani ?!!!Na kiuhakika "watu walishapania ku'deal naye", liwalo na liwe!
Lakini Mungu ni mkubwa, kaamua apishie mbali shari yote.
π€£π€£Amen ππΎππΎππΎ
Huu ndio msimamo wangu
Raisi Samia Katiba ya Tanzania sio ya Raisi, wala CCM, wala Upinzani, ni ya Watanzania wote na huna mamlaka nayo. Kuapa kuilinda sivyo unavyofikiria
Kama kufuata sheria siku hizi ni uvunjifu wa amani au vichokochoko ndio tujue, na inasikitisha zaidi pale polisi wanaotakiwa kusimamia sheria za nchi wao ndio wanatumika kuwakamata wanaotii sheria, lazima tujinasue kwenye huu mkwamo ili kama taifa tusogee mbele kidemokrasia.