Babu Kingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 431
- 164
wananchi walishamchoka na walishamuandikia barua hawamtaki
Ameisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wananchi walishamchoka na walishamuandikia barua hawamtaki
Ameisha
Nadhani tunahangaika mno na mambo yasiyotuhusu. Haya mambo tuwaachie wenyewe waamue wanavyoona inafaa kwao. After all, kwenye ushindani kila mmoja anajaribu bahati yake. Kuna wanaojaribu na wanapita na kuna wanaojaribu na wanashindwa. Lakini wasiojaribu wanashindwa 'absolutely'.Mwenyekiti wa Chadema na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mh Mbowe leo ameandika barua rasmi ya kutia nia ya kugombea urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia Chadema.
Hii inafanya jumla ya wanachama walio tia nia kugombea nafasi ya Urais Tanzania kupitia Chadema kufikia wanne baada ya Tundu Lissu, Peter Msigwa na Lazaro Nyalandu kutangaza nia siku chache zilizopita.
My take
Kama kweli mh Mbowe ana nia ya dhati basi ni rasmi sasa Chama kitampitisha kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang'anyilo cha Urais, sidhani kama Kuna mtu atakuwa na ubavu wa kupiga kura ya hapana kumkataa mwenyekiti asipewe nafasi hiyo.
Tundu Lissu ajiandae upya kwa awamu nyingine.
Swali ni je mh Mbowe anatosha kwa nafasi hiyo ya Urais?
Ushawishi wake kwa watanzania ukoje?
Ana sera zenye nguvu za kushindana na Magufuli.?
Mwisho nitoe pongezi kwa Chadema kwa kuwa na Democrasia imara.
Mwenyekiti wa Chadema na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mh Mbowe leo ameandika barua rasmi ya kutia nia ya kugombea urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia Chadema.
Hii inafanya jumla ya wanachama walio tia nia kugombea nafasi ya Urais Tanzania kupitia Chadema kufikia wanne baada ya Tundu Lissu, Peter Msigwa na Lazaro Nyalandu kutangaza nia siku chache zilizopita.
My take
Kama kweli mh Mbowe ana nia ya dhati basi ni rasmi sasa Chama kitampitisha kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang'anyilo cha Urais, sidhani kama Kuna mtu atakuwa na ubavu wa kupiga kura ya hapana kumkataa mwenyekiti asipewe nafasi hiyo.
Tundu Lissu ajiandae upya kwa awamu nyingine.
Swali ni je mh Mbowe anatosha kwa nafasi hiyo ya Urais?
Ushawishi wake kwa watanzania ukoje?
Ana sera zenye nguvu za kushindana na Magufuli.?
Mwisho nitoe pongezi kwa Chadema kwa kuwa na Democrasia imara.
Wachaga watatukomesha aisee ainzia Kwa mhasibu Hadi mfagizi.Navuta picha siku hiyo anatangazwa Mbowe kuwa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania[emoji23][emoji23][emoji23].
Hakuvunjwa mguu bhana, alianguka akavunjika mguu.Ni haki yake, kumvunja mguu hakuwezi kumzuia asitimize mipango yake.
Kwani hata huyo ndiye atamuweza JPM?Huyu aligaragazwa na JK 2005 ndio atamuweza JPM kweli?!
Tupunguze utani wajameni!
Atakua moto wa kuotea hukohuko CDMNi haki yake, lakini kwa sasa Lissu ndio moto Wa kuotea mbali...
Taja majina yaoKule CCM watu wanapigwa marufuku kukaribia fomu ya Urais
Watamlamba membe dkk za majeruhi km walivyomsajili mamviCHADEMA ni waigizaji. Mpaka sasa hivi uwezi jua wamepanga nini na wataendelea kuigiza nini. Tuvute subira. Muda ni jibu.
Lisu mwenyewe bado kafichama mafichoni na aliwahi kusema hawezikanyaga bongo hadi ahakikishiwe usalama.Kwanini mwenyekiti asiache tu Lissu apite!
UMOJA NI USHINDI!
[emoji109] [emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji95]
Haraka ya nini mbona bado mapema sana subiri ufundishwe DEMOKRASIA na chama mahiri CHADEMAKwanini mwenyekiti asiache tu Lissu apite!
UMOJA NI USHINDI!
👊 ✌✌✌💥
unapumuliwa wewe 👉💦💦👌Ni Domo krasia hiyo