Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe atia nia kugombea urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Freeman Mbowe atia nia kugombea urais kupitia CHADEMA

Najua katiba ya JMT inasema Rais lazima awe na degree angalau moja. Sasa Mh. Mbowe kasoma lini kupata hiyo sifa?
Vijana someni kwa umakini. Katiba ya JMT haisemi hivyo. Hii ni katiba ya CCM waliyojiwekea wenyewe. Kwani Msigwa Ana degree? Mbona hukuhoji Msigwa unahoji Mbowe?
 
Naona kabisa huyu mbowe anakuja kumualibia Lissu kwenye Kura za maoni
 
Aisee hapo ni shida . Si ndo yule aliyelewa juzi Kati mpaka kadondoka au. Hapo upinzani unatipika.
 
Labda kwa vile anapigiwa kelele kwa kukandamiza demokrasia chamani,kaona azuge kugombea halafu ashindwe ili kuaminisha watu kuna demokrasia ndani ya chama!! Nadhani ndio mpango wa DJ huu
We Chopa una shida gani??
CDM wagombea wote wanatia nia atayepitishwa chama ndiye mgombea.
Sasa wewe inakuhusu nini, huko CCM pamoja na Pole pole kutoa greenlight hakuna anaye jitokeza, wote nyweee!!
Upo Mr Chopa, tupe majina bila kumsahau Bwn Membe!!
 
Hivi kuna chama cha upinzani cha kuishinda CCM kwa sasa? Kwa mikakati ipi hasa? Mwaka 2015 walibadilishia gia angani, wakakaribisha mafisadi ndani ya umoja wao wa UKAWA. Wananchi waliwaunga mkono sana mwaka ule, ila wamewavunja moyo waliowaunga mkono kwa kufanya maamuzi ambayo hayakuwa na tija. Waache tamaa na ubinafsi

Wakae chini, waangalie walipojikwaa na kupanga mikakati thabiti ya muda mfupi na mrefu ya kushinda uchaguzi. Kukishinda chama kilicho na dola na ambacho kimekaa madarakani kwa miaka mingi si jambo rahisi.
CCM siyo chama cha siasa Bali ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya dola kutawala.
 
Mwenyekiti wa Chadema na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mh Mbowe leo ameandika barua rasmi ya kutia nia ya kugombea urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia Chadema.

Hii inafanya jumla ya wanachama walio tia nia kugombea nafasi ya Urais Tanzania kupitia Chadema kufikia wanne baada ya Tundu Lissu, Peter Msigwa na Lazaro Nyalandu kutangaza nia siku chache zilizopita.

My take.
Kama kweli mh Mbowe ana nia ya dhati basi ni rasmi sasa Chama kitampitisha kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang'anyilo cha Urais, sidhani kama Kuna mtu atakuwa na ubavu wa kupiga kura ya hapana kumkataa mwenyekiti asipewe nafasi hiyo.
Tundu Lissu ajiandae upya kwa awamu nyingine.

Swali ni je mh Mbowe anatosha kwa nafasi hiyo ya Urais?

Ushawishi wake kwa watanzania ukoje?

Ana sera zenye nguvu za kushindana na Magufuli.?

Mwisho nitoe pongezi kwa Chadema kwa kuwa na Democrasia imara.
Swali ni je mh Mbowe anatosha kwa nafasi hiyo ya Urais?

Hatoshi.

sidhani kama Kuna mtu atakuwa na ubavu wa kupiga kura ya hapana kumkataa mwenyekiti asipewe nafasi hiyo.

Sasa unapongeza Demokrasia ipi?
 

Attachments

  • images (31).jpeg
    images (31).jpeg
    26.2 KB · Views: 1
  • images (30).jpeg
    images (30).jpeg
    12.2 KB · Views: 1
Mwenyekiti wa Chadema na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mh Mbowe leo ameandika barua rasmi ya kutia nia ya kugombea urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia Chadema.

Hii inafanya jumla ya wanachama walio tia nia kugombea nafasi ya Urais Tanzania kupitia Chadema kufikia wanne baada ya Tundu Lissu, Peter Msigwa na Lazaro Nyalandu kutangaza nia siku chache zilizopita.

My take.
Kama kweli mh Mbowe ana nia ya dhati basi ni rasmi sasa Chama kitampitisha kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang'anyilo cha Urais, sidhani kama Kuna mtu atakuwa na ubavu wa kupiga kura ya hapana kumkataa mwenyekiti asipewe nafasi hiyo.
Tundu Lissu ajiandae upya kwa awamu nyingine.

Swali ni je mh Mbowe anatosha kwa nafasi hiyo ya Urais?

Ushawishi wake kwa watanzania ukoje?

Ana sera zenye nguvu za kushindana na Magufuli.?

Mwisho nitoe pongezi kwa Chadema kwa kuwa na Democrasia imara.
Mbowe anajua akigombea ubunge hawezi kupata na itakuwa aibu Sana kwake na kwa chama chake. Lakini akigombea urais anajua akikosa haitakuwa aibu kwake na kwa chama chake.
Mbowe hayupo serious, mwisho wa siku wagombea wote watajitoa na kumwachia yule "mkimbizi". Kinachotafutwa hapa ni Kiki kuwa chama kina demokrasia!
 
Mbowe anajua akigombea ubunge hawezi kupata na itakuwa aibu Sana kwake na kwa chama chake. Lakini akigombea urais anajua akikosa haitakuwa aibu kwake na kwa chama chake.
Mbowe hayupo serious, mwisho wa siku wagombea wote watajitoa na kumwachia yule "mkimbizi". Kinachotafutwa hapa ni Kiki kuwa chama kina demokrasia!
Wewe ndo utamzuia kupita ubunge wa Hai!!

Huyo mento mliyemweka pale ndo atapiga kura??

Kwa taarifa yako hata huyo Dr mliye mhonga uwaziri hatarudi labda muibe kura!!
Mnadhani Watanzania ni wajinga??

Mnawahonga hao na kuwanunua wapiga kura wanawaangalia tu na sarakasi zenu!!
Labda muibe kura Ndg, elewa hivyo!!
 
Mwenyekiti wa Chadema na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni mh Mbowe leo ameandika barua rasmi ya kutia nia ya kugombea urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupitia Chadema.

Hii inafanya jumla ya wanachama walio tia nia kugombea nafasi ya Urais Tanzania kupitia Chadema kufikia wanne baada ya Tundu Lissu, Peter Msigwa na Lazaro Nyalandu kutangaza nia siku chache zilizopita.

My take
Kama kweli mh Mbowe ana nia ya dhati basi ni rasmi sasa Chama kitampitisha kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang'anyilo cha Urais, sidhani kama Kuna mtu atakuwa na ubavu wa kupiga kura ya hapana kumkataa mwenyekiti asipewe nafasi hiyo.
Tundu Lissu ajiandae upya kwa awamu nyingine.

Swali ni je mh Mbowe anatosha kwa nafasi hiyo ya Urais?

Ushawishi wake kwa watanzania ukoje?

Ana sera zenye nguvu za kushindana na Magufuli.?

Mwisho nitoe pongezi kwa Chadema kwa kuwa na Democrasia imara.
Vepe wewembona hueleweki?
 
Back
Top Bottom