MANDEVUMENGI
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 1,345
- 3,570
Mkuu yaan umewaza kama mm,halaf sipat picha daa[emoji23][emoji23]Navuta picha siku hiyo anatangazwa Mbowe kuwa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania[emoji23][emoji23][emoji23].
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu yaan umewaza kama mm,halaf sipat picha daa[emoji23][emoji23]Navuta picha siku hiyo anatangazwa Mbowe kuwa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania[emoji23][emoji23][emoji23].
Hakuna mkakati paleDemokrasia tupu ndani ya Chadema !
Bara washaanza kutangaza niaNimecheka sana aisee
Kwanini mwenyekiti asiache tu Lissu apite!
UMOJA NI USHINDI!
👊 ✌✌✌💥
Mara useme Lisu urais ndio ilikuwa sababu ya urais kujeruhiwa mara useme maigizo, hujui unaloongea.Anafanya maigizo ili kumuachia Lissu nafasi halafu ionekane kuna demokrasia
Hakuna cha TCU wala nini, vyuo vinavyotambulika duniani vinabaki hivyo. Nisome Harvard kisha nirudi hapa uniletee mambo ya TCU sijui nini?Mbona nilisikia hajafika kule wanapo ita mlimani na sifa ya Raisi kikatiba ni Lazima awe na jiwe (Degree) angalau moja - iliyo patikana kwenye Chuo Kikuu cha hapa nchini ila kama ni Chuo cha nje ya nchi lazima kiwe kinatambuliwa na TCU
Hutaki DJ unataka intapelenyua?Africa tutakuwa watu wa ajabu sana,ni nchi moja tu barani Africa inayoongozwa na DJ, nayo ni Madagascar chini ya andry Rajoelina sasa naona DJ mbowe anataka atembelee nyota ya DJ mwenzake wa Madagascar.
Anajidanganya,Tanzania bado sana hatujafikia kiwango cha kuongozwa na DJ ,yeye akafufue tu club billcannaz yake,huko atapiga mpunga mrefu sana
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Shukrani mkuu.Ukraine.
Unahisi anaweza kuwa hatari zaidi ya jiwe?Napiga picha Mbowe ndio Rais ukimkosoa tu hawatakuona tena
Msiojua siasa kaeni pembeni. Hapo kuna hesabu kali sanaKumbe kelele za akina Sumai na yule Mwambi zimebadili muelekeo, hadi mwenyechair anatia nia halafu akatwe kumpisha Lisu hii inamshikeli angewaachia aki pr , ujue akipigwa chini maana yake hakubaliki ndani ya chama
Hatashindwa! Yuko determinedHawezi kupitishwa. Hiyo ni kiki nyingine baada ya ile ya nyagi kubuma. Hapo anataka nyumbu wasahau kuwa yeye ni sultani na waamini kwamba chadema kuna demokrasia. Eti kwakuwa Mbowe kashindwa kwenye kinyang'anyiro cha kuteuliwa kugombea uraisi
Mkuu kifungu gani hicho kinachosema hivyo? Kama huna ushahidi basi jua kuna kingine kinasema lazima uwe na elimu ambayo siyo ya janja janja lakini hakifuatwi pia.Najua katiba ya JMT inasema Rais lazima awe na degree angalau moja. Sasa Mh. Mbowe kasoma lini kupata hiyo sifa?
Ni kuonyesha kuwa ipo DemokrasiaMsiojua siasa kaeni pembeni. Hapo kuna hesabu kali sana
Ni zaidi sana tu ya hapo. Tutafutane baadaeNi kuonyesha kuwa ipo Demokrasia
Final ni TL . Ila impact haijawa calculated. Utanikumbuka
Una miaka mingapi kijana.Mbona nilisikia hajafika kule wanapo ita mlimani na sifa ya Raisi kikatiba ni Lazima awe na jiwe (Degree) angalau moja - iliyo patikana kwenye Chuo Kikuu cha hapa nchini ila kama ni Chuo cha nje ya nchi lazima kiwe kinatambuliwa na TCU
Nakubali. Sasa hivi niko lindoni hapa, ila mchezo hautaki hasiraNi zaidi sana tu ya hapo. Tutafutane baadae