Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo wewe mzee 2015 Mbowe na Kikwete waligombea?Huyu aligaragazwa na JK 2015 ndio atamuweza JPM kweli?!
Tupunguze utani wajameni!
Lete taarifa ya kuvunjika mguu usijifiche kwenye kutia niaDemokrasia tupu ndani ya Chadema !
Huyu aligaragazwa na JK 2015 ndio atamuweza JPM kweli?!
Tupunguze utani wajameni!
Una akili sana.Mbowe hana mpango wa uraisi bali lengo ni kuongeza hamasa na pia kuonyesha demokrasia ndani ya CHADEMA ilivyo na hasa pale atapokosa hiyo nafasi yeye kama mwenyekiti na huo utakuwa ni uthibitisha kuwa yeye si dikteta kama inavyosemwa na ma-CCM na ndio maana kakosa licha ya yeye kuwa mwenyekiti.Mkuu mh. mbowe hawezi akaacha ubunge agombee uraisi.
Anawapa motisha tu vijana.
Hahahaaaa...... Napiga bapa la wasiojulikana bwashee!Acha uongo wewe mzee 2015 mbowe na Kikwete waligombea?
Kumbe mumepanga kumuua kabisa, CCM kweli ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya dola kuendelea kutawalaKumbe na wewe unamkubali Lissu, ondoa shaka.
mkuu Rais wako alituma ndege ziende kuchukua dawa ya corona kwa huyo DJ wa Madagascar😂😂😂😂Africa tutakuwa watu wa ajabu sana,ni nchi moja tu barani Africa inayoongozwa na DJ, nayo ni Madagascar chini ya andry Rajoelina sasa naona DJ mbowe anataka atembelee nyota ya DJ mwenzake wa Madagascar.
Anajidanganya,Tanzania bado sana hatujafikia kiwango cha kuongozwa na DJ ,yeye akafufue tu club billcannaz yake,huko atapiga mpunga mrefu sana
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hahahaaaa....... Nimerekebisha bwashee!Kati ya JK na JPM ni nani alipata ushindi mkubwa.? (kwa asilimia).
Japo umepuyanga mwaka, ilikuwa 2005!
Africa tutakuwa watu wa ajabu sana,ni nchi moja tu barani Africa inayoongozwa na DJ, nayo ni Madagascar chini ya andry Rajoelina sasa naona DJ mbowe anataka atembelee nyota ya DJ mwenzake wa Madagascar.
Anajidanganya,Tanzania bado sana hatujafikia kiwango cha kuongozwa na DJ ,yeye akafufue tu club billcannaz yake,huko atapiga mpunga mrefu sana
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hahahaaaa....... Nimerekebisha bwashee!
Kweli chadema sasa wanatuchanganya sana sisi makada,,hatujui tena tumsakame nani,,inabidi tusubiri kwanza tuoneCHADEMA ni waigizaji. Mpaka sasa hivi uwezi jua wamepanga nini na wataendelea kuigiza nini. Tuvute subira. Muda ni jibu.
Africa tutakuwa watu wa ajabu sana,ni nchi moja tu barani Africa inayoongozwa na DJ, nayo ni Madagascar chini ya andry Rajoelina sasa naona DJ mbowe anataka atembelee nyota ya DJ mwenzake wa Madagascar.
Anajidanganya,Tanzania bado sana hatujafikia kiwango cha kuongozwa na DJ ,yeye akafufue tu club billcannaz yake,huko atapiga mpunga mrefu sana
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app