Freeman Mbowe atua Mahakamani kunusuru nyumba ya mtoto wake

Freeman Mbowe atua Mahakamani kunusuru nyumba ya mtoto wake

Yaani mwenyekiti tu wa chama anadhulumu akiwa Rais si atapiga risasi mtu hadharani.

Wapinzani ni wabaya kuliko hata ccm .

Bora CCM mara elfu ila sio hao jamaa.

Ndio ukutane na yule jamaa alikua Meya sijui wa ubungo yule anaweza kukutoa ubongo aisee.
 
Yaani mwenyekiti tu wa chama anadhulumu akiwa Rais si atapiga risasi mtu hadharani.

Wapinzani ni wabaya kuliko hata ccm .

Bora CCM mara elfu ila sio hao jamaa.

Ndio ukutane na yule jamaa alikua Meya sijui wa ubungo yule anaweza kukutoa ubongo aisee.
 
Mbowe aache usanii alipe hiyo hela,mil 62 kwake si kitu👌kiongozi gani unakuwa dhulumati?
Ndo anataka uongozi wa nchi huyu?🤣🤣🤣
Watumishi watalipwa mishahara kweli kwa style yake hii??
Mi nawaambiaga watu hawa chadema sio watu haya kulip mishahara tu tena hela ndogo mtu anaona uchoyo leo tumpe nchi kweli
 
Mbowe aache usanii alipe hiyo hela,mil 62 kwake si kitu👌kiongozi gani unakuwa dhulumati?
Ndo anataka uongozi wa nchi huyu?🤣🤣🤣
Watumishi watalipwa mishahara kweli kwa style yake hii??
Hajaanza utapeli leo.

Kuna hela alikopa NPF (NSSF), alipotakiwa kulipa mkopo akakimbilia mahakamani kuomba zuio la mahakama.

Leo zaidi ya miaka 30 hajalipa deni.
 
Yaani mwenyekiti tu wa chama anadhulumu akiwa Rais si atapiga risasi mtu hadharani.

Wapinzani ni wabaya kuliko hata ccm .

Bora CCM mara elfu ila sio hao jamaa.

Ndio ukutane na yule jamaa alikua Meya sijui wa ubungo yule anaweza kukutoa ubongo aisee.
CCM ni wabaya, lakini haya matapeli ni hatari zaidi kuliko ccm.

Kama yaliuza ugombea kwa lowasa, ni kitu gani yatashindwa kufanya!
 
Mtoto wake mhuni na msanii kama baba yake tu. Yaani TZ tuna bahati mbaya, hakuna chama mbadala wa CCM, japo ndani ya vyama kuna baadhi ya watu wazuri.
Sasa kweli ukitaka kujua kipimo cha upumbaf wachukue wanaccm na mu wapime ndio mtajua walivyo wajinga.
Kutaka jambo hili la ajiranlifuate mkondo wake kuanzia CMA hadi kufika HC Kitengo cha kazi inakuwaje dhuluma badala ya kuheshimu mfumo wa sheria?
Hivi unaweza kulinganisha kesi ya kazi kama hii na zile za kudhulumu kama ile ya MAKONDA VS GSM kuhusu nyumba?
Eti anamfata tajiri na kumwambia Rais kasema umjengee nyumba kumbe anataka yeye na Magu alipokufa GSM akashtuka kuwa anatapeliwa.
Jamaa leo kapewa cheo tena basi karudi anataka nyumba na vitisho juu kutumia cheo.
Si huyo tuu, viongozi wengi wa CCM wamedhulumu mali za watu hadi mali za Chama wamedhulumu na ndio kisa cha kumchukia Dr Bashiru Ally hadi kesho.
Acheni unoko wenu Chama cha majizi.


View: https://youtu.be/bEL7M4H6B7A?si=-t_OblmVBq_wO_G8

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mtoto wake mhuni na msanii kama baba yake tu. Yaani TZ tuna bahati mbaya, hakuna chama mbadala wa CCM, japo ndani ya vyama kuna baadhi ya watu wazuri.
Sasa kweli ukitaka kujua kipimo cha upumbaf wachukue wanaccm na mu wapime ndio mtajua walivyo wajinga.
Kutaka jambo hili la ajiranlifuate mkondo wake kuanzia CMA hadi kufika HC Kitengo cha kazi inakuwaje dhuluma badala ya kuheshimu mfumo wa sheria?
Hivi unaweza kulinganisha kesi ya kazi kama hii na zile za kudhulumu kama ile ya MAKONDA VS GSM kuhusu nyumba?
Eti anamfata tajiri na kumwambia Rais kasema umjengee nyumba kumbe anataka yeye na Magu alipokufa GSM akashtuka kuwa anatapeliwa.
Jamaa leo kapewa cheo tena basi karudi anataka nyumba na vitisho juu kutumia cheo.
Si huyo tuu, viongozi wengi wa CCM wamedhulumu mali za watu hadi mali za Chama wamedhulumu na ndio kisa cha kumchukia Dr Bashiru Ally hadi kesho.
Acheni unoko wenu

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mbowe aache usanii alipe hiyo hela,mil 62 kwake si kitu👌kiongozi gani unakuwa dhulumati?
Ndo anataka uongozi wa nchi huyu?🤣🤣🤣
Watumishi watalipwa mishahara kweli kwa style yake hii??
Mbowe ni tapeli na ni jasusi la ccm
 
Hajaanza utapeli leo.

Kuna hela alikopa NPF (NSSF), alipotakiwa kulipa mkopo akakimbilia mahakamani kuomba zuio la mahakama.

Leo zaidi ya miaka 30 hajalipa deni.

We mpuuzi. Ule mkopo wa NSSF, alikopa sh 15m, akawa amelipa sh 50, wakawa eti wanamdai 75m!! Kama siyo wizi ni nini? Yote hayo ni njama na uharamia wa CCM wa kuwakomoa watu wanaowakomoa.

Si ajabu, hata hii kesi kukawa na mkono wa CCM ili kumwondoa Mbowe kwenye harakati zake za kupigania haki. Siadhani kama hao wafanyakazi wameshindwa kukubaliana na mwajili wao nje ya mahakama.
 
We mpuuzi.

Si ajabu, hata hii kesi kukawa na mkono wa CCM ili kumwondoa Mbowe kwenye harakati zake za kupigania haki. Siadhani kama hao wafanyakazi wameshindwa kukubaliana na mwajili wao nje ya mahakama.

Madai ya awali yalikuwa jumla ya Sh milioni 114 baada ya kukaa mezani kwenye majadiliano kwa pamoja kiwango hicho cha fedha kilishuka na kufikia Sh milioni 62.7.

Dudley alikubali kulipa fedha hizo kwa awamu tatu, Oktoba 30, Desemba 30, 2023 na awamu ya mwisho ilikuwa mwishoni Februari 2024 lakini hakulipa.


Sema kingine chawa wa mbowe.
 
Madai ya awali yalikuwa jumla ya Sh milioni 114 baada ya kukaa mezani kwenye majadiliano kwa pamoja kiwango hicho cha fedha kilishuka na kufikia Sh milioni 62.7.

Dudley alikubali kulipa fedha hizo kwa awamu tatu, Oktoba 30, Desemba 30, 2023 na awamu ya mwisho ilikuwa mwishoni Februari 2024 lakini hakulipa.


Sema kingine chawa wa mbowe.
Mbowe atuvushe 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Halafu kuna misukule inaambiwa wakaandamane eti anaipigania ,hii nchi kwa kweli kuna vilaza kupindukia aisee
Wajinga ndio mtaji mkubwa wa matapeli wanaojiita wanasiasa Tanzania.
 
Mbowe aache usanii alipe hiyo hela,mil 62 kwake si kitu[emoji108]kiongozi gani unakuwa dhulumati?
Ndo anataka uongozi wa nchi huyu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watumishi watalipwa mishahara kweli kwa style yake hii??
Bado wafanyakazi wa CHADEMA nao wanamdai
 
Back
Top Bottom