Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
UmesikikaTupo pamoja,uanzishwe utaratibu wa kukichangia chama kwaajili ya kujenga ofisi za chama kwa kila kijiji.Pia,uanzishwe mchakato wa kudai katiba mpya!
Kazi ya kuchosha hongera zakeOperesheni Haki ambayo imeingia Kanda ya Kati , kwa kuanzia na Mkoa wa Dodoma , sasa leo ni zamu ya Morogoro ambapo Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe atahutubia baraza la Mashauriano la Mkoa huo
View attachment 1813243
View attachment 1813242
Kwa taarifa tu ni kwamba Tayari moto wa operesheni haki na Chadema digital ushaingia mitaani ambapo vituo vya Usajili vilishaanza kuota kama Uyoga wa Ileje
View attachment 1813245
Shetani hajawahi kumshinda MunguMwendazake kahangaikaa na CDM weee, kaondoka katuachia CDM yetu huku ikizidi inang'aa na kupendwa zaidi na watanzania - Asante Mungu wa Mbinguni, kweli tumeuona mkono wako.
Makamanda, kanyaga twende!! anayechoka anatupisha !! kitaelewaka tu.
😂 😂 bavicha bana! lini mshawahi kupendwa, wabunge wa lowasa ndo wanawafanya mue na kiburiMwendazake kahangaikaa na CDM weee, kaondoka katuachia CDM yetu huku ikizidi inang'aa na kupendwa zaidi na watanzania - Asante Mungu wa Mbinguni, kweli tumeuona mkono wako.
Makamanda, kanyaga twende!! anayechoka anatupisha !! kitaelewaka tu.
Tapeli hilo ndani ya mji Moro kuweni macho.
Dhiki ulizonazo hazikuletwa na MboweKazi ya kuchosha hongera zake
Nyumbu wamelishwa limbwata na mangi.Nyumbu poleni Sana,by the time mangi anang'atuka fuko la hela halitakuwa hata na sh. 1- 300M kila mwezi kwa miaka 5 ( 2010-2015)
- 450M kila mwezi kwa miaka 5 ( 2015-2020)
Unfortunately, chama hakina ofisi wala asset yoyote. Muda wote ni michango tu.
Kweli mwamba ni mwamba.
Mungu hatakagi ujinga,muuaji wa CHADEMA akidhani atafanikiwa lengo lake,kafa na kuiacha CHADEMA ikiwa imara kuliko wakati wowoteOperesheni Haki ambayo imeingia Kanda ya Kati , kwa kuanzia na Mkoa wa Dodoma , sasa leo ni zamu ya Morogoro ambapo Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe atahutubia baraza la Mashauriano la Mkoa huo.
View attachment 1813243
View attachment 1813242
Kwa taarifa tu ni kwamba Tayari moto wa operesheni haki na Chadema digital ushaingia mitaani ambapo vituo vya Usajili vilishaanza kuota kama Uyoga wa Ileje
View attachment 1813245
Stupid Kama wewe Eti na wewe umechangia mada.[emoji23] [emoji23] bavicha bana! lini mshawahi kupendwa, wabunge wa lowasa ndo wanawafanya mue na kiburi
Tapeli limezikwa Chato mbwa weweTapeli hilo ndani ya mji Moro kuweni macho.
una akili ndogo sana !- 300M kila mwezi kwa miaka 5 ( 2010-2015)
- 450M kila mwezi kwa miaka 5 ( 2015-2020)
Unfortunately, chama hakina ofisi wala asset yoyote. Muda wote ni michango tu.
Kweli mwamba ni mwamba.
Ila nawazidi nyumbu wote wa mwamba.una akili ndogo sana !
jitathmini upyaIla nawazidi nyumbu wote wa mwamba.
Zulumati wa fedha za wanachama NSSF huko jehanam moto wa makaa ya mawe....😂 😂 bavicha bana! lini mshawahi kupendwa, wabunge wa lowasa ndo wanawafanya mue na kiburi
mdee tu kawashinda mmeishiwa pumzi hamna sera yaani nyie ndiyo mmekuwa mademu mdee kidumeWaliokua wanamwelekeza Mwendazake mbinu za kuumaliza CHADEMA kwasasa wameishiwa pumzi wanatapatapa.