mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
mjasiriamali wa kusajiri wanachama wapya[emoji28][emoji28].Sasa hata mabango ya Wajasiriamali nayo unayatolea macho ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mjasiriamali wa kusajiri wanachama wapya[emoji28][emoji28].Sasa hata mabango ya Wajasiriamali nayo unayatolea macho ?
Kamanda wa Anga anapasua mawingu.Operesheni Haki ambayo imeingia Kanda ya Kati, kwa kuanzia na Mkoa wa Dodoma, sasa leo ni zamu ya Morogoro ambapo Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe atahutubia baraza la Mashauriano la Mkoa huo.
View attachment 1813243
View attachment 1813242
Kwa taarifa tu ni kwamba Tayari moto wa operesheni haki na Chadema digital ushaingia mitaani ambapo vituo vya Usajili vilishaanza kuota kama Uyoga wa Ileje
View attachment 1813245
Suala la msingi umesema kuna wabunge wa Lowasa ndo wamesababisha CHADEMA ionekane inapendwa! Kwanini Lowasa akaipenda CHADEMA badala ya TADEA au ACT?! Lowasa alienda chama ambacho kilikuwa na nguvu! Ila unajidai kuweka emoji za kucheka wakati tunajua wafiwa mna sononeko!!mbowe ndo aliwaambia aliwapenda? 😂 😂 , tufungue petition ya chadema kushirikiana nalowasa au vp
Nasikia anapambana na moto wa volcano huko alikoMwendazake kahangaikaa na CDM weee, kaondoka katuachia CDM yetu huku ikizidi inang'aa na kupendwa zaidi na watanzania - Asante Mungu wa Mbinguni, kweli tumeuona mkono wako.
Makamanda, kanyaga twende!! anayechoka anatupisha !! kitaelewaka tu.
wacha avune alichokipanda!!Nasikia anapambana na moto wa volcano huko aliko
Suala la msingi umesema kuna wabunge wa Lowasa ndo wamesababisha CHADEMA ionekane inapendwa! Kwanini Lowasa akaipenda CHADEMA badala ya TADEA au ACT?! Lowasa alienda chama ambacho kilikuwa na nguvu! Ila unajidai kuweka emoji za kucheka wakati tunajua wafiwa mna sononeko!!
Aongezewe kabisawacha avune alichokipanda!!
Aligombea kupitia CHADEMA, UKAWA hakikuwa chama cha siasa!kwan kulikua na chadema ama UKAWA? alikua anagombea kuptia chadema ama kupitia ukawa??
Aligombea kupitia CHADEMA, UKAWA hakikuwa chama cha siasa!
Alipata kura nyingi kwa Watanzania, bila kujali itikadi zao. Ambacho hatukubaliani ni madai yako kwamba, CHADEMA haipendwi, imepaishwa na Lowasa! CHADEMA ilikuwepo kabla ya Lowasa, ipo baada ya Magu, na hata Wewe utaiacha!kwahio aligomba kura kwa wanachadema tu?
Alipata kura nyingi kwa Watanzania, bila kujali itikadi zao. Ambacho hatukubaliani ni madai yako kwamba, CHADEMA haipendwi, imepaishwa na Lowasa! CHADEMA ilikuwepo kabla ya Lowasa, ipo baada ya Magu, na hata Wewe utaiacha!
Lowasa aliikuta CHADEMA ikiwa na wabunge na ikisimamia halimashauri kadhaa! Pia, Lowasa alienda CHADEMA kwa kuwa ni chama kikubwa, jiulize kwanini hakwenda CHAUMA au TLP?ok tuseme hata watu wawili mnaweza kusema ni wengi, ila ni lini mlipata nguvu kubwa? si ni lowasa ama huamini, na lissu alisema mwenyewe want evidence?
Lowasa aliikuta CHADEMA ikiwa na wabunge na ikisimamia halimashauri kadhaa! Pia, Lowasa alienda CHADEMA kwa kuwa ni chama kikubwa, jiulize kwanini hakwenda CHAUMA au TLP?
unatumia nguvu nyingi sana kutetea chama ambacho nmeshahudumu apo katika ngazi mbali mbali before 2015, anyway usiwe kesi numbers dont lie
View attachment 1814344
View attachment 1814345
ukitaka kujua mchawi nani jibu hili apa
una swali lingine?
Wewe ndiyo unapiteza nguvu, aliyeapa kuiua CHADEMA kafa ameicha na wewe itakuwa hivyo hivyo!
Yeah, lakini kabla haijafa CHADEMA! Wafiwa mnajitia moyo lakini uhalisia ni huo, he is no more!sasa kifo ni kitu cha ajabu hata TB joshua amekufa amekiacha na mm ntaondoka sku yangu ikifika, same to you!
Yeah, lakini kabla haijafa CHADEMA! Wafiwa mnajitia moyo lakini uhalisia ni huo, he is no more!
Kuna mtu ana sura ya usaliti hapo, mmemgundua?![]()
Kwa taarifa tu ni kwamba Tayari moto wa operesheni haki na Chadema digital ushaingia mitaani ambapo vituo vya Usajili vilishaanza kuota kama Uyoga wa Ileje
Wanaotia Huruma zaidi ni wafiwa, CHADEMA inachapa mwendo!mnaatia huruma ila malizieni ile petition ndo kilichobaki