Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Mwendazake kahangaikaa na CDM weee, kaondoka katuachia CDM yetu huku ikizidi inang'aa na kupendwa zaidi na watanzania - Asante Mungu wa Mbinguni, kweli tumeuona mkono wako.
Makamanda, kanyaga twende!! anayechoka anatupisha !! kitaelewaka tu.
Sasa Mdee kawashinda vipi na wamemfukuza kwenye chama Chao!mdee tu kawashinda mmeishiwa pumzi hamna sera yaani nyie ndiyo mmekuwa mademu mdee kidume
Tudai katiba mpya; la sivyo mwisho wa siku kazi hii kubwa haitazaa matunda tunayohitaji - uhuru, haki, na maendeleo ya watu.Mwendazake kahangaikaa na CDM weee, kaondoka katuachia CDM yetu huku ikizidi inang'aa na kupendwa zaidi na watanzania - Asante Mungu wa Mbinguni, kweli tumeuona mkono wako.
Makamanda, kanyaga twende!! anayechoka anatupisha !! kitaelewaka tu.
Step and leap high warrior Mbowe. May God shower his blessings on you.Operesheni Haki ambayo imeingia Kanda ya Kati, kwa kuanzia na Mkoa wa Dodoma, sasa leo ni zamu ya Morogoro ambapo Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe atahutubia baraza la Mashauriano la Mkoa huo.
View attachment 1813243
View attachment 1813242
Kwa taarifa tu ni kwamba Tayari moto wa operesheni haki na Chadema digital ushaingia mitaani ambapo vituo vya Usajili vilishaanza kuota kama Uyoga wa Ileje
View attachment 1813245
Stupid Kama wewe Eti na wewe umechangia mada.
Ahsante sana MUNGU kwa kutuondolea Magufuli
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Zulumati wa fedha za wanachama NSSF huko jehanam moto wa makaa ya mawe....
Bado unalia ?
Ilikuaje Lowasa akatupenda?!π π bavicha bana! lini mshawahi kupendwa, wabunge wa lowasa ndo wanawafanya mue na kiburi
kwan unaumia na hio pichaBado unalia ?
Ilikuaje Lowasa akatupenda?!
Vip Mataga uteuzi mnauona kama rocket angani...sasa kifo si cha kila mtu, umekwepa nn apo? kwan ulidhan kua chadema ndo hutazima?
Hakika !Ukiwa Chadema moja kwa moja Mbinguni....
ππππVip Mataga uteuzi mnauona kama rocket angani...
chadema iko imara[emoji38][emoji38].Mungu hatakagi ujinga,muuaji wa CHADEMA akidhani atafanikiwa lengo lake,kafa na kuiacha CHADEMA ikiwa imara kuliko wakati wowote
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Sasa hata mabango ya Wajasiriamali nayo unayatolea macho ?chadema iko imara[emoji38][emoji38].
angalia bango la usajiri linavyoonyesha tafsiri ya ubabaishaji.
changeni pesa huko,acheni hekaya za faraja hizi.
Vip Mataga uteuzi mnauona kama rocket angani...