🤣🤣🤣🤣Chama Cha Kambale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Chama Cha Kambale.
..ni bora mara mia kuliko chama cha wapumbavu wanafiki wanatizamana tu hata mtu anaharibu hawawezi kumwambia.Shujaa Magufuli: Chadema ni Chama Cha vurugu na Pingapinga kila Kitu
Sasa wanapingana Wao Kwa Wao 😂
Kutokana na andiko la Yericko Nyerere kuna kitu kipya nimekipata.Je kama na yeye akiamua kutangaza nia ya Uenyekiti atakuwa anavunja Sheria?
Nyeti ya ndege haiitwi anus, inatwa cloaca.On a bad day the wind will blow and the anus of the chicken will be seen.
Unajua Mimi si kama Yerricko, ninatambua kwamba kila binadamu anayo mapungufu, Mambo mengine twaweza kukaa chini na kuyamaliza, Si lazima kwenda PublicKutokana na andiko la Yericko Nyerere kuna kitu kipya nimekipata.
Kumbe kuna vijitabia vya Lisu vinafunikwa na chama kwa gharama kubwa lkn havisemwi hadharani. Information is power, vijitabia vya wakubwa viwe vinaanikwa hadharani. Kwako Erythrocyte
Itakuwa demokrasia.Je kama na yeye akiamua kutangaza nia ya Uenyekiti atakuwa anavunja Sheria?
ok ngoja nirekebisheNyeti ya ndege haiitwi anus, inatwa cloaca.
Wewe unaitisha lini mkutano na waandishi wa habari!? Maana Yohana Mbatizaji anaiita Chadema eti ni Kambale Clan! Ahahahahaha!!!Chadema imeteka JF
Lwa hiyo chama changu ni Willy Pozee?Chama kinaishi kwa Kiki kama wasanii wa bongofleva, bila hivo kitasahaulika, haya mnyika tunasubili zamu yako kisha Erythrocyte wa jf atafuata.
Usiondoke JF, nitatangaza hapa hapaWewe unaitisha lini mkutano na waandishi wa habari!? Maana Yohana Mbatizaji anaiita Chadema eti ni Kambale Clan! Ahahahahaha!!!
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe muda huu anazungumza na wanachama wa chama hicho.
Updates...
Mbowe
CHADEMA inaoutofauti na vyama vingine vya upinzani kwa sababu kimeweza kuimili misukosuko kwa sababu kimejengwa ndani ya mioyo ya wana CHADEMA na ukiwaona kimejengwa kwenye mioyo ya wana CHADEMA
Mpuuzi mmoja tu wewe🐼
Haya
J J Mnyika ana Press Kesho saa 5
Kambale clan
Bado hamjasema Mbona?Hapo bado press conference ya mkabila Lema. Chama cha kihuni sana hiki. Hakina msemaji?
Usijali. Nimeweka notification alert!Usiondoke JF, nitatangaza hapa hapa
Anavunja katiba ya chamaJe kama na yeye akiamua kutangaza nia ya Uenyekiti atakuwa anavunja Sheria?