Freeman Mbowe: CHADEMA kufanya Mikutano Nchi nzima kuanzia Mwezi wa nne. Bado tunahitaji kujua waliomuua Aquilina

Freeman Mbowe: CHADEMA kufanya Mikutano Nchi nzima kuanzia Mwezi wa nne. Bado tunahitaji kujua waliomuua Aquilina

Uzuri mpaka uchagani walishawastukia uongo wenu, kauli yake haina tofauti na kauli ya mlevi kutishia nitakufumua huku mwenyewe hata kusimama hawezi. Taasisi anayoishutumu ni kubwa kuliko mtu na haitalegeza msimamo wa kulinda amani.
Kwahiyo unataka kumainisha kauli ya mbowe ni yauongo kama bwana yule aliye jenga mahakama za kimafisadi mpaka Leo hakuna kiongozi hata mmoja aliyeko jela kwa ufisadi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe anazidi kupungukiwa uwezo wa kufikiri!! Au pia washauri wake ni useless!!
Kutangaza mikutano ya hadhara kwenye kipindi hiki ni uwendawazimu.

Mkipigwa mnalialia majeshi yanawaonea!! Kweli kwa tension ya Corona nyie mnataka muendeshe mikutano!!?? You ain't serious

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ndio kwanza munaringia dola

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutakutana kwenye magroup ya what’s up. Kila mwana Chadema awe na smart phone
Hii ilitakiwa iwe imeanza siku nyingi.

Viongozi wote kule mitaani walitakiwa wawe na vitendea kazi, kama 'smartphone', na hao ndio wangekuwa wanaeneza taarifa zote maeneo yale toka makao makuu.

Vita ni mbinu, sio kutumia maguvu tu kila mara.
 
Ilitakiwa ianze january.

Mwezi wa nne unawapa watesi wako sababu za kujipanga.

Sent using Jamii Forums mobile app

wasipokuwa makini ku-handle hili suala kwa hekima

Wote wataishia behind bars

Sasa hivi ni spark tu ...... usa na human rights wanawabeba mzee baba na akina DAB, mambo sasa nk kulee Holland

Trust me tupo kwenye breaking point utawala wa ccm wakiziba masikio.....Wallah Pompeo na human Right wanakula vichwa.
 
Yaani pamoja na kuhudhuria mahakamani muda wote huo bado mwenyekiti hajui nani alifanya hilo tukio na ushiriki wake ni namna gani?>?
 
Asie funzwa na ***** hufunzwa na walimwengu asie sikia la mkuu huvunjika guu naona wanatafuta vipigo na jela kwa lazima

Sent using Jamii Forums mobile app

Endapo kitanuka nchi nzima kwa taarifa yako hatuna wakuzuwia maafa pande zote mbili

1. Polisi watauwa raia nikweli kabisa kwa mabomu, bunduki nk ( Walio madarakani will be held responsible)

2. Baba yangu, au ndugu yangu akiuwawa, ujuwe polisi 90% wanaishi mitaani na familia zao, hapo ndipo kila polisi atakuta tofauti nyumbani anaporudi. (Tunaishi pamoja kwa Utanzania wetu, ukimuuwa ndugu yangu nawewe usirudi kabisaa hamia hukohuko)

Jambo la msingi hapa sio ubabe watu wakae wajadiliane nakupata muafaka kwa faida na maslahi ya nchi yetu.

CCM haina hati miliki ya Taifa hili Bali popote kama watanzania tunahitaji kuheshimu katiba, kuheshimu haki za msingi za binadamu na kuheshimu maoni bora ya raia.

Polisi ni watanzania na ndugu zetu kaka, dada, na baba zetu.... lakini kwanini uuwee mdogo au baba yangu eti tu kulinda maslahi ya ccm hatakama nikinyume cha katiba? Halafu mimi nikusalimu asbh!!!!
 
Endapo kitanuka nchi nzima kwa taarifa yako hatuna wakuzuwia maafa pande zote mbili

1. Polisi watauwa raia nikweli kabisa kwa mabomu, bunduki nk ( Walio madarakani will be held responsible)

2. Baba yangu, au ndugu yangu akiuwawa, ujuwe polisi 90% wanaishi mitaani na familia zao, hapo ndipo kila polisi atakuta tofauti nyumbani anaporudi. (Tunaishi pamoja kwa Utanzania wetu, ukimuuwa ndugu yangu nawewe usirudi kabisaa hamia hukohuko)

Jambo la msingi hapa sio ubabe watu wakae wajadiliane nakupata muafaka kwa faida na maslahi ya nchi yetu.

CCM haina hati miliki ya Taifa hili Bali popote kama watanzania tunahitaji kuheshimu katiba, kuheshimu haki za msingi za binadamu na kuheshimu maoni bora ya raia.

Polisi ni watanzania na ndugu zetu kaka, dada, na baba zetu.... lakini kwanini uuwee mdogo au baba yangu eti tu kulinda maslahi ya ccm hatakama nikinyume cha katiba? Halafu mimi nikusalimu asbh!!!!
Swadakta !
 
Duuuh...
Nguvu ya umma isubiri kwanza tupambane na Corona-virus (Covid-19)!!
 
Hii ilitakiwa iwe imeanza siku nyingi.

Viongozi wote kule mitaani walitakiwa wawe na vitendea kazi, kama 'smartphone', na hao ndio wangekuwa wanaeneza taarifa zote maeneo yale toka makao makuu.

Vita ni mbinu, sio kutumia maguvu tu kila mara.
Hatujachelewa Huawei za kutosha zi nunuliwe na kila mwenyekiti, diwani awape watu wake. Aluta continue
 
Corona imeshahribu. Hakutakua na mkutano wala nini. Shughuli nyingi za kukutanisha watu wengi zitazuiliwa.
Mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA NA WAANDISHI, Machi 16,2020.


====
Updates
View attachment 1389820

“Watanzania walifikiri mashtaka yetu yanahusika na kumuua Akwilina, hatuwezi kufunga faili la kesi ile bila kujua hatma ya Akwilina”.Mhe.Mbowe.

“Waliohusika wasiachwe wakacheza na maisha ya watanzania, hawa watu wachukue hatua mkononi kuwajua askari wote waliomuua Akwilina" Mhe.Mbowe.

“Mimi nikiwa jela kule nikiwa shambani zimepigwa risasi zaidi ya 13, za moto,wanapambana na Halima Mdee, Ester Bulaya, na Jesca Kishowa, hawa ni wamama, hata katika sheria za magereza wanaoruhusiwa kushughulika na wanawake ni wanawake tu, lakini hapa ni wanaume wenye vifua, wenye silaha, wanamshughulikia Halima wamemuweka mtu kati”. Mhe. Mbowe.

Mimi na viongozi wenzangu waandamizi tulipohudhuria sherehe za Uhuru uwanja wa Kirumba Mwanza nilipopewa nafasi ya kusalimia na nikamtaka rais aone ulazima wa kutengeneza maridhaino kuleta maridhiano… alisema nimesikia”.Mhe.Mbowe.

Sisi tulipoyataka maridhiano ya Kitaifa hayakuwa kielelezo cha uoga, ilikuwa kielelezo cha kuitaka amani katika nchi yetu kwa sababu tunaona tunakokwenda siko…”.Mhe.Mbowe.
''Natangaza rasmi kuwa kuanzia mwezi ujao wa nne tutaanza kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima bila kujali kuna katazo la Rais Magufuli na tuko tayari kwa lolote, tumekuwa waungwana vya kutosha na sasa hatutarudi nyuma kwenye hili'' - Freeman Mbowe

"Nawatangazia viongozi wote wa Chadema nchi nzima kuanzia Majimbo, Kanda, Kata, Vijiji na Mitaa kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima, kwanza ni kudai tume huru na pili ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu"
"Subira yetu, uvumilivu wetu na upole wetu umedharauliwa vya kutosha. Kama watatumia polisi na magereza kutufunga wote, watufunge. Tuko tayari kwa lolote. Kama wanafikiri mabomu, risasi na jela ni suluhu, basi wakatumie," Mbowe, Mwenyekiti Chadema


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA NA WAANDISHI, Machi 16,2020.


====
Updates
View attachment 1389820

“Watanzania walifikiri mashtaka yetu yanahusika na kumuua Akwilina, hatuwezi kufunga faili la kesi ile bila kujua hatma ya Akwilina”.Mhe.Mbowe.

“Waliohusika wasiachwe wakacheza na maisha ya watanzania, hawa watu wachukue hatua mkononi kuwajua askari wote waliomuua Akwilina" Mhe.Mbowe.

“Mimi nikiwa jela kule nikiwa shambani zimepigwa risasi zaidi ya 13, za moto,wanapambana na Halima Mdee, Ester Bulaya, na Jesca Kishowa, hawa ni wamama, hata katika sheria za magereza wanaoruhusiwa kushughulika na wanawake ni wanawake tu, lakini hapa ni wanaume wenye vifua, wenye silaha, wanamshughulikia Halima wamemuweka mtu kati”. Mhe. Mbowe.

Mimi na viongozi wenzangu waandamizi tulipohudhuria sherehe za Uhuru uwanja wa Kirumba Mwanza nilipopewa nafasi ya kusalimia na nikamtaka rais aone ulazima wa kutengeneza maridhaino kuleta maridhiano… alisema nimesikia”.Mhe.Mbowe.

Sisi tulipoyataka maridhiano ya Kitaifa hayakuwa kielelezo cha uoga, ilikuwa kielelezo cha kuitaka amani katika nchi yetu kwa sababu tunaona tunakokwenda siko…”.Mhe.Mbowe.
''Natangaza rasmi kuwa kuanzia mwezi ujao wa nne tutaanza kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima bila kujali kuna katazo la Rais Magufuli na tuko tayari kwa lolote, tumekuwa waungwana vya kutosha na sasa hatutarudi nyuma kwenye hili'' - Freeman Mbowe

"Nawatangazia viongozi wote wa Chadema nchi nzima kuanzia Majimbo, Kanda, Kata, Vijiji na Mitaa kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima, kwanza ni kudai tume huru na pili ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu"
"Subira yetu, uvumilivu wetu na upole wetu umedharauliwa vya kutosha. Kama watatumia polisi na magereza kutufunga wote, watufunge. Tuko tayari kwa lolote. Kama wanafikiri mabomu, risasi na jela ni suluhu, basi wakatumie," Mbowe, Mwenyekiti Chadema

Karibu bwana Mbowe
Unafikiri wewe ndiyo mwanasiasa wakwanza Tanzania?
Hata nusu ya Mtikila au Mrema bado hujafikia!
Utakamatwa na utafungwa, kama Segerea umeona bustani ukafiri ni shamba, sasa utaenda Kitqengule uone shamba lenyewe
Na nakuhakikdishia baada ya hapo utajifunza kuheshimu mamlaka
 
Mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA NA WAANDISHI, Machi 16,2020.


====
Updates
View attachment 1389820

“Watanzania walifikiri mashtaka yetu yanahusika na kumuua Akwilina, hatuwezi kufunga faili la kesi ile bila kujua hatma ya Akwilina”.Mhe.Mbowe.

“Waliohusika wasiachwe wakacheza na maisha ya watanzania, hawa watu wachukue hatua mkononi kuwajua askari wote waliomuua Akwilina" Mhe.Mbowe.

“Mimi nikiwa jela kule nikiwa shambani zimepigwa risasi zaidi ya 13, za moto,wanapambana na Halima Mdee, Ester Bulaya, na Jesca Kishowa, hawa ni wamama, hata katika sheria za magereza wanaoruhusiwa kushughulika na wanawake ni wanawake tu, lakini hapa ni wanaume wenye vifua, wenye silaha, wanamshughulikia Halima wamemuweka mtu kati”. Mhe. Mbowe.

Mimi na viongozi wenzangu waandamizi tulipohudhuria sherehe za Uhuru uwanja wa Kirumba Mwanza nilipopewa nafasi ya kusalimia na nikamtaka rais aone ulazima wa kutengeneza maridhaino kuleta maridhiano… alisema nimesikia”.Mhe.Mbowe.

Sisi tulipoyataka maridhiano ya Kitaifa hayakuwa kielelezo cha uoga, ilikuwa kielelezo cha kuitaka amani katika nchi yetu kwa sababu tunaona tunakokwenda siko…”.Mhe.Mbowe.
''Natangaza rasmi kuwa kuanzia mwezi ujao wa nne tutaanza kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima bila kujali kuna katazo la Rais Magufuli na tuko tayari kwa lolote, tumekuwa waungwana vya kutosha na sasa hatutarudi nyuma kwenye hili'' - Freeman Mbowe

"Nawatangazia viongozi wote wa Chadema nchi nzima kuanzia Majimbo, Kanda, Kata, Vijiji na Mitaa kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima, kwanza ni kudai tume huru na pili ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu"
"Subira yetu, uvumilivu wetu na upole wetu umedharauliwa vya kutosha. Kama watatumia polisi na magereza kutufunga wote, watufunge. Tuko tayari kwa lolote. Kama wanafikiri mabomu, risasi na jela ni suluhu, basi wakatumie," Mbowe, Mwenyekiti Chadema

Nami naanza kampeni binafsi
Mh rais mwaka huu gombea pitia CHADEMA ebu iache Ccm na ufisadi wake,clip yako moja imeniumiza sana jinsi ulivyo likuta litz .
Tafadhali Mh zingatia ushauri wangu
 
Back
Top Bottom