Karibu bwana Mbowe
Unafikiri wewe ndiyo mwanasiasa wakwanza Tanzania?
Hata nusu ya Mtikila au Mrema bado hujafikia!
Utakamatwa na utafungwa, kama Segerea umeona bustani ukafiri ni shamba, sasa utaenda Kitqengule uone shamba lenyewe
Na nakuhakikdishia baada ya hapo utajifunza kuheshimu mamlaka
corona ni wiki 2 tuCorona imeshahribu. Hakutakua na mkutano wala nini. Shughuli nyingi za kukutanisha watu wengi zitazuiliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo Mbowe katema madini sana..The Great Mbowe
Kura huwa zinatosha hatuna wasiwasi
Tume huru ina vigezo gani?Mngekuwa mnaweza hoja msingekuwa mnanajisi box la kura. Tunataka tume huru nya uchaguzi fullstop.
Mbowe amedai wakati alipokuwa shambani hapo gerezani Segerea ndipo aliposikia milio ya risasi za bunduki.
Nimejiuliza tu Segerea gerezani kuna shamba pale?
Anayejua Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Tume huru ina vigezo gani?
Kuijadili ni kuongeza hofu kwa baadhi ya watu.Kwani shamba nini ?
Jinsi ujuavyo bwashee tofaut zake min?
Ila bwashee tuache tujadili corona nasio hotuba ya mtu
Hahahaaaaa....... Nielimishe bwashee!
tumekuelewa baba...tupo tayari kufa kwa ajili ya haki...Mkutano wa Mwenyekiti wa CHADEMA NA WAANDISHI, Machi 16,2020.
https://www.facebook.com/video.php?v=213256293111255
====
Updates
View attachment 1389820
“Watanzania walifikiri mashtaka yetu yanahusika na kumuua Akwilina, hatuwezi kufunga faili la kesi ile bila kujua hatma ya Akwilina”.Mhe.Mbowe.
“Waliohusika wasiachwe wakacheza na maisha ya watanzania, hawa watu wachukue hatua mkononi kuwajua askari wote waliomuua Akwilina" Mhe.Mbowe.
“Mimi nikiwa jela kule nikiwa shambani zimepigwa risasi zaidi ya 13, za moto,wanapambana na Halima Mdee, Ester Bulaya, na Jesca Kishowa, hawa ni wamama, hata katika sheria za magereza wanaoruhusiwa kushughulika na wanawake ni wanawake tu, lakini hapa ni wanaume wenye vifua, wenye silaha, wanamshughulikia Halima wamemuweka mtu kati”. Mhe. Mbowe.
Mimi na viongozi wenzangu waandamizi tulipohudhuria sherehe za Uhuru uwanja wa Kirumba Mwanza nilipopewa nafasi ya kusalimia na nikamtaka rais aone ulazima wa kutengeneza maridhaino kuleta maridhiano… alisema nimesikia”.Mhe.Mbowe.
Sisi tulipoyataka maridhiano ya Kitaifa hayakuwa kielelezo cha uoga, ilikuwa kielelezo cha kuitaka amani katika nchi yetu kwa sababu tunaona tunakokwenda siko…”.Mhe.Mbowe.
''Natangaza rasmi kuwa kuanzia mwezi ujao wa nne tutaanza kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima bila kujali kuna katazo la Rais Magufuli na tuko tayari kwa lolote, tumekuwa waungwana vya kutosha na sasa hatutarudi nyuma kwenye hili'' - Freeman Mbowe
"Nawatangazia viongozi wote wa Chadema nchi nzima kuanzia Majimbo, Kanda, Kata, Vijiji na Mitaa kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima, kwanza ni kudai tume huru na pili ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu"
"Subira yetu, uvumilivu wetu na upole wetu umedharauliwa vya kutosha. Kama watatumia polisi na magereza kutufunga wote, watufunge. Tuko tayari kwa lolote. Kama wanafikiri mabomu, risasi na jela ni suluhu, basi wakatumie," Mbowe, Mwenyekiti Chadema
Mamlaka pekee ni ya wananchi.Karibu bwana Mbowe
Unafikiri wewe ndiyo mwanasiasa wakwanza Tanzania?
Hata nusu ya Mtikila au Mrema bado hujafikia!
Utakamatwa na utafungwa, kama Segerea umeona bustani ukafiri ni shamba, sasa utaenda Kitqengule uone shamba lenyewe
Na nakuhakikdishia baada ya hapo utajifunza kuheshimu mamlaka
Watachaguliwa na nani na nani atawalipa mishahara yao na gharama zingine bila kuathiri dhamira na wajibu wao?Haifuati matakwa ya rais, hilo ni moja na kubwa. Kitendo chochote cha tume kuona kuna figisu isimtangaze mshindi, na iwe na nguvu ya kukiondoa chama chenye mizengwe kwenye uchaguzi. Wajumbe wa tume wasiondolewe kwa utashi wa rais bali kwa tume maalumu inayoaminika na itakayoundwa na vyama vyote, viongozi wa dini na majaji wenye kukubalika na wasio na utata wowote.
Kama serikali itatangaza hatua za dharura dhidi ya ugonjwa wa Corona ikiwemo kuzuia mikusanyiko ya umati wa watu..nawasihi viongozi wa kisiasa kuacha mara moja mikutano hiyo.
Watachaguliwa na nani na nani atawalipa mishahara yao na gharama zingine bila kuathiri dhamira na wajibu wao?
Mbowe ni kiongozi mwenye maonoLeo Mbowe katema madini sana..
Meko yupo huko anakusanya Makundi ya watu barabarani huku anawaambia watu wasikusanyike kuna korona..
Pumbafff sana.