Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawaezi vunja amani. Kazi ya chama pinzani ni kukosoa serikali kuu na kurekebisha mapungufu. Ndio maana vikaanzishwa na kupitishwa kisheria. Kama unazuia chama pinzani maana yake hujiamini au maana yake kuna mabaya mengi nyuma ya pazia hutaki wananchi wajue.Huwezi kuwaachia wapotoshaji, bana mbavu mpaka mwisho wahuni kabisa. Tz inahitaji sera mbadala za maendeleo na si kuhamasisha uvunjifu wa amani
Ajenda hiyo iliondoka na Dr Slaa. Wamebaki watukanaji tu. Hivi leo Mh. Mbowe aliongerea sera gani mbadala???Hawaezi vunja amani. Kazi ya chama pinzani ni kukosoa serikali kuu na kurekebisha mapungufu. Ndio maana vikaanzishwa na kupitishwa kisheria. Kama unazuia chama pinzani maana yake hujiamini au maana yake kuna mabaya mengi nyuma ya pazia hutaki wananchi wajue.
Washindane vip wakati mmewafunga kisiasa eti wasifanye siasa ila nyie kutwa nzima mnafanya siasaTume huru haipigi kura, njooni tushindane kwa hoja.
Ngoja tuone hiyo April itakuwaje.Maana kuna walalahoi kuumia huku Mbowe akila wine nyumbani.Tumechoka na maigizo yenu ,
Hivi kulialia na kutoa matamko ndiyo ahadi yenu kwa wananchi??
Kutwa kulialia utafikiri ni mtoto wa mwisho aliyebemendwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe atalazimisha tu hata kama kuna corona yeye ni kamanda, hajali.dah safari hii watatumia hoja ya corona kukataza mikutano,...
Hoja gani?...za kupiga watu na kuuwa watuTume huru haipigi kura, njooni tushindane kwa hoja.
Amewaelekeza kufanya mikusanyiko ili wafeAmewatahadharisha wafuasi wake kuhusu virusi vya corona?
Sera za maendeleo mkuuHoja gani?...za kupiga watu na kuuwa watu
Tunamwelewa wacha atoe tamko nyie c mnatoa risasi za dolaTumechoka na maigizo yenu ,
Hivi kulialia na kutoa matamko ndiyo ahadi yenu kwa wananchi??
Kutwa kulialia utafikiri ni mtoto wa mwisho aliyebemendwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anawadanganya huyo! Tarehe ikifika atasema korona.Mbowe bhana anajua kabisa mikusanyiko imezuiwa kwa ajili ya kudhibiti Corona lakini yeye anatangaza mikutano mwezi ujao!
sasa kama hawaogopi jela mbona walikuwa wanalia wachangiwe watoke?
wacha tu iwe droo c anaona ccm na wao wanafanya mikutanoila tuone na kama wao ccm hawafanyi mikutano
Mbowe atalazimisha tu hata kama kuna corona yeye ni kamanda, hajali.
Tusubiri tuone itakuwaje.wacha tu iwe droo c anaona ccm na wao wanafanya mikutano
Atatangaza koronanawaambia subirini mtaona huyo atawaambia waanze yeye hafanyi mikutano nyie migwe mpaka mchakae dadeki