Makuzamkumbo
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 501
- 519
Mbona mtu akisomesha watoto wake nje mnakua na makasiriko kana kwamba kawazuia na nyie kumsomesha wa kwenu nje au mnafikiri yeye ndio kawasababishia shida? Yeye anawapambania elimu iboreshwe Ili watoto wenu wapate elimu Bora bado mnamtukana kana kwamba anaathirika na elimu mbovu mnayopewaHuyo bwege wenu Mbowe anawafariji yeye hana mtoto anaesoma shule za Kata, wanae Marekani. Kauli ya kizuzu na kibazazi hio no English no international linkage
Kijana mpumbavu umekuja na I'd mpya .Sasa umeandika Nini hapa? Tatizo lako ni chadema wasishike Dola?
Unafkiri umaskini na dhiki zako zitaisha Kwa wao kutokushika Dola? Mtu anawapigania watoto wenu wapate elimu Bora waweze kupambana kwenye solo la ajira na fursa nyingine duniani wewe unawaza ujinga
Elimu bora ndo hawana hata Ubunifu sema kukariri na kuboost kwa kuwapeleka nje .Tafutia watoto elimu Bora acha wivu, au umetaka na wewe kupeleka wa kwako kusoma nje ukazuiwa
kujua lugha za kimataifa sio ubora wa elimu yenu, hicho ni kitu kingine kabisa. Mjukuu wangu anasoma shule ya awali, anajua kuongea kiingerza kizuri kuliko mimi babu yake lakini hawezi hesabu kabisa.Kweli kabisa mfano mzuri ulio hai sasahivi nchi nyingi za kusini mwa Afrika zinaingiza mtaala wa somo la kiswahili mashuleni. Nina imani walimu wengi watakaopata nafasi za kufundisha kiswahili ktk nchi hizo ni wakenya kwa sababu ya uwezo wao wa kuzungumza kiingereza. Kutojua kuzungumza kiingereza kwa ufasaha, tunashindwa kuchangamkia fulsa nyingi zinazojitokeza. Huo ni ukweli mchungu
Hao ndio chimbuko la ushoga hapa nchini. Anarudi hapa kashachezewa huko nje anarudi kuwaambukiza wengine. Kuna watoto wadogo wanasoma Canada na kwingine huko, wakirudi hapa tayari marinda hawana lakini wanabana pua kuongea kiingereza vizuri (fluent)Mbona mtu akisomesha watoto wake nje mnakua na makasiriko kana kwamba kawazuia na nyie kumsomesha wa kwenu nje au mnafikiri yeye ndio kawasababishia shida? Yeye anawapambania elimu iboreshwe Ili watoto wenu wapate elimu Bora bado mnamtukana kana kwamba anaathirika na elimu mbovu mnayopewa
Acha ujinga, kiingereza ni lugha ya dunia na kama ukijui basi ukitoka nje ya nchi utapata taabu sanakujua lugha za kimataifa sio ubora wa elimu yenu, hicho ni kitu kingine kabisa. Mjukuu wangu anasoma shule ya awali, anajua kuongea kiingerza kizuri kuliko mimi babu yake lakini hawezi hesabu kabisa.
Muwe mnasoma na kuelewa content kabla ya kujibu.Kwa hiyo Kwa kuwa ndugu zako hawataki kufanya kazi nje unafkiri ni kila mtu hataki au
Duniani lugha ni kiingereza tu? Acheni ushambenga. Warusi wanatumia lugha gani, wachina je, na wajerumani?Kingereza kinaturudisha nyuma sana.
Hivi Mtu ambaye hajui Kingereza unaweza mpatia Kazi gani? Kimataifa Mtu anayepinga hili Jambo hayupo sahihi.
kwani kile kiingereza cha wahindi kinaeleweka basi? mbona wako kila kona ya dunia wanadunda. WaCuba wanakuja kwetu kutibu, kufundisha jeshi letu, nk wanajua kiingrereza gani wale? Kinachotakiwa ni maarifa na ujuzi imara usiokuwa wa kupapasa baaaasi!! Nilikuta na waiter mmoja kwenye mgawaha wa kichina kule marekani, hajui kiingereza kizuri lakini ile smile yake na uharaka wake katika kukuhudumia hutaacha kulidhishwa na kazi yake, utaacha tip ya kutosha mwenyewe bila shuruti.Duniani lugha ni kiingereza tu? Acheni ushambenga. Warusi wanatumia lugha gani, wachina je, na wajerumani?
Kwahiyo taifa likijua kuongea kiingereza ndio limeelimika sana, pumbeevu!! Kuongea sana Kiingereza bila kuwa na ujuzi wa kutosha ni kuwaandaa watu wenu kuwa manamba kwenye english speaking countries. Tunao wamalawi wengi sana hapa tanzania wanaofanya kazi za ndani kwa wazungu kwasababu wanajua kuongea kiingereza. Hivi tunataka watu wetu tuwaandae kwenda kuzibua mitaro, kuchuma ma apple, kubeba mizigo kwenye stoo na malls huko Marekani?. Wahindi na wachini hawajui kiingereza kizuri lakini wana ujuzi mkubwa kwenye IT, hesabu, uhandisi na utabibu wanaajiliwa kwenye kazi nzuri za heshima. Hii ndio aina ya elimu tunayotaka kuwapa watu wetu, kiingereza kitakuwa added advantage.Umeandika upumbavu mtupu, Tena upumbavu kweli kweli
Jitahidi kuwa unasoma mwanzo mwisho wa hoja. Hata hueleweki unapinga au unasupportMzee huyo Mboye nia na dhumuni lake hao wanae waje kutawala hawa maskani akiwa anajifanya kwamba kingereza sio kitu maana kibongobongo anayejua kingereza anaonekana msomi kinadharia japo sio kweli.
Kwa nn yeye asisomeshe wanae hapa nchini shule za kata..Kingine tambua mizizi ya elimu ipo kingereza ndo tumerithi sasa unafikiria tutfanyaje.
Kwa maarifa mtu anaweza kuwa nayo ila kweny mitihani ni kingereza je utawezaje kufikisha hayo maarifa yako kama hujui kingereza maana mtego tushaingia hatuwezi kutoka Tena.