Mtaongea lugha zote.Watoto wa Mbowe watapita njia ipi?
Watoto wa Lema watapita njia ipi?
Watoto wa Lissu watapita njia ipi?
Watoto wao wapo ulaya wanakula kuku kwa mrija.
Au mkisema damu lazima imwagike mnaamaanisha ya watoto wa mambumbumbu?
Labda kwenye keyboard, ugali ulivyo mtamu ukawe kilema kwa ajili ya Mbowe! 🚮Watu wameshaamua kama ni kufa wacha wafe.
Unyanyasaji wa wapinzani wakati wa Magufuli na huu wa Rais Samia kunawafanya wapinzani kufikia "The point of no return"
Muendelezo wa unyanyasaji wa viongozi wa upinzani hasa kuanzia zama za Magufuli na sasa wakati huu wa Rais Samia, una impact moja: kuwafanya wapinzani kuwa jasiri huku msingi mkuu wa huo ujasiri ni kuona au kuamini kuwa kwa sasa hawana tena cha kupoteza kwani kama ni kuteswa, wameshateswa...www.jamiiforums.com
Ile ilikuwa ni ya zamani.Imekuaje: Ile taharifa ya mbowe kusitisha maandamano imekuaje?
Zile zilikuwa propaganda za machawaImekuaje: Ile taharifa ya mbowe kusitisha maandamano imekuaje?
Anhaa duhIle ilikuwa ni ya zamani.
Aisee kumbe 🤔Zile zilikuwa propaganda za machawa
Kuna mtu amekutumia mwalikoLabda kwenye keyboard, ugali ulivyo mtamu ukawe kilema kwa ajili ya Mbowe! 🚮
No risk no Changes..Watoto wa Mbowe watapita njia ipi?
Watoto wa Lema watapita njia ipi?
Watoto wa Lissu watapita njia ipi?
Watoto wao wapo ulaya wanakula kuku kwa mrija.
Au mkisema damu lazima imwagike mnaamaanisha ya watoto wa mambumbumbu?
Hata wewe unaruhusiwa kuwaacha watoto zako nyumbani halafu wewe kama mzazi ukajitokeza barabaraniWatoto wa Mbowe watapita njia ipi?
Watoto wa Lema watapita njia ipi?
Watoto wa Lissu watapita njia ipi?
Watoto wao wapo ulaya wanakula kuku kwa mrija.
Au mkisema damu lazima imwagike mnaamaanisha ya watoto wa mambumbumbu?