Wanaosimamia Ulinzi na Usalama ,tunawaombeni mzee mbowe na genge lake (Viongozi) wasitoke nje ya uzio wao siku ya maandamano.Kupitia ulurasa wake wa X, Freeman Mbowe ametoa njia ambazo zitatumika kwaajili ya maandamano yanayotarajiwa kifanyika Septemba 23, 2024.
Njia ya kwanza - Magomeni kupitiq barabara ya Morogoro mpaka viwanja vya Mnazi Mmoja
Njia ya pili - Ilala Boma Sokoni kupitia barabara ya Uhuru mpaka viwanja vya Mnazi Mmoja.
Chadema haijawahi kuwa na mwanachama muoga kama weweWanachadema wenzangu,mwenyekiti wenu alishawahi kuwatahadharisha wale waliowahi kuutaka uenyekiti wa chadema kuwa sumu haijaribiwi Kwa kuionja,
Na Mimi nasema serikali haijaribiwi Kwa maandamano uchwara ya political mongers wa chadema,mtakwisha
Wewe mwenyewe hadi sasa bado unapakatwa kwa shemeji wa lumumbaMungu asaidie tusiokote maiti za vijana wapambanaji wanaodanganywa na wanasiasa.
Mtu aliyekata ringi kabisa anaona haelewi solution ni kuandamana kwa mbowe anicheki nimpe mitkasi ya kufanya sinza au kkoo usije kukatwa mkono ukashindwa kutafuta ugali wako kuna maisha baada ya maandamano samia hatanii this time
Watoto kama ni wanasiasa tutakuwa nao!Mtaongea lugha zote.
Watoto wa Tundu ni raia wa Marekani, Wanaishi huko kwa TrumpWatoto wa Mbowe watapita njia ipi?
Watoto wa Lema watapita njia ipi?
Watoto wa Lissu watapita njia ipi?
Watoto wao wapo ulaya wanakula kuku kwa mrija.
Au mkisema damu lazima imwagike mnaamaanisha ya watoto wa mambumbumbu?
Watoto wa Mbowe watapita njia ipi?
Watoto wa Lema watapita njia ipi?
Watoto wa Lissu watapita njia ipi?
Watoto wao wapo ulaya wanakula kuku kwa mrija.
Au mkisema damu lazima imwagike mnaamaanisha ya watoto wa mambumbumbu?
UmeufyataHuyu mzee wa kinyagi atakuwa wapi muda huo ,mwanaye Dudley atakuwepo au kutanguliza maslahi binafsi tu kwa watoto wa maskini
USSR
Nguvu ya UMA haijawahi kushindwa.Mungu asaidie tusiokote maiti za vijana wapambanaji wanaodanganywa na wanasiasa.
Mtu aliyekata ringi kabisa anaona haelewi solution ni kuandamana kwa mbowe anicheki nimpe mitkasi ya kufanya sinza au kkoo usije kukatwa mkono ukashindwa kutafuta ugali wako kuna maisha baada ya maandamano samia hatanii this time
Na wengine tukaishia kumsifia kuwa amekuwa na busara.Imekuaje: Ile taharifa ya mbowe kusitisha maandamano imekuaje?
Wao mapolice tumeshawahi washenyenta tukiwa o level na hapo sikuwa na hata na vuzi iwe Leo niwagope?Labda kwenye keyboard, ugali ulivyo mtamu ukawe kilema kwa ajili ya Mbowe! 🚮
Kwenye chopa wana waangalia kwa chiniWatoto wa Mbowe watapita njia ipi?
Watoto wa Lema watapita njia ipi?
Watoto wa Lissu watapita njia ipi?
Watoto wao wapo ulaya wanakula kuku kwa mrija.
Au mkisema damu lazima imwagike mnaamaanisha ya watoto wa mambumbumbu?
Wajinga kama wewe wapo wengi sana na ndio maana inachukua muda mrefu kupata ukombozi wa pili.Labda kwenye keyboard, ugali ulivyo mtamu ukawe kilema kwa ajili ya Mbowe! 🚮
Wivu wa kikeHuyu mzee wa kinyagi atakuwa wapi muda huo ,mwanaye Dudley atakuwepo au kutanguliza maslahi binafsi tu kwa watoto wa maskini
USSR
Hata wasipoandamana watakwisha tu, si kila siku wanatekwa na kuuawa.Wanachadema wenzangu,mwenyekiti wenu alishawahi kuwatahadharisha wale waliowahi kuutaka uenyekiti wa chadema kuwa sumu haijaribiwi Kwa kuionja,
Na Mimi nasema serikali haijaribiwi Kwa maandamano uchwara ya political mongers wa chadema,mtakwisha
Safi sana Mbowe na CDM kwa ujumla.Kupitia ukurasa wake wa X, Freeman Mbowe ametoa njia ambazo zitatumika kwaajili ya maandamano yanayotarajiwa kifanyika Septemba 23, 2024.
Njia ya kwanza - Magomeni kupitiq barabara ya Morogoro mpaka viwanja vya Mnazi Mmoja
Njia ya pili - Ilala Boma Sokoni kupitia barabara ya Uhuru mpaka viwanja vya Mnazi Mmoja.
Umeitwa uandamane?Wewe baki nyumbani ufungie bata.Labda kwenye keyboard, ugali ulivyo mtamu ukawe kilema kwa ajili ya Mbowe! 🚮