Freeman Mbowe: Iundwe Tume ya kijaji kuchunguza kifo cha Ali Kibao, Polisi hawawezi kujichunguza

Freeman Mbowe: Iundwe Tume ya kijaji kuchunguza kifo cha Ali Kibao, Polisi hawawezi kujichunguza

Ki uhalisia tuu utekaji ni mipango ya within in chadema ili kinyamazisha Wana mapinduzi...ila. Inafanyika Kwa usiri mkubwa sana na. Kwa mgongo wa kutumia udhaifu wa Dola...ila ki ukweli ni ndani Kwa ndani wanauana maana pesa juu ya pesa na uongozi
Na serikali ipo kimya ikitazama wanachadema wakiuana, kwasababu wao (CHADEMA) Ni dola ndani ya dola
 
Mbowe kachukia sana hadi kusema, serikali ikishindwa atawashauri wananchi wajilinde wenyewe, hii ni hatari, polisi hakikisheni mnafanyia kazi hayo tukifika huko ni mbaya sana
Mimi wala sisubiri Mwenyekiti aseme nijilinde teyari nimeshafunga CCTV za wazi na za siri nyumbani kwangu na kwenye usafiri wangu Glock Peper Spray nk. ZIko karibu sana.

HAKI ya KUISHI ni YETU SOTE NA SIO KWA WANACCM PEKEE.
 
Ki uhalisia tuu utekaji ni mipango ya within in chadema ili kinyamazisha Wana mapinduzi...ila. Inafanyika Kwa usiri mkubwa sana na. Kwa mgongo wa kutumia udhaifu wa Dola...ila ki ukweli ni ndani Kwa ndani wanauana maana pesa juu ya pesa na uongozi
Kwenye mambo muhimu kama haya si vema kuingiza porojo.
Tumia akili yako vizuri, hili linaweza kumkuta yeyote.
 
Mimi wala sisubiri Mwenyekiti aseme nijilinde teyari nimeshafunga CCTV za wazi na za siri nyumbani kwangu na kwenye usafiri wangu Glock Peper Spray nk. ZIko karibu sana.

HAKI ya KUISHI ni YETU SOTE NA SIO KWA WANACCM PEKEE.
Kwangu mimi nshaandaa mapanga ukija kugonga sikuelewi, nakupasua kichwa bora mniuwe kwangu lakini niende na mmoja, kikubwa hueleweki, na ukipiga simu namba mpya Kwa sasa sipokei
 
Masauni mwenyewe kaponea Tundu la Sindano, Bila Mbowe alikwisha

Kabisa bila ushawishi wa kamanda Freeman Mbowe kutaka utulivu, ingekuwa tunaongea mengine maana raia wenye hasira kali hawaisikilizi wala kuiamini serikal.

Katika picha gwanda la CHADEMA lilimpendeza sana mtaalamu wetu katika harakati za demokrasia na maendeleo ya watu kupitia CHADEMA, RIP Mzee Ali Mohamed Kibao na hatutaacha kupiga kelele pia kuchukua njia za kisiasa tupate kufahamu nani ana kiongoza kikundi cha wauaji na watekaji, wafadhili, wawezeshaji na wanaowalinda ili wabaki watu wasiojulikana.
 
Mbowe kachukia sana hadi kusema, serikali ikishindwa atawashauri wananchi wajilinde wenyewe, hii ni hatari, polisi hakikisheni mnafanyia kazi hayo tukifika huko ni mbaya sana
Mwenyekiti Mbowe yuko sahihi ikiwezekana ni kutembea na tindikali....usiniulize tindikali tutapataje zemejaa huko kwenye magereji....ni kumwagiana hasa kwa maccm
 
Mimi wala sisubiri Mwenyekiti aseme nijilinde teyari nimeshafunga CCTV za wazi na za siri nyumbani kwangu na kwenye usafiri wangu Glock Peper Spray nk. ZIko karibu sana.

HAKI ya KUISHI ni YETU SOTE NA SIO KWA WANACCM PEKEE.

Mimi wala sisubiri Mwenyekiti aseme nijilinde teyari nimeshafunga CCTV za wazi na za siri nyumbani kwangu na kwenye usafiri wangu Glock Peper Spray nk. ZIko karibu sana.

HAKI ya KUISHI ni YETU SOTE NA SIO KWA WANACCM PEKEE.
Ongeza na tindikali, kama ambayo wamemwagia Ally Kibao
 
Mwenyekiti Mbowe yuko sahihi ikiwezekana ni kutembea na tindikali....usiniulize tindikali tutapataje zemejaa huko kwenye magereji....ni kumwagiana hasa kwa maccm
Mimi nina lita mbili
Natembea nayo kwenye gari
 
Ki uhalisia tuu utekaji ni mipango ya within in chadema ili kinyamazisha Wana mapinduzi...ila. Inafanyika Kwa usiri mkubwa sana na. Kwa mgongo wa kutumia udhaifu wa Dola...ila ki ukweli ni ndani Kwa ndani wanauana maana

Ki uhalisia tuu utekaji ni mipango ya within in chadema ili kinyamazisha Wana mapinduzi...ila. Inafanyika Kwa usiri mkubwa sana na. Kwa mgongo wa kutumia udhaifu wa Dola...ila ki ukweli ni ndani Kwa ndani wanauana maana pesa juu ya pesa na uongozi
Duuuh,!!! Ni nini iki umeandika??!!!
 
Back
Top Bottom