nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Huyu huyu Mbowe.....
Chama kitarudi default mode
Chama kitarudi default mode
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni sawa furahia uhuru wa kutoa maoni ila zingatia unawajibika kutokuvuka mipaka....Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Mtu mjinga tu ndio anaweza kushiriki hizi chaguzi za kishenzi.
Katiba mpya bora kwanza !Anauzika na kunadika kirahisi sana kwa wananchi na anazungumzwa vizuri sana ndani na nje ya nchi..
Hayupo wa kumshinda kwa mvuto wa kisiasa, uwezo wa kiuchumu na ushawishi katika ujengaji hoja na kujieleza.
Ana mtaji wa uhakika wa kura za wajumbe ndani ya chama chake na wananchi nje ya chama chake.
Ni mzalendo wa kweli na makini. Mstahimilivu mwenye staha, weledi na subra.
Anaaminika pakubwa ndani na nje ya Chama chake zaidi ya mwanachama mwingine yeyote humo chamani.
Ndie pekee mwenye uungwaji mkono mkubwa wa wajumbe wa ndani na nje ya nchi miongoni mwa wanachama wake.
Wapo wengine wenye nia ya kuomba kuteuliwa na chama kugombea urais katika chama hicho. Yes well and good, ni haki yao, wana uwezo wao na ni viongozi wazuri tu, kasoro yao ni moja tu miongoni mwao wanaungwa mkono na baadhi ya wajumbe diaspora tu na sio mahali pengine popote. Na wengine hawana ushawishi miongoni mwa wajumbe ndani ya chama kabisa.
Kwa ushauri wangu inafaa wasubiri na kujijenga zaidi hasa kwenye kujieleza kwa staha humu nchini.
He can seat and negotiate with others. He can manage and mobilize opposition into one team, voice, mission, vision and win elections easily than anyone in opposition.
Hakuna mwenye uwezo huo zaidi ya muugwana huyu na statesman Freeman A. Mbowe
Mungu Ibariki Tanzania.
very constructive and focused vision NAMBA MOJA AJAYE NCHINIAkigombea huyo Bas!serikali.ya umoja wa kitaifa loading!
kanuni moja muhimu sana katika siasa ni kamwe usimuanderate wala kumdharau mpinzani wako kwa namna yeyoyote ile,Hii safi sana, aligaragazwa na Kikwete, sasa agaragazwe na Mama Samia.
Hahaha kama "you never know", why going for a vote?kanuni moja muhimu sana katika siasa ni kamwe usimuanderate wala kumdharau mpinzani wako kwa namna yeyoyote ile,
you never know what will happen to voters mindsets and decion on election day 🐒
Huyo ni waziri mkuu huko mbeleni ni swala la muda TU!very constructive and focused vision NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
He deserves nakubali...Huyo ni waziri mkuu huko mbeleni ni swala la muda TU!
Kwa kawaida waziri mkuu ni Rais Wa Tanganyika!
Mkuu Tlaatlaah , kwanza naunga mkono hoja, pili tatizo ni huyu...Ni mzalendo wa kweli na makini. Mstahimilivu mwenye staha, weledi na subra.
Chadema ina tatizo la watu kujimilikisha kugombea urais!. Angalia hapa nilisema nini Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA nilisemaWapo wengine wenye nia ya kuomba kuteuliwa na chama kugombea urais katika chama hicho. Yes well and good, ni haki yao, wana uwezo wao na ni viongozi wazuri tu, kasoro yao ni moja tu miongoni mwao wanaungwa mkono na baadhi ya wajumbe diaspora tu na sio mahali pengine popote. Na wengine hawana ushawishi miongoni mwa wajumbe ndani ya chama kabisa.
mtu keshajitangaza hadi kwenye TV kuwa ni yeye atagombea urais wa JMT kwa tiketi ya Chadema 2025, halafu leo chama kisimteue yeye humo ndani kutakalika?.Lissu alipoulizwa kuhusu yeye kugombea urais 2025 alijibu kwanza katiba, alipobanwa sana akasema ndio atagombea!. That was a mistake!. Kwa vile Chadema bado hawajafanya kikao chochote cha kumteua mgombea wake wa urais wa 2025, hakuna ubaya wowote kwa mwana Chadema yeyote kuwa a wishful thinker kugombea urais 2025 lakini kutamka kwenye TV kuwa yes nitagombea wakati hakuna kikao chochote kilichomteua ni very dangerous!.
He who pays the piper, may call the tune!, whoever is paying the Chadema piper ndio may call the tune, nani agombee Chadema ili usimsumbue yule Malkia wetu, ikitokea sio Lissu, na huku Lissu ameisha tangaza kugombea, huko ndani kutakalika?.
Paskali
Sawa !Katiba mpya ipo njiani ni baadaa tu ya uchaguzi mkuu 2025, maridhiano yaliamua hivyo
pamoja sana comrade Pascal Mayalla, Mwalimu....Mkuu Tlaatlaah , kwanza naunga mkono hoja, pili...
P