Tetesi: Freeman Mbowe kugombea Urais kupitia CHADEMA 2025

Tetesi: Freeman Mbowe kugombea Urais kupitia CHADEMA 2025

Mimi mtu akiniuliza mawazo yangu kuhusu usanii huu wa uchaguzi nitasema yafuatayo;
Ni heri yale aliyofanya Jerry Rawlings wa Ghana 1979 yatokee hata hapa.
Rawlings akiwa afisa wa jeshi la anga kijana 1979 aliongoza mapinduzi na akairudisha serikali ya kiraia mwaka uliofuata.
Alipoona ujinga wa serikali ya kiraia umerudi tena 1981 akapindua tena na kufuta vyama vyote vya siasa, ikaundwa katiba ya kidemokrasia mpya kabisa kisha baada ya muda uchaguzi ukaitishwa na akajiuzulu jeshini na kugombea kiraia na kushinda mihula miwili.
Bila kutokea wa kuivunjilia mbali CCM na vikaundwa vyama vingine upuuzi hauwezi kuisha nchi hii.
Na ni wajibu wa vijana kujua kuwa bila kukiondoa kizazi hiki cha ccm madarakani na katika mifumo yetu hatutoboi kama nchi.
TUWAONDOE na kuifuta siasa hii ya kushika hatamu milele

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
sawa,
ngoja tumsubiri huyo tukiwa tunag'aa macho na kulalamika tu 🐒
 
Anauzika na kunadika kirahisi sana kwa wananchi na anazungumzwa vizuri sana ndani na nje ya nchi..

Hayupo wa kumshinda kwa mvuto wa kisiasa, uwezo wa kiuchumu na ushawishi katika ujengaji hoja na kujieleza.
Ana mtaji wa uhakika wa kura za wajumbe ndani ya chama chake na wananchi nje ya chama chake.

Ni mzalendo wa kweli na makini. Mstahimilivu mwenye staha, weledi na subra.

Anaaminika pakubwa ndani na nje ya Chama chake zaidi ya mwanachama mwingine yeyote humo chamani.

Ndie pekee mwenye uungwaji mkono mkubwa wa wajumbe wa ndani na nje ya nchi miongoni mwa wanachama wake.

Wapo wengine wenye nia ya kuomba kuteuliwa na chama kugombea urais katika chama hicho. Yes well and good, ni haki yao, wana uwezo wao na ni viongozi wazuri tu, kasoro yao ni moja tu miongoni mwao wanaungwa mkono na baadhi ya wajumbe diaspora tu na sio mahali pengine popote. Na wengine hawana ushawishi miongoni mwa wajumbe ndani ya chama kabisa.

Kwa ushauri wangu inafaa wasubiri na kujijenga zaidi hasa kwenye kujieleza kwa staha humu nchini.

He can seat and negotiate with others. He can manage and mobilize opposition into one team, voice, mission, vision and win elections easily than anyone in opposition.

Hakuna mwenye uwezo huo zaidi ya muugwana huyu na statesman Freeman A. Mbowe


Mungu Ibariki Tanzania.
Mbowe mjanja. HAWEZI kugombea Urais.
 
Back
Top Bottom