Tetesi: Freeman Mbowe kugombea Urais kupitia CHADEMA 2025

Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Mtu mjinga tu ndio anaweza kushiriki hizi chaguzi za kishenzi.
ni sawa furahia uhuru wa kutoa maoni ila zingatia unawajibika kutokuvuka mipaka....

wajinga tutashiriki uchaguzi kikamilifu chaguzi hizi unazodai za kishenzi, ila ile jambo muhimu ni usituletee fujo, mihemko na ghadhabu zako kwenye ujinga wetu....

Hilo la kwanza,
hiyo kulia lia na kubwekabweka ukae nayo nyumbani hatuna muda nayo na wala hatuwezi hangaika nayo
 
Katiba mpya bora kwanza !
Mengine porojo tu. !
 
Hii safi sana, aligaragazwa na Kikwete, sasa agaragazwe na Mama Samia.
kanuni moja muhimu sana katika siasa ni kamwe usimuanderate wala kumdharau mpinzani wako kwa namna yeyoyote ile,

you never know what will happen to voters mindsets and decion on election day 🐒
 
kanuni moja muhimu sana katika siasa ni kamwe usimuanderate wala kumdharau mpinzani wako kwa namna yeyoyote ile,

you never know what will happen to voters mindsets and decion on election day 🐒
Hahaha kama "you never know", why going for a vote?

Ni ujinga huo.
 
Huyo ni waziri mkuu huko mbeleni ni swala la muda TU!

Kwa kawaida waziri mkuu ni Rais Wa Tanganyika!
He deserves nakubali...

Na actually nafasi ya Naibu Waziri Mkuu imeundwa kwa madhumuni hayo ya serikali ya umoja wa kitaifa kama maandalizi, meaning kwamba Waziri Mkuu atatoka Upinzani then Naibu Waziri Mkuu kutoka tawalani
 
Ni mzalendo wa kweli na makini. Mstahimilivu mwenye staha, weledi na subra.
Mkuu Tlaatlaah , kwanza naunga mkono hoja, pili tatizo ni huyu...
Chadema ina tatizo la watu kujimilikisha kugombea urais!. Angalia hapa nilisema nini Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA nilisema
mtu keshajitangaza hadi kwenye TV kuwa ni yeye atagombea urais wa JMT kwa tiketi ya Chadema 2025, halafu leo chama kisimteue yeye humo ndani kutakalika?.
Niliwahi kuwauliza CHADEMA humu, Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
Jingine, huyu mgombea pendekezwa wako, anamheshimu sana Mama, iwapo CCM itamsimamisha mwanamke, Mama, huyu ataweza kweli kumchallenge Mama?. Kwenye hili mimi nimeshauri Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Last but not least, kuna hoja ya ukabila vipi?,
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…