Freeman Mbowe kuitwa Mandela wa Tanzania ni sawa?

Kwa upande wang naona sio sawa na vigezo nimeandika hapo juu.
Hiyo ni tafsiri yako, iwapo ulikuwa mmoja wa watoa wazo la ubambikiaji, ina maana ulikuwa na chuki kwa mhusika, hivyo lazima utengeneze uhalali wa ulichokifanya, hivyo sitakushangaa kwa mabaya yote utakayoyasema dhidi ya unayemchukia.
 
Kwa kauli ya Mbowe aliyosema kwamba eti kwa miaka mitano ya Magufuli hakutaka watu wa kabila lake waajiriwe Serikalini,, inaonesha wazi ni mtu anaepigania maslahi ya Jamii yake na si Watanzania, hvyo hafai hata kidogo kumfananisha na shujaa aliyepigania maslahi ya wazawa ktk taifa lake la South África

Kwa kauli ile inatosha kuonesha the motion behind ya kiongozi huyu na chama chake kwa ujumla

Mbaya zaidi alipofiwa na Kaka yake alisema hataki watu wakusanyike kwenye msiba kuepusha maambukizi ya Corona huko kwao, ila baada ya mazishi akaelekea Mwanza kuhamasisha mikusanyiko ya kongamano la katiba.

Kwamba hawa wa nyumbani niwaepushe na corona ila hawa wapuuzi wengne wacha wakajifie tu
 
Ufinyu wa jinsi ya kuyaona mambo, ukanda na ukabila ulitanda Tena Bila kificho, hats kauli za wazi zilijithihirisha, kuwa ni zamu ya ukanda fulani, wengine ilishatosha.
 
..Mandela aliitwa Gaidi na serikali ya SA.

..Mbowe anaitwa Gaidi na serikali ya TZ.

..Ni sahihi Mbowe kuitwa Mandela wa TZ.
 
Hiyo ni tafsiri yako, iwapo ulikuwa mmoja wa watoa wazo la ubambikiaji, ina maana ulikuwa na chuki kwa mhusika, hivyo lazima utengeneze uhalali wa ulichokifanya, hivyo sitakushangaa kwa mabaya yote utakayoyasema dhidi ya unayemchukia.
Swala la kubambikiana linatoka wapi mkuu. Hapa tunajadili sifa zao kama zinafanana.
 

..kati ya kongamano la Chadema, na mechi ya ligi kuu uwanja wa Kirumba, kipi kinaweza kueneza covid kwa watu wengi?

..siku ambayo kongamano la Chadema ilikuwa lifanyike kulikuwa na mechi ya ligi kuu uwanja wa kirumba Mwanza.
 
To give him the title "Mandela of Tanzania" is to elevate demon's character to that of an angel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…