Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tafuta habari za mandela ndio umwandike , wengi mmemjua Mandela baada ya kutoka gerezani , mnajinyima maarifaOk mkuu ww unaemfahamu zaidi yang tupe mawili matatu kwa faida ya wengi hapa jukwaani.
Wewe dada Mr Dudumizi . Kwa kuwapigania wa Africa kusini Mandela kwako ni shujaa. Lakini Mbowe kuwapigania WaTz kwako ni haramu !!.Kwanz kabisa napenda kuwasalimu kwa jina la alietuumba, ambae ni muweza wa visivyowezwa. Ama baada ya salam napenda nijielekeze katika mada yangu ili kila mwenye uwezo thabiti wa kuchangia aweze kuchangia.
Mada hii ni nzito na inawafaa zaidi wale ambao akili zao zipo huru, hazijafungwa wala kuhifadhiwa ndani ya mfuko wa mwanasiasa yoyote. Maana kuna watu ambao tayari wameshawakabidhi wanasiasa akili zao, kiasi kwamba hawawezi kuwa na wazo lolote kinyume na wale wanaomiliki akili hizo.
Twende sasa... Ndugu zangu kuna baadhi ya watu wamekuwa wakijaribu kumfananisha mwenyekiti wa Chadema taifa mh Mbowe na aliekuwa mpambanaji wa kweli na mpigania uhuru wa Afrika kusini hayati Nelson.
Ingawa kila mtu anaweza kuwa na mawazo au mtizamo wake lkn kwangu mimi naona kuwa watu hao wanakosea sana. Naweza kutaja baadhi ya sababu zinazofanya nikatae kukubaliana na watu hao.
Sababu hizo ni :
[1] Hayati Nelson alikuwa tayar kuwapambania wa South Africa wote bila kujali rangi zao, makabila yao, dini zao, vyama vyao na itikadi zao. Wakati mh Mbowe anaonekana kupambania zaidi masilahi yake, masilahi ya baadhi ya ndugu zake, watoto wake na tumbo lake.
[2] Hayati Nelson alihamasisha mapambano akiwa mstari wa mbele na familia yake. Mh Mbowe alikuwa na tabia ya kuhamasisha mapambano au maandamano, huku yeye na familia yake wakitimkia Afrika kusini au Dubai kula bata nk.
[3] Hayati Nelson alijitolea kila alichonacho kusaidia mapambano, ili wananchi wake wapate uhuru wao. Mh Mbowe akitoa hata sh1000 ujue siku ruzuku akiingia tu anakata hela yake kwa kisingizio cha kukidai au kukikopesha chama.
[4] Mwisho kabisa wakati mzee Nelson amefungwa jela takriban miaka 27, wananchi wake na wanaharakati mbali mbali wa ndani na nje ya nchi yake walionekana kuguswa, na kumpambania kwa njia mbali mbali. Bongo toka mh Mbowe afungwe ni week ya tatu tu sasa, lkn tayar ashaanza kusahaulika mapema sana utafikiri hakuna mwanasiasa anaeitwa mbowe nchini.
So hizo ndio sababu za mimi kupingana na watu hao wanaojaribu kufananisha nguvu za gari na treni. Haya ndugu zangu mwenye vigezo vya kumlinganisha mh mbowe na aliekuwa mzee wetu hayati Nelson anakaribushwa kuchangia na kuweka vigezo vyake hapa. Asanteni.
Aliyoyafanya Mbowe na sacrifices aliyotoa kwa wananchi hakuna mwanasiasa aliyeweza,ata Nyerere hafiki!Kwanz kabisa napenda kuwasalimu kwa jina la alietuumba, ambae ni muweza wa visivyowezwa. Ama baada ya salam napenda nijielekeze katika mada yangu ili kila mwenye uwezo thabiti wa kuchangia aweze kuchangia.
Mada hii ni nzito na inawafaa zaidi wale ambao akili zao zipo huru, hazijafungwa wala kuhifadhiwa ndani ya mfuko wa mwanasiasa yoyote. Maana kuna watu ambao tayari wameshawakabidhi wanasiasa akili zao, kiasi kwamba hawawezi kuwa na wazo lolote kinyume na wale wanaomiliki akili hizo.
Twende sasa... Ndugu zangu kuna baadhi ya watu wamekuwa wakijaribu kumfananisha mwenyekiti wa Chadema taifa mh Mbowe na aliekuwa mpambanaji wa kweli na mpigania uhuru wa Afrika kusini hayati Nelson.
Ingawa kila mtu anaweza kuwa na mawazo au mtizamo wake lkn kwangu mimi naona kuwa watu hao wanakosea sana. Naweza kutaja baadhi ya sababu zinazofanya nikatae kukubaliana na watu hao.
Sababu hizo ni :
[1] Hayati Nelson alikuwa tayar kuwapambania wa South Africa wote bila kujali rangi zao, makabila yao, dini zao, vyama vyao na itikadi zao. Wakati mh Mbowe anaonekana kupambania zaidi masilahi yake, masilahi ya baadhi ya ndugu zake, watoto wake na tumbo lake.
[2] Hayati Nelson alihamasisha mapambano akiwa mstari wa mbele na familia yake. Mh Mbowe alikuwa na tabia ya kuhamasisha mapambano au maandamano, huku yeye na familia yake wakitimkia Afrika kusini au Dubai kula bata nk.
[3] Hayati Nelson alijitolea kila alichonacho kusaidia mapambano, ili wananchi wake wapate uhuru wao. Mh Mbowe akitoa hata sh1000 ujue siku ruzuku akiingia tu anakata hela yake kwa kisingizio cha kukidai au kukikopesha chama.
[4] Mwisho kabisa wakati mzee Nelson amefungwa jela takriban miaka 27, wananchi wake na wanaharakati mbali mbali wa ndani na nje ya nchi yake walionekana kuguswa, na kumpambania kwa njia mbali mbali. Bongo toka mh Mbowe afungwe ni week ya tatu tu sasa, lkn tayar ashaanza kusahaulika mapema sana utafikiri hakuna mwanasiasa anaeitwa mbowe nchini.
So hizo ndio sababu za mimi kupingana na watu hao wanaojaribu kufananisha nguvu za gari na treni. Haya ndugu zangu mwenye vigezo vya kumlinganisha mh mbowe na aliekuwa mzee wetu hayati Nelson anakaribushwa kuchangia na kuweka vigezo vyake hapa. Asanteni.
Kama hujui ulisemalo kaa kimya..kati ya kongamano la Chadema, na mechi ya ligi kuu uwanja wa Kirumba, kipi kinaweza kueneza covid kwa watu wengi?
..siku ambayo kongamano la Chadema ilikuwa lifanyike kulikuwa na mechi ya ligi kuu uwanja wa kirumba Mwanza.
Unajua kosa lililomkalisha ndani miaka 27 ?!. Kama hujui Jambo kaa kimya ufiche ujinga.Mandela hakuwahi hata kutuhumiwa kuwa gaidi
USSR
Kwanza ujue chadema ni chama chenye itikadi ya ubinafsi. Wanatumia uongo ulaghai na usaliti wa maslahi ya umma. Kumlinganisha mandela na mbowe ni kichekesho. Eti wanaigiza hadi nyimbo za anc za ukombozi na kuilinganisha ccm na ukaburu. Wapuuzi sana. Kwanza ccm ni zaidi ya anc ambayo ccm waliwalea na kuwapa kila msaada kuikomboa nchi yao. Hata anc wenyewe wanaishangaa cdm kwa kuitusi ccm kwa kuilinganisha na ukaburu. Mbowe si chochote ila yeye na chama chake ni vibaraka tu wa ubeberu.Kwanz kabisa napenda kuwasalimu kwa jina la alietuumba, ambae ni muweza wa visivyowezwa. Ama baada ya salam napenda nijielekeze katika mada yangu ili kila mwenye uwezo thabiti wa kuchangia aweze kuchangia.
Mada hii ni nzito na inawafaa zaidi wale ambao akili zao zipo huru, hazijafungwa wala kuhifadhiwa ndani ya mfuko wa mwanasiasa yoyote. Maana kuna watu ambao tayari wameshawakabidhi wanasiasa akili zao, kiasi kwamba hawawezi kuwa na wazo lolote kinyume na wale wanaomiliki akili hizo.
Twende sasa... Ndugu zangu kuna baadhi ya watu wamekuwa wakijaribu kumfananisha mwenyekiti wa Chadema taifa mh Mbowe na aliekuwa mpambanaji wa kweli na mpigania uhuru wa Afrika kusini hayati Nelson.
Ingawa kila mtu anaweza kuwa na mawazo au mtizamo wake lkn kwangu mimi naona kuwa watu hao wanakosea sana. Naweza kutaja baadhi ya sababu zinazofanya nikatae kukubaliana na watu hao.
Sababu hizo ni :
[1] Hayati Nelson alikuwa tayar kuwapambania wa South Africa wote bila kujali rangi zao, makabila yao, dini zao, vyama vyao na itikadi zao. Wakati mh Mbowe anaonekana kupambania zaidi masilahi yake, masilahi ya baadhi ya ndugu zake, watoto wake na tumbo lake.
[2] Hayati Nelson alihamasisha mapambano akiwa mstari wa mbele na familia yake. Mh Mbowe alikuwa na tabia ya kuhamasisha mapambano au maandamano, huku yeye na familia yake wakitimkia Afrika kusini au Dubai kula bata nk.
[3] Hayati Nelson alijitolea kila alichonacho kusaidia mapambano, ili wananchi wake wapate uhuru wao. Mh Mbowe akitoa hata sh1000 ujue siku ruzuku akiingia tu anakata hela yake kwa kisingizio cha kukidai au kukikopesha chama.
[4] Mwisho kabisa wakati mzee Nelson amefungwa jela takriban miaka 27, wananchi wake na wanaharakati mbali mbali wa ndani na nje ya nchi yake walionekana kuguswa, na kumpambania kwa njia mbali mbali. Bongo toka mh Mbowe afungwe ni week ya tatu tu sasa, lkn tayar ashaanza kusahaulika mapema sana utafikiri hakuna mwanasiasa anaeitwa mbowe nchini.
So hizo ndio sababu za mimi kupingana na watu hao wanaojaribu kufananisha nguvu za gari na treni. Haya ndugu zangu mwenye vigezo vya kumlinganisha mh mbowe na aliekuwa mzee wetu hayati Nelson anakaribushwa kuchangia na kuweka vigezo vyake hapa. Asanteni.
Mandela alikua GAIDI kwa wakoroni MAKABURU kama Mbowe alivyo GAIDI kwenu MaCCM. na Marekani ilikubaliana na MAKABURUMandela hakuwa gaidi
USSR
Kama hujui ulisemalo kaa kimya
Hakuna mechi ya ligi kuu yoyote iliyochezwa hapo Kirumba siku hiyo, pía Mwanza yenyewe haikuwa na timu ligi kuu kwa msimu uliopita 2020-2021
Haswa!Kwanz kabisa napenda kuwasalimu kwa jina la alietuumba, ambae ni muweza wa visivyowezwa. Ama baada ya salam napenda nijielekeze katika mada yangu ili kila mwenye uwezo thabiti wa kuchangia aweze kuchangia.
Mada hii ni nzito na inawafaa zaidi wale ambao akili zao zipo huru, hazijafungwa wala kuhifadhiwa ndani ya mfuko wa mwanasiasa yoyote. Maana kuna watu ambao tayari wameshawakabidhi wanasiasa akili zao, kiasi kwamba hawawezi kuwa na wazo lolote kinyume na wale wanaomiliki akili hizo.
Twende sasa... Ndugu zangu kuna baadhi ya watu wamekuwa wakijaribu kumfananisha mwenyekiti wa Chadema taifa mh Mbowe na aliekuwa mpambanaji wa kweli na mpigania uhuru wa Afrika kusini hayati Nelson.
Ingawa kila mtu anaweza kuwa na mawazo au mtizamo wake lkn kwangu mimi naona kuwa watu hao wanakosea sana. Naweza kutaja baadhi ya sababu zinazofanya nikatae kukubaliana na watu hao.
Sababu hizo ni :
[1] Hayati Nelson alikuwa tayar kuwapambania wa South Africa wote bila kujali rangi zao, makabila yao, dini zao, vyama vyao na itikadi zao. Wakati mh Mbowe anaonekana kupambania zaidi masilahi yake, masilahi ya baadhi ya ndugu zake, watoto wake na tumbo lake.
[2] Hayati Nelson alihamasisha mapambano akiwa mstari wa mbele na familia yake. Mh Mbowe alikuwa na tabia ya kuhamasisha mapambano au maandamano, huku yeye na familia yake wakitimkia Afrika kusini au Dubai kula bata nk.
[3] Hayati Nelson alijitolea kila alichonacho kusaidia mapambano, ili wananchi wake wapate uhuru wao. Mh Mbowe akitoa hata sh1000 ujue siku ruzuku akiingia tu anakata hela yake kwa kisingizio cha kukidai au kukikopesha chama.
[4] Mwisho kabisa wakati mzee Nelson amefungwa jela takriban miaka 27, wananchi wake na wanaharakati mbali mbali wa ndani na nje ya nchi yake walionekana kuguswa, na kumpambania kwa njia mbali mbali. Bongo toka mh Mbowe afungwe ni week ya tatu tu sasa, lkn tayar ashaanza kusahaulika mapema sana utafikiri hakuna mwanasiasa anaeitwa mbowe nchini.
So hizo ndio sababu za mimi kupingana na watu hao wanaojaribu kufananisha nguvu za gari na treni. Haya ndugu zangu mwenye vigezo vya kumlinganisha mh mbowe na aliekuwa mzee wetu hayati Nelson anakaribushwa kuchangia na kuweka vigezo vyake hapa. Asanteni.
Achana naye huyo mwache apambane kwanza na TOZO +×÷/= (Luku.simu. petrol naaa ??)Kwani ndugu inakupunguzia nini katika maisha yako ya kila siku pale mbowe anapoitwa mandela wa Tanzania? Je kwani baada ya mbowe kuitwa mandela ndipo bei za vitu zilipopanda au kodi kwenye kila huduma zilianzishwa?
..mandela was a leader of an armed wing of the ANC, Umkhonto we Sizwe.To give him the title "Mandela of Tanzania" is to elevate demon's character to that of an angel.
Pumbavu mwenyewe. Unafikiri kufungwa jela kama kibaraka na msaliti ndio ushujaa. Hakuna mlingano kati ya kufungwa mandela na kuwekwa rumande au kushitakiwa mbowe kwa ugaidi.Mandela alikua GAIDI kwa wakoroni MAKABURU kama Mbowe alivyo GAIDI kwenu MaCCM. na Marekani ilikubaliana na MAKABURU
Akafungwa maisha alikaa jela miaka 21.
MaCCM mnakaa tu humu kucha kutwa hata kujiosha mashombo mnajisahau mtajua wapi habari zinazohitaji akili kujifunza. MaCCM akili zenu hazina akili.
..mandela alifungwa kwa ugaidi.Pumbavu mwenyewe
Pumbavu mwenyewe. Unafikiri kufungwa jela kama kibaraka na msaliti ndio ushujaa. Hakuna mlingano kati ya kufungwa mandela na kuwekwa rumande au kushutumiwa mbowe kwa ugaidi.
Kwahiyo kumbe wanaomlinganisha Mbowe na baba wa taifa la afrika kusini wanakosea sana?Kwanza ujue chadema ni chama chenye itikadi ya ubinafsi. Wanatumia uongo ulaghai na usaliti wa maslahi ya umma. Kumlinganisha mandela na mbowe ni kichekesho. Eti wanaigiza hadi nyimbo za anc za ukombozi na kuilinganisha ccm na ukaburu. Wapuuzi sana. Kwanza ccm ni zaidi ya anc ambayo ccm waliwalea na kuwapa kila msaada kuikomboa nchi yao. Hata anc wenyewe wanaishangaa cdm kwa kuitusi ccm kwa kuilinganisha na ukaburu. Mbowe si chochote ila yeye na chama chake ni vibaraka tu wa ubeberu.
Ok mkuu kumbe ni sawa tu kumpa a.k.a yoyote ilimradi mwenyew aridhie.a.k.a iyo ni sawa tu hata akijiita au akiitwa Dalai Lima wa Tibet au T.Roosevelt n sawa tu iyo a.k.a
Na hakuwa muongo kama mbowe anayeumia kwenye ulevi anasingizia kapigwa na wasiojulikanaMandela alikuwa na Degree na hakuwa mlevimlevi kama Mbowe.