Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Umelogwa vibaya sana !Na hakuwa muongo kama mbowe anayeumia kwenye ulevi anasingizia kapigwa na wasiojulikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umelogwa vibaya sana !Na hakuwa muongo kama mbowe anayeumia kwenye ulevi anasingizia kapigwa na wasiojulikana
Kama uchawi ni reality mbona chadema hamjautumia kuiondoa ccm madarakani?Umelogwa vibaya sana !
HAZIMFAINo mkuu tunajadili tu ili kujua kama sifa anazopewa zinamfaa au la.
Hahahaha ok mkuuHAZIMFAI
sasa anachopitia FAM kwa sasa kina tofauti gani na alichopitia Mandela walau miaka yake ya mwanzo ya kesi huko Mzansi? Utakufa masikini wewe na ukoo wako wote.Baada ya viroba kupigwa marufuku sijui watu wanakunywa nini maana akili zimedumaa kuliko ilivyokuwa viroba
Sijajua kama comment yangu ina uhusiano na mada yako lakini umepanic sanasasa anachopitia FAM kwa sasa kina tofauti gani na alichopitia Mandela walau miaka yake ya mwanzo ya kesi huko Mzansi? Utakufa masikini wewe na ukoo wako wote.
Soma tena ulichoandika, kisha soma pia majibu yako kisha fikiri. Ni wazi utakufa masikini sana wewe na ukoo wako wote.Sijajua kama comment yangu ina uhusiano na mada yako lakini umepanic sana
Exactly.kwa hiyo unamaanisha CCM na selikari yake ni sawa na utawala wa Makaburu au wakoloni weusi?
na ndiyo maana ma CCM kwa kumhofia na kumuogopa Mbowe sasa wanamshauri 'azikubali' tuhuma za ugaid na uhujumu uchumi ili wamsamehe! …. lakini chini ya carpet lengo lao si kumsamehe bali ni kummaliza kisiasa, mtego wa kitoto………….Mbowe ni kinara wa siasa Tanzania.
Freeman Aikael Mbowe ni Mandela wa kizazi kipya. Ametoa maisha yake ili watanzania tupate haki zetu. Mungu akutie nguvu baba. Tunakuombea. Vumilia maumivu lakini kupitia kesi yako ya ugaidi wengi unatufungua akili.
Watawala matumbo moto. Wamefumbwa macho na akili wasione na kuacha uovu wao ili wapate linalowastahili. Mungu yupo kati ya wapenda haki.