Nilishakwambia wewe una MTINDIO WA UBONGO!!
Mbona unazidi kujidhalilisha kwa unachoandika? Yaani hata mtoto wa Kindergarten school anakuzidi.....!!!! Shame on you!! Achana na Lugha za watu.....!!
Elimu yangu ni ya kujua kusoma na kuandika mkuu
Umri zaidi miaka 18
Najua balozi
Balozi wa nyumba kumi nawafahamu
Nimefurahi mipango ya chadema kwamba malipo ya mawakala ni teuziπππ
Kila siku nasema na tutaendelea kusema CHADEMA ni kama DECI πππππ