Freeman Mbowe kuongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za Makao Makuu Mapya ya Chama Mikocheni

Freeman Mbowe kuongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za Makao Makuu Mapya ya Chama Mikocheni

View attachment 2869580

Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.

Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.

Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Atatangaza rasmi anahamia Chichiemu - Karibu Sana!
 
View attachment 2869580

Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.

Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.

Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Hilo jengo mmekodi Bei gani kwa mwaka na baba mwenye nyumba wenu ni nani?
 
View attachment 2869580

Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.

Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.

Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Mwamba wa siasa za kaskazini kumfukuza Makamo wake chamani kesho dah!
 
View attachment 2869580

Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.

Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.

Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Muhuni muhuni fisadi jizi jambazi mboga mboga tapeli dikiteta
 
Back
Top Bottom