Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
KalaghabaoMakao mapya ya CHADEMA kwamba mmejenga Ofisi sasa au mmepanga jengo jipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KalaghabaoMakao mapya ya CHADEMA kwamba mmejenga Ofisi sasa au mmepanga jengo jipya
Tatizo huna akili maana bhange za chato zishakumalizaUnavyotamani ofisi mpya lakini wapi haiwezekani kuhamisha ofisi za vikoba!
Ili ufanyeje we mchawi?Tuwekee picha ya hiyo ofisi mpya
Wewe ni zaidi ya changudoaMwambieni ajichunge mdomo tu ule kuufanya kama nanihii ya kuku anapomaliza kutaga.
Pumbaf kabisaMwambieni ajichunge mdomo tu ule kuufanya kama nanihii ya kuku anapomaliza kutaga.
😀Mwamba wa Siasa za kisasa
Hapo umenielewa kabisa tena.Pumbaf kabisa
Changu chole.Wewe ni zaidi ya changudoa
Atatangaza rasmi anahamia Chichiemu - Karibu Sana!View attachment 2869580
Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.
Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.
Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Ufipa mbona fresh tu mkuuUfipa joto lilizidi.
Hilo jengo mmekodi Bei gani kwa mwaka na baba mwenye nyumba wenu ni nani?View attachment 2869580
Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.
Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.
Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Mwamba wa siasa za kaskazini kumfukuza Makamo wake chamani kesho dah!View attachment 2869580
Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.
Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.
Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Unawaza kwa kiwango duni sanaMwamba wa siasa za kaskazini kumfukuza Makamo wake chamani kesho dah!
akaunde chama cha vibaraka wenzake wa Magharibi na ndugu yake Moise katumbi ataachie chadema yetu ya kizalendo na mwenyekiti wetu mwamba wa kaskaziniUnawaza kwa kiwango duni sana
Muhuni muhuni fisadi jizi jambazi mboga mboga tapeli dikitetaView attachment 2869580
Mwamba wa Siasa za kisasa kwenye eneo la Maziwa Makuu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema ambacho ni Chama kinachoungwa mkono na watu wengi zaidi nchini Tanzania, huku takwimu zikionyesha kwamba kina wanachama hai zaidi ya mil 15, atazungumza na Waandishi wa Habari wa Kimataifa na wa ndani ya Nchi.
Jambo la kufurahisha ni kwamba mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa kisasa kwenye makao makuu mapya na ya kisasa, Mikocheni D'Salaam.
Kaa tayari kwa ajili ya kupata Mwongozo mpya na Dira ya Taifa kwa 2024.
Nasikia kesho gawio linatoka!Tatizo huna akili maana bhange za chato zishakumaliza
Masiikini wengi wanawaza kula tu !Nasikia kesho gawio linatoka!