Kwa hiyo kosa lake la kupelekwa mahakamani ni hizi tuhuma zako au hizo za kusafirisha madawa ya kulevya toka Pakistan?JPM. Mnampenda sana. Mana kafa Lakini hamlali. Huyu mdude niliwahi soma Mabandiko yake. Matusi na ukosefu wa Normal ustaarabu ambao binadamu hata kichaa hawezi kuukosa. Sasa ndo huyu mnamwandika kama mwanaharakati. Are you people serious. Mmeumbwa tofauti sana.
Mpaka leo najiuliza swali hili sipati majibu. Hivi ni kweli huyu ndugu alikuwa binadamu kama sisi? Maana kwa kweli binadamu huwa na roho ya angalau kusita kuua mtu, kupiga risasi, kumweka mtu marehemu kwenye viroba, n.k. Lakini huyu ndugu hiyo ndio ilikuwa furaha yake. Kwa nini?Magu fool alikua shetani
Hivi Taifa aliloongoza aliyeamuru huyu Mdude afungwe nalo lilikuwa ni Taifa la Mungu? Tangu lini Taifa la Mungu linaongozwa na mfuasi wa Ibilisi?Kwa matusi haya kabla ya hukumu jaji mpige mvua ili waelewe kujifunza adabu hawa japo huwa hawasikii. Tena piga mvua mbele ya Mbowe. Wakishinda kesho watalikashifu sana taifa hili la Mungu
Usimuombee binasamu mwenzio mabaya maana yanaweza kukurudia wewe mwenyewe. Sawaaa?Kwa matusi haya kabla ya hukumu jaji mpige mvua ili waelewe kujifunza adabu hawa japo huwa hawasikii. Tena piga mvua mbele ya Mbowe. Wakishinda kesho watalikashifu sana taifa hili la Mungu
Ukiwa civilized educated kina mdude awakunyimi usingizi.Hana jeshi,hana silaha,hofu ya nn kwa mtu anaeojiondolea zake stress za maisha.Kama una deal na issues kelele za chura zinakunyimaje usingizi sasa.Hapo ni SAwa na kumzuia jogoo kuwikaJPM. Mnampenda sana. Mana kafa Lakini hamlali. Huyu mdude niliwahi soma Mabandiko yake. Matusi na ukosefu wa Normal ustaarabu ambao binadamu hata kichaa hawezi kuukosa. Sasa ndo huyu mnamwandika kama mwanaharakati. Are you people serious. Mmeumbwa tofauti sana.
Wangekuwa fair wangepima fingerprints za huo mzigo kama ni za mdude au aliwekewa.Nadhani hata akisema tu madawa ayapeleke kwenye anwani fulani Ubungo au Rorya nako pia ni kusafirisha, na kupokea malipo kwa tigopesa nako pia; hata kama safari ilianzia Vwawa ikaishia Kundus nchini Pakistan huko nako ni kusafirisha. Zamani walitumia ngamia jangwani au meli baharini siku hizi ni Google. Tushukuru nji yetuTanzania ni nchi yenye katiba inayolinda raia wake na kuwapa nafasi ya kujitetea nahakamani. China au Kenya angekula risasi wakati akikamatwa.
Lakini anauza madawa ya kulevya sasaUkiwa civilized educated kina mdude awakunyimi usingizi.Hana jeshi,hana silaha,hofu ya nn kwa mtu anaeojiondolea zake stress za maisha.Kama una deal na issues kelele za chura zinakunyimaje usingizi sasa.Hapo ni SAwa na kumzuia jogoo kuwika
Wote wale waliovuruga uchaguzi mkuu wamesambaratika woote kupitia maombi yetu.Na bado, kuna Sabaya, kipenzi cha ccm, mzalendo nambari moja, anateseka Kisongo, mwaka wa shuatani kwa mataga, huu!
Mungu ibariki CHADEMA na watu wake woteMwamba wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe atakuwepo Mahakamani Mbeya kushuhudia hukumu ya Mdude Nyagali , ambaye amepewa kesi ya kusafirisha na kusambaza madawa ya kulevya kutoka Pakistan na kuyaleta Mlowo Mbozi, huku akiwa hajawahi kumiliki HATI YA KUSAFIRIA .
Tayari Jiji la Mbeya lilishaanza kuzidiwa na wageni baada ya maelfu ya watu wakiwemo Waandishi wa Habari wa Kimataifa kusogea ili kujionea hukumu ya kijana huyo, ambaye amekwishatekwa mara kadhaa na kushindikana kuuawa.
View attachment 1817280
Kama ikidhibitika na sio kubambikwa.Lakini anauza madawa ya kulevya sasa
Chadema = wauza madawa ya kulevyaMungu ibariki CHADEMA na watu wake wote
Hayo ni mashtaka mapya?Maana awali tumeambiwa anakesi yakusafirisha dawa za kulevya toka Pakistan na kuyauza maeneo ya viunga vya jiji la Mlowo Mbozi.Vipi tena na tuhuma mpya?JPM. Mnampenda sana. Mana kafa Lakini hamlali. Huyu mdude niliwahi soma Mabandiko yake. Matusi na ukosefu wa Normal ustaarabu ambao binadamu hata kichaa hawezi kuukosa. Sasa ndo huyu mnamwandika kama mwanaharakati. Are you people serious. Mmeumbwa tofauti sana.
Walioitakia kifo awapo tena.Imepita kwenye uvuli wa mautiMungu ibariki CHADEMA na watu wake wote
Unawezaje kujipofusha kiasi hicho, pamoja na kazi kubwa ya Mungu ya mwezi wa tatu? !Lakini anauza madawa ya kulevya sasa
You are just another stupid silly idiotChadema = wauza madawa ya kulevya
AmeniThink Big,vp Kama Magufuli angeendelea kuwa hai! Tanzania ingekuwa hell fire [emoji91],Mungu ni mkubwa mno,ipo siku ktk uhai wa Magufuli ungefanyika msako wa nyumba hadi nyumba Tanzania nzima kuwasaka wafuasi wote wa CHADEMA na kuwarundika wote magerezani na wengine kuwaua wote.
Kama shetani original ana wafuasi mamilioni kwa mamilioni hapa Duniani,mnashangaa nini mtu katili Kama hayati Magufuli kupendwa na MATAGA?
Akili ya Magufuli day and night aliwaza kuangamiza wapinzani wote kwa gharama yoyote,Mungu wetu anatupenda sana Watanzania,.
Nilikuwa mmoja wa Watanzania waliokuwa wakimwomba Mungu atuondolee Magufuli.
Hatimaye Mungu alijibu maombi.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app