Think Big,vp Kama Magufuli angeendelea kuwa hai! Tanzania ingekuwa hell fire [emoji91],Mungu ni mkubwa mno,ipo siku ktk uhai wa Magufuli ungefanyika msako wa nyumba hadi nyumba Tanzania nzima kuwasaka wafuasi wote wa CHADEMA na kuwarundika wote magerezani na wengine kuwaua wote.
Kama shetani original ana wafuasi mamilioni kwa mamilioni hapa Duniani,mnashangaa nini mtu katili Kama hayati Magufuli kupendwa na MATAGA?
Akili ya Magufuli day and night aliwaza kuangamiza wapinzani wote kwa gharama yoyote,Mungu wetu anatupenda sana Watanzania,.
Nilikuwa mmoja wa Watanzania waliokuwa wakimwomba Mungu atuondolee Magufuli.
Hatimaye Mungu alijibu maombi.
Sent from my Infinix X688C using
JamiiForums mobile app