Freeman Mbowe kuzungumza na Taifa Ijumaa, Januari 10, 2025

Jibu hoja Acha kuweweseķa? Ina maana anataka miaka 5 mingine ili atufanyie kipi?
Kama hana agenda,hoja au maono atupishe tu
 
Kupoteza mali na group la WhatsApp vina uhusiano gani?
Atakuwa kachanganyikiwa huyo
 
Sasa huu ni muda wenu wa kunadi sera za mnaowaunga mkono na kumwangusha, ni nafasi nzuri ya kushawishi wapiga kura kwamba Jamanii eeee!! Mbowe hana sera mchagueni huyu mtu wetu sera zake hizi hapa.

Msipoteze muda siku zinaisha
Lisu alisema agenda zake akichaguliwa.
Huyu bwana wenu Mobutu mbona hasemi sera zozote zaidi ya masimango eti ya kusaidia watu hiki na kile?
Amechoka akili na amechokwa
 
Akiulizwa maswali na watangazaji wa clouds wa PB anarukaruka kama maharage yanayochemka jikoni. anasema anatuhumiwa tu bila ushahidi
 
Daaahhhh...mwamba anajishushia heshima sana kama amefikia kutafuta cheap sympathy kwa kukumbushia mali alizoibiwa ambazo sasa hiv mama abdul ndio kamlipa mabilion ya fedha kama fidia na yeye akaamua kukitoa cdm kama kulipa fadhila
 
Anasema viongozi wa dini walimuomba akaongee na rais kuhusu muafaka, kufanya maridhiano, anasema yeye ni nani hata akatae? Lissu alikuwa uhaibuni wakati anatoka gerezani na kwenda ikulu
 
Kama kwel kasema haya bas sasa mwamba akili ilisha chochora kabaki box tupu
 
Anasema kuhusu kutengeneza maridhiano yeye ni wa kwanza kufanya hivyo na lissu ni wa pili kufanya hivyo, ikaundwa kamati ya watu watano kuunda kamati ya maridhiano, watano wa ccm na watano wa chadema jumla kumi. Hoja waachiwe huru wafungwa wa kisiasa na wale waliokimbia nchi warudi
 
Anasema mtu kupingana na yeye ni haki yake ya msingi, amewapa watu wake fursa ya kusema, kujadili na hataki asujudiwe
 

Mwamba rasmi katika cap simba:



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…