Freeman Mbowe kuzungumza na Taifa Ijumaa, Januari 10, 2025

Kamati ya Roho mbaya ikiongozwa na Mdee, wenje, Boniface na wenzao tayari wamesuka mipango yote ya kumhujumu Lisu kumwubia kura kupora ushindi na mambo mengineyo ya hovyo
Ukumbuke CDM ni chama kidogo sana !
Kura kuibiwa ni sala yetu
 
Hofu ya mbowe ni kubwa sana kwa sasa yupo tayari kuuza figo yake hadi afanikiwe kuwa mwenyekiti tena
Hakika yaani TAL akikalia kiti yule hela zote za chama atazitapika na kufirisika kabisa. Kumbe FAM ni mnafiki kupindukia aisee binadamu
 
Chawa wa mbowe wanamshukuru Lisu na wanamwombea aendelee kumpiga Mbowe pressure kwa imewasaidia kupata ulaji kupata ajila toka kwa mbowe na kuiona January ni nzuri kwao, chawa sasa wanakula pesa za mbowe kila siku na wanaendelea kumdanganya mbowe kumshawishi kuongea ujinga, masimango ili joto la uchaguzi liwe kali wapate kuka pesa zote alizoiba Mbowe kwa miaka 20, Mbowe hakuwa kazoea haya ya sasa, alizoea kupita bila kupingwa, Lisu kampelekesha hadi anawewesenga kawa mwimba Taarabu mipasho na masimango
 
Chawa wa mbowe wamekula pesa za mbowe wamelewa wamejitoa fahamu zote wapo busy kumtetea Mbowe hovyo bila kujali chochote na hawajui kuwa wanaendelea kumshusha mbowe zaidi
Asali imewazidia utamu mkuu mpaka hawajui wanachoandika 🤣🤣🤣
 
Uzuri Mbowe sasa anajulikana anaenda kuongea nini hata kabla hajaongea hivyo ni bora chawa wake wamzuie mapema kuepusha Aibu zaidi
 
Uzuri Mbowe sasa anajulikana anaenda kuongea nini hata kabla hajaongea hivyo ni bora chawa wake wamzuie mapema kuepusha Aibu zaidi
Alafu FAM wala haendi kwenye radio stations kuongea 😅😅😅

FAM jela inamuita aiseee
 
Mbowe must go
 
Tunafuatilia mkuu, kwa sasa sisi wajumbe wa Mkutano mkuu tunasikiliza kila mgombea ili kuwapima
 
Molemo media inaegemea upande wa Mbowe
 
NITAFURAHI SANA ENDAPO ATAJITOA KATIKA KINYANGANYIRO HICHO.
 
H
Haahaa mbowe kiukweli muda umempita, asome alama za nyakati.. sio vizuri kuondoka madarakani huku umechokwaa
 
Mwanasiasq mwemye mvuto gani, wa kimapenzi ama!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…