dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
HUYU Jamaa ana uwezo wote wa kuwa mwenyekiti kwa Sifa za uongozi alizo nazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlipambana sana TAL awe Rais wa TLS.
Mkafanikiwa,Kuna alichoweza kukifanya?
Majibu yake mliyaona?
Mjumbe napenda kujua sera za Mbowe ni zipi mpaka sasa. Naomba samariTunafuatilia mkuu, kwa sasa sisi wajumbe wa Mkutano mkuu tunasikiliza kila mgombea ili kuwapima
ishu ni kwamba hata akiendelea kuwa mwenyekiti chadema haitakuwa kama ilivyo hivi sasa, itabakiwa na wenye maslahi binafsi tu. Lile vibe halitakuwepo tena, chadema ita collapse totally chini ya mbowe again. Amechokwa hana jipyaTAL hawezi kusimamia chama kwa miaka mitano,.
Chadema itakuwa yatima soon
Nadhani tusikilize atakayoongea kesho labda anazo sera zake zingine nje ya Katiba ya Chadema, lakini kumbuka kwamba sera zote za Chadema ziko ndani ya Katiba yake na miongozo yake, miongozo hii haikutungwa na mtu mmoja.Mjumbe napenda kujua sera za Mbowe ni zipi mpaka sasa. Naomba samari
Hizi ni virigu tiunna pressure to ccmFreeman Mbowe Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema kesho Ijumaa tarehe 10/01/25 anatarajiwa kuzungumza na Taifa kupitia Clouds Media kuanzia saa 12 asubuhi katika kipindi cha Power Breakfast.
Freeman Mbowe mwanasiasa mwenye mvuto zaidi kwa sasa hapa nchini anatetea nafasi yake ya uenyekiti katika kipindi kingine cha miaka mitano.
Freeman Mbowe amejitofautisha na wapinzani wake kisiasa kwa jinsi alivyo mnyenyekevu, anayechagua maneno ya kuzungumza, anayeheshimu viongozi wenzake, asiyetoa shutuma bila mpangilio, anayetambua mchango wa wenzake, asiyetoa siri za chama na asiyeropoka hovyo.
Kwa mujibu wa tafiti kupitia wajumbe kadhaa wa Mkutano mkuu kote nchini Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena kwa ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura zote za wajumbe.
Molemo Media Itakuwa live kuwaletea mazungumzo ya Freeman Mbowe na Taifa.
Mkuu umezunguka sana. Maana yake mpaka sasa Mbowe hana sera yeyoteNadhani tusikilize atakayoongea kesho labda anazo sera zake zingine nje ya Katiba ya Chadema, lakini kumbuka kwamba sera zote za Chadema ziko ndani ya Katiba yake na miongozo yake, miongozo hii haikutungwa na mtu mmoja.
Ukitaka kuleta jambo jipya ni lazima uombe kwa Kamati kuu kubadili Katiba na useme kwanini
Hiyo ndo akiliAkatangaze kujitoa kugombea uenyekiti na kumuunga mkono Mh. Lissu ili kukinusuru chama. Chama kimegawanyika vibaya mno
Sasa hivi ni full mipasho Hadija Kopa anasubiriVile vichwa vilivyokuwa vikimwandikia Mbowe hotuba vimetoweka. Leo hii anaongea madudu tu
Mkuu niliiweka huku jana, sema nini Team FAM ni Low battery na wapo tayari kudharirika ili mradi wasifie tu. 🤣🤣🤣Mjumbe napenda kujua sera za Mbowe ni zipi mpaka sasa. Naomba samari
Ok yeye anaruhuiwa na si Lisu kama alivojiuganisha na Maria space na kusema analihutubia taifakuzungumza na Taifa
Sasa huu ni muda wenu wa kunadi sera za mnaowaunga mkono na kumwangusha, ni nafasi nzuri ya kushawishi wapiga kura kwamba Jamanii eeee!! Mbowe hana sera mchagueni huyu mtu wetu sera zake hizi hapa.Mkuu umezunguka sana. Maana yake mpaka sasa Mbowe hana sera yeyote
Na wajumbe watakaofika ni 450 jumla,the rest wanahudhuruAnaenda kuanguka,atapata kura 350 ,the rest ni za Lissu