minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Kashindwa kuchukua nchi miaka 21 atakuvusha kwenda wapi? au kutoka Hai kwenda nyumba ya mungu?Mbowe atatuvusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashindwa kuchukua nchi miaka 21 atakuvusha kwenda wapi? au kutoka Hai kwenda nyumba ya mungu?Mbowe atatuvusha
Jikite kwenye hoja.Kashindwa kuchukua nchi miaka 21 atakuvusha kwenda wapi? au kutoka Hai kwenda nyumba ya mungu?
Safi hiyo, Lisu naye ataenda hapo clouds jumatatu kuweka vizuri upotoshaji wowote utakaojitokeza.Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema kesho Ijumaa tarehe 10/01/25 anatarajiwa kuzungumza na Taifa kupitia Clouds Media kuanzia saa 12 asubuhi katika kipindi cha Power Breakfast.
Freeman Mbowe mwanasiasa mwenye mvuto zaidi kwa sasa hapa nchini anatetea nafasi yake ya uenyekiti katika kipindi kingine cha miaka mitano.
Freeman Mbowe amejitofautisha na wapinzani wake kisiasa kwa jinsi alivyo mnyenyekevu, anayechagua maneno ya kuzungumza, anayeheshimu viongozi wenzake, asiyetoa shutuma bila mpangilio, anayetambua mchango wa wenzake, asiyetoa siri za chama na asiyeropoka hovyo.
Kwa mujibu wa tafiti kupitia wajumbe kadhaa wa Mkutano mkuu kote nchini Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena kwa ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura zote za wajumbe.
Molemo Media Itakuwa live kuwaletea mazungumzo ya Freeman Mbowe na Taifa.
Sitashangaa kama atatangaza kujitoa katika kinyang'anyiro hiki. Mbowe ni pragmatic na atakuwa anajua kuwa hata akishinda kihalali chama chake hakitabaki salama. Nahisi washauri wake wa karibu watakuwa wamemwambia kuwa ni bora ajitoe ili akinusuru chama chake. Mtoto akililia wembe mpe.Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema kesho Ijumaa tarehe 10/01/25 anatarajiwa kuzungumza na Taifa kupitia Clouds Media kuanzia saa 12 asubuhi katika kipindi cha Power Breakfast.
Freeman Mbowe mwanasiasa mwenye mvuto zaidi kwa sasa hapa nchini anatetea nafasi yake ya uenyekiti katika kipindi kingine cha miaka mitano.
Freeman Mbowe amejitofautisha na wapinzani wake kisiasa kwa jinsi alivyo mnyenyekevu, anayechagua maneno ya kuzungumza, anayeheshimu viongozi wenzake, asiyetoa shutuma bila mpangilio, anayetambua mchango wa wenzake, asiyetoa siri za chama na asiyeropoka hovyo.
Kwa mujibu wa tafiti kupitia wajumbe kadhaa wa Mkutano mkuu kote nchini Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena kwa ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura zote za wajumbe.
Molemo Media Itakuwa live kuwaletea mazungumzo ya Freeman Mbowe na Taifa.
CCM bwana.Tumemchoka,nilikuwa CHADEMA sanaaaa,haswaaaa lakini kwa hili la kutaka yeye awe mwenye kiti peke yake hakika naenda kuchukua kadi ya ccm
Ajiuzulu na ajitoe kwenye kinyang'anyiroAjiuzulu au ajitoe kwenye kugombea?
Amandla...
Aisee Shida mwamba anakuja kuharibu tena sababu sioni sehemu nyingi Lisu alishampiga pini.Yaani siamini kama Mwamba kachuja kama batiki la Karume 🤣🤣🤣
Anaweza kufanya hivyo. Lakini akisema anamuunga mkono Lissu ataonekana mnafik. Ajitoe, uchaguzi, aendelee na maisha yake.Akatangaze kujitoa kugombea uenyekiti na kumuunga mkono Mh. Lissu ili kukinusuru chama. Chama kimegawanyika vibaya mno
Hana sababu ya kujiuzulu.Ajiuzulu na ajitoe kwenye kinyang'anyiro
Ya Lissu umekubali niweze kukujibu?Mbowe kamaliza miradi gani zaidi ya kuiba pesa zote za chadema kwa kuzitakatisha kujilipa madeni hewa akisingizia alikopesha chama
Alisahau kuweka " KWA MTAZAMO WANGU"Are you sure?
Mbowe sasa hapati usingizi kwani hakuwa kazoea joto la uchaguzi wa ndani , alizoea kupita bila kupingwaKambi ya chechemela haitalala, waganga watapigiwa simu wakatege madawa kwenye mageti ya Clouds
Huna cha kujibu kwani wewe ni mnufaika wa wizi wa mboweYa Lissu umekubali niweze kukujibu?
MinyooHuna cha kujibu kwani wewe ni mnufaika wa wizi wa mbowe
Chawa wa mbowe wamekula pesa za mbowe wamelewa wamejitoa fahamu zote wapo busy kumtetea Mbowe hovyo bila kujali chochote na hawajui kuwa wanaendelea kumshusha mbowe zaidiMkuu kwa jinsi ulivyompamba Mbowe halaf akatangaza kujitoa katika kinyang'anyiro ili Lisu apite kwenye uchaguzi wa chama, sijui utaificha wapi sura yako!
Upepo umekataa kabisa halafu ni ile lafudhi yake ya Kichaga anavyoongea sasa hivi typically anaonekana ni tapeli pro.Aisee Shida mwamba anakuja kuharibu tena sababu sioni sehemu nyingi Lisu alishampiga pini.
Hatujui anakuja kuongea na waandishi wa habari kama Mfanyabiashara mbowe au Mwekekiti wa chadema.