Freeman Mbowe leo atazungumza mubashara na waandishi wa habari kuhusu masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa

Freeman Mbowe leo atazungumza mubashara na waandishi wa habari kuhusu masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa

Francis12

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2016
Posts
7,533
Reaction score
22,281
Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe.Freeman Mbowe Alhamis, Mei 14, 2020, saa 5 asubuhi, atazungumza mubashara na waandishi wa habari kuhusu masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa. Tutawataarifu zaidi. Asanteni.
===============
Mkutano wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe uliokuwa ufanyike mubashara kuzungumza na umma, hautafanyika kama ilivyopangwa, baada ya Jeshi la Tanpol kumhitaji akaripoti Ofisi ya RCO Kinondoni, Kituo cha Polisi Oyster bay.
 
Tunasubiri speech makini lakini naye asije toka povu kama sabufa tu!!
 
Taarifa haijakamilika,muda na chombo gani cha habari hujaeleza
 
Warudishe posho Hao masela haiwezekani watafune posho hawajafanya kazi

Kwasasa mikusanyiko hairuhusiwi warudishe tu posho
 
Je ndugai Anajua maana utaskia mkutano umekatazwa kisa korona
 
Huyu hajanywa ile dawa ya Madagascar hawezi kuzungumza ujinga, So tutegemea hotuba bora kabisa kutoka kwake.

Long Life Mbowe [emoji111][emoji110]
Samahani natoka kwenye mada kidogo! Hiviiiii, hiyo dawa ya Madagascar imenyweka Dar tu, au na sisi ‘sayansitiski’ tuliopo nyumbani, huku mikoani tutaletewa tuionje?!!
 
Atangaze kujiuzulu kabisa!
Haiwezekani mtu mmoja awashike akili bavicha nq chadema nzima kiasi hiki

Sent using Jamii Forums mobile app
Atawashikaje akili wenye akili? Aliyewashikia akili wasio akili ni yule aliye mafichoni ambaye hata mikutano na wenzake haendi na walioshikiwa akili wanatumia nguvu kubwa kumtetea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu Lissu apigwe risasi hakuna mwenye ujasiri wa kusema lolote hadharani, yaani hakuna aliyevaa viatu vya Lissu.

Ni ukweli usiopingika kuwa CDM tutapoteza viti vingi 2020 kuliko tunavyofikiria, na hii yote ni kutokana na uongozi mbovu uliopo ndani ya chama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa haijakamilika,muda na chombo gani cha habari hujaeleza

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi hawasemi ila aongelee posho wanarudisha au hawarudishi? Pili kwa nini anaadhibu wabunge Wa chadema kwa kuhudhuria vikao vya bunge ? Wakati ni wajibu wa mbunge kuhudhuria vikao

Tatu kwa nini aliitisha lockdown ya wabunge yeye daktari? Au ana taaluma ya afya?

NNE ajieleze lockdown mtu akiji lockdown anatakiwa aji lock down kwa gharama za Nani? Wao kama waliji lockdown kwa gharama za bunge badala ya za kwao binafsi je bunge liliidhinisha kuwa waji lockdown kwa gharama za bunge?

Waandishi Wa habari ulizeni maswali ya ki CNN na Ki BBC kama haya mwaweza chukuliwa na hizo idhaa

Uulizaji maswali kwa waandishi wetu uko chini mno

Komaeni hata asipongelea mumuhoji
 
Tangu Lissu apigwe risasi hakuna mwenye ujasiri wa kusema lolote hadharani, yaani hakuna aliyevaa viatu vya Lissu.

Ni ukweli usiopingika kuwa CDM tutapoteza viti vingi 2020 kuliko tunavyofikiria, na hii yote ni kutokana na uongozi mbovu uliopo ndani ya chama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Simama kamanda, uwe mbadala wa Tundu lissu!!! Mabadiliko huanza na wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
VIPI KWANI KASHATENGA FEDHA ZA UMNASUA MUZA UNGA NA MLAJI MWENZAKE,MBOWE WACHA KUTUMIKA NA MABEBERU!!!!

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Kwanini hukumuuliza basha wako aliyejificha huko kijijini,kwamba amekimbia mji na kujifungia kwa gharama za nani?

Badala ya kupima wagonjwa wa Corona,anapima wanyama na matunda,muulize sababu gani?

Hebu mwambie aache kuwaza uchaguzi,atafute mbinu za kuwaokoa watanzania na janga la corona.

Bila hivyo wewe mwenyewe hauko salama sana,utakufa kwa corona kwa sababu basha wako anakuona kenge tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom