Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UsinipangieAndika kwa herufi ndogo utaeleweka tu
Usipanic sasa.Usinipangie
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
JiheshimuUsipanic sasa.
tulia kdg we dadaWarudishe posho Hao masela haiwezekani watafune posho hawajafanya kazi
Kwasasa mikusanyiko hairuhusiwi warudishe tu posho
Punguza jazbaJiheshimu
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Labda vyo vya habari vya kimataifa na baadhi ya online TV ila hizi nyingine sina hakika kama wataitikia witoMwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe.Freeman Mbowe Alhamis, Mei 14, 2020, saa 5 asubuhi, atazungumza mubashara na waandishi wa habari kuhusu masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa. Tutawataarifu zaidi. Asanteni.
===============
Ni jambo jema!Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe.Freeman Mbowe Alhamis, Mei 14, 2020, saa 5 asubuhi, atazungumza mubashara na waandishi wa habari kuhusu masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa. Tutawataarifu zaidi. Asanteni.
===============
Chombo cha nini, hapa nikidigital tu kujifungia ndani unarecord unafanya editing kitu kinaenda hewani kupitia you tube, face book, JF, Instagram habari kwisha
Mbona wewe ni mjinga kiasi hiki?Kwanini hukumuuliza basha wako aliyejificha huko kijijini,kwamba amekimbia mji na kujifungia kwa gharama za nani?
Badala ya kupima wagonjwa wa Corona,anapima wanyama na matunda,muulize sababu gani?
Hebu mwambie aache kuwaza uchaguzi,atafute mbinu za kuwaokoa watanzania na janga la corona.
Bila hivyo wewe mwenyewe hauko salama sana,utakufa kwa corona kwa sababu basha wako anakuona kenge tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe wa mkoani sahau hilo, saa hv box zote zipo chatto!Samahani natoka kwenye mada kidogo! Hiviiiii, hiyo dawa ya Madagascar imenyweka Dar tu, au na sisi ‘sayansitiski’ tuliopo nyumbani, huku mikoani tutaletewa tuionje?!!