Freeman Mbowe na Hoyce Temu

Freeman Mbowe na Hoyce Temu

Wakati huo Jpm anachunga ng'ombe huko usukumani na Mbowe yupo city centre ..

Bashite ndo alikuwa anafagia saloon Mwanza
 
Back in the days!!Kiunoni Motorola sijui Siemens....Lkn ndio "fashiooo".Bila kuiweka simu nje ya kiuno watu wanakuona wakuja.Hapo zikiitwa "kimobitel" au "kivodacom".Mtu anakwambia weka "dola" kama unataka "kum-deep" jamaa yako.

Ndani ya Bills aka Bilicanas....Ile ya NHC na Mchechu!!Wakati wakina fulani wana miaka minne tu ya Ubunge.Hoyce Temu Miss Tanzania 1999 na Aikael F. Mbowe.Kumbukumbu ya wakati huo.Ama hakika wakati ni ukuta.Nyakati ngumu hudumu,lkn watu wagumu hupita na kutoweka!!

View attachment 398441

Mbowe alikuwa na nyadhifa gani kipindi hicho
 
1999 si juzi tu...? Hio picha black and white utafikiri ya 1960s.
 
Wakati huo Jpm anachunga ng'ombe huko usukumani na Mbowe yupo city centre ..

Bashite ndo alikuwa anafagia saloon Mwanza
1999 wewe ulikuwa wapi? Rekodi zinaonesha alikuwa Naibu Waziri probably alikuwa anakaa Oysterbay au Ada estate.
 
Live long Freeman Aikael Mbowe
tapatalk_1485892146512.jpeg

Jamaa anazeeka vibaya.
 
Wakati huo mtukufu yupo chato anavua samaki.

Mbowe mtoto wa mjini toka kitambo.
jamaa kaanza uwazir kipindi cha Mkapa, hahahaaaaaa.......wakati ye yupo disco watu wapo mlimani wanalisha ubongo......hihihiiiiiii, mapenzi bhana.
 
Mbona yule mwingine tulimpa nchi kabisa?
Mbona yule tuliimpa na nchi kabisaa...Na Bills ulikuwa uwanja wake wa nyumbani?haya mambo ni "Social Life" tu...Usiwe kama vile vizee vikuda,hata ukiwa na perfume tu anasema anasa.

Hizi Poverty Mentality za kuona maisha ya dhiki ndio "ugangwe" zinatupoteza...Kula bata mkuu mr gentleman maisha ndio haya haya
kweli kabisa mkuu, Umasikini ni laaana kubwa sana. Maana mawazo ya masikini kila siku ni kuogopa matumizi tumia pesa ili upate pesa nyingine
 
bia 180.safari 250 ukiinywa over Heineken sasa hivi
Na Sigara ilikuwa bei gani? Kipindi icho maana hata bei sikumbuki tena, maana nilikuwa darasa la saba
Nachokumbuka ni msiba wa Nyerere, kipindi icho tuu zile nyimbo za Marehemu Komba
Kipindi icho apa ubungo kulikuwa na soko panaitwa Minazi. Duh long time sana, Enzi zile zilikuwa za kikuda sana, mzazi akirudi home kutoka kazini anakuwa kauzu kama dagaaa
 
Duh wakati huo nilikuwa naishi Shekilango nilikuwa bado mdogo sana pale kwenye yard ya mwanamboka niliokota noti nyekundu zikiwa zimefungwa raber band nakumbuka nilinpelekea ile pesa marehem brother kesho yake tulitoka pamoja tukaja kaliakoo akaninulia shati la mikono milefu lilikuwa limeandikwa Lee duh hii ni zamani sana
 
Hiyo simu aloweka mbowe kiunoni siyo Mobitel, ilikua ni Tritel,simu ambayo kwa wakati ule ndio simu iliyokua na mtandao wa GSM ambao ulikuwa unaweza kutuma sms mapedeshee wengi na matajiri wa wakati ule walikua wakiutumia mtandao huo nina uhakika na hilo na huyo Hoyce Temu baada ya kupata huo umiss alipata dili ya tangazo la Tv la Tritel.
Tritel the better choice
 
Back
Top Bottom