Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Nakumbuka hiyo siku ilivuma sana na sisi vijana wakati huo tupo mitaa ya Aggrey na Mansfield na kule karibu na long room wengine na briefcase zenye ofisi ndani.
Bila kusahau pale mahali patakatifu penye supu ya uhakika nyuma ya lile jingo refu la info sys.
Ikiwa full charged inamulika tu na kimulimuli cha kijani kukujulihsa ipo nawe.
Lol
Bila kusahau pale mahali patakatifu penye supu ya uhakika nyuma ya lile jingo refu la info sys.
Ikiwa full charged inamulika tu na kimulimuli cha kijani kukujulihsa ipo nawe.
Lol