Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa


Ulitaka wewe ndo uzae na Mbowe (Ulitaka kupigwa Machine na Kamanda Mbowe) na Mtoto wenu uende wewe front kufuatilia hiyo birth certificate sio ?
 
Makubwa haya. Mbowe ana nyumba ndogo nyingi sana
Wewe ni wa kike au wa kiume?
Kama wa kike sishangai.

Ila kama wa kiume utanishangaza ni nitajiuliza maswali mengi inakuwaje umuonee gere mwanaume mwenziyo eti ana nyumba ndogo nyingi.
 
Ninyie mnaopoteza mda kujadili watu. Halafu tunasema vijana wanachangamoto ya ajira, kumbe tayari hii ni ajira kwenu
Yupo mdau amekuuliza kuwa ilikuwa vema kumjadili komba lakini siyo vema kumjadili mbowe?
 
Hivi ndivyo viwango vya mashambulizi ya kisiasa toka lumumba. Magamba mnatia huruma.
 
Wafiche nini na wambea kama nyie mpo! Nahisi kuna watu wangependa mbowe na dr. slaa wawaowe lakini wanakosa nafasi
 
Mbowe na slaa wana skendo za kitoto toto kweli
 
Mbowe ni mzinzi sana, inakuwa anazaa zaa. Ovyo hivi?

Hajaanza yeye lakini,list ni ndefu sana,tukianza na baba nani hii............halafu yule anaefanana na wanyama wetu wa mwituni na yule mwingine aliefumaniwa wakati wa kampeni Igunga na yule uncle wetu mwingine alietishia kuingia msituni iwapo katiba mpya haitapita.
 
Usihofu ndugu nawe ukikubali kumzalia mtoto nipo tayari kuwa baba wa ubatizo,mlezi hata kuwa mjomba wa huyo mtoto ili mwisho wa siku tuje kuongoza dola..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…