Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa

kwan ubaya uko wap? Mbona kikwete ana watoto kibao,hata shinyanga yupo tewma anaitwa kwa ubini wa jakaya kikwete,hata leo nakupeleka,ngokolo shinyanga
 
Private affairs. Yanayoendelea kwenye ndoa wanayajua wanandoa wenyewe. Mbowe kama ni kweli anaingia kwenye statistics tu kama mwanadamu. Tena hii ni bora kwa mtoto akamjua Baba yake mzazi kuliko kuna watu wazima kabisa mpaka leo hii tunavyozungumza hawawajui biological fathers wao. Si support michepuko but it has happened, tuishi nalo tu. Si wa kwanza na hatakuwa wa mwisho for sure.
 
kwan ubaya uko wap? Mbona kikwete ana watoto kibao,hata shinyanga yupo tewma anaitwa kwa ubini wa jakaya kikwete,hata leo nakupeleka,ngokolo shinyanga

Basi itakuwa kila sehemu kawekeza au wanamsingizia? Kile kitabu cha kumbukumbu genes kinamhusu aiseeee .
 
Unamuonea wivu JOYCE, siyo bure. Kupigwa apigwe yeye, wewe unawashwa. Utakuwa unamuonea hadi Dada yako wivu.

Fuata mfano wa Omar Kopa(RIP) aliyesema "Mama anafaidi, ngoja na mie nifaidi....."

Uzinzi ni kigezo kimojawapo cha kunyimwa uongozi!
 
kwan ubaya uko wap? Mbona kikwete ana watoto kibao,hata shinyanga yupo tewma anaitwa kwa ubini wa jakaya kikwete,hata leo nakupeleka,ngokolo shinyanga



WATOTO WA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
1. Mustafa Jakaya (33)Kigoma
2. Mwanaharusi Jakaya(36)Kigoma
3. Isihaka Jakaya(34)Rukwa
4. Halfani Jakaya(31)Bagamoyo
5. Faudhia Jakaya(33)Dodoma
6. Siwema Jakaya(31)Mtwara
7. Faudh Jakaya (3)Iringa kwa Assas
8. Maulid Jakaya(18)Tabora
9. Salama Jakaya(33)Mama alifariki(Ameolewa na Albert Marwa yupo kwenye sakata la wizi Tsh200Bils)
10. Ridhiwani (36)Mama hajulikani
11. Miraji Kikwete (33) Mama hajulikani
12. Mwanaasha Jakaya-(18) Chalinze
14. Pili(6)Ikulu
15. Havintishi(5)Ikulu
16. Mwalusembe(4)Ikulu
17. Hafidh (16)Ikulu
 
Hivi kuna taahira kumzidi Freeman Mbowe?

Dogo, nadhani utoto unakusumbua [ingawa una umri mkubwa]. Sikutegemea maneno hayo yangetoka kinywani mwako, umejisikia raha na ujasiri gani kumtukana kiongozi wa kitaifa namna hiyo? Wewe ndiwe uliyekuwa unatujuza habari motomoto kutoka Bungeni au kuna mtu ameiba Id yako?

Nimekudharau?

Vv
 
Mh Mbowe na Mzee wetu Mengi unapowaona maeneo tofauti unawaona kama watu serious na committed kwelikweli.

Kwenye maisha binafsi utawahurumia sana.

Mkuu, mwanadamu mwenye tabia ya mwilini hana ujanja ktk hayo mambo, vinginevyo awe ametahiriwa rohoni, lkn kama ameishiwa kutahiriwa govi la nje, anakuwa kama vile breki yake imekatwa.

Vv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…