Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa

Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa

hata mie wadogo zangu waliniletea bila hata ya kuwatuma cheti cha kuzaliwa wanangu.
 
Kwamba tutasahau kipigo walichopata chama tawala kwenye serikali za mitaa ...pia tutasahau jinsi..mamlaka ya uteuzi inavyoonyesha watanzania kuwa yawezekana imeshiriki kwenye ukwaupuaji wa mkwanja wa escrow kwa kushindwa kumkamata na kumtia kizuizini mwanasheria aliyeshauri ukwapuaji huo ufanyike....na kwamba sasa wananchi wako tayari kwa lolote....kuamua juu ya hatima ya maisha yao na vizazi vijavyo.

Hamuwezi....Huu si upepo wa kupita tu...!
 
mambo ya mahusiano ni magumu sana, pita vijiwe vya pweza uone!

na ukimaliza ya Mbowe, hamia kwa Kinana utuambie mke wake nani na mtoto wake nani?
 
Mbowe amezaa na joyce watoto wangapi. kuna huyu CAYLA na FREELADY
 
Back
Top Bottom