Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa

Freeman Mbowe na Joyce Mukya wamtumia Mjomba wa Mtoto kupata cheti cha kuzaliwa

huo ni wivu wa kike, kila kiongozi yakiibuliwa ya kwake hapa hapatakalika.

ni vizuri tukawa na siasa za kistaarabu na kuvumiliana kwa pande zote.

siyo kila jambo ni la kusema hadhani, hebu fikiria, kwa bahati mbaya umeingia chumbani kwa wazazi wako ukamkuta mmoja uchi, utatangaza?
 
Sijaelewa kitu kwenye hii mada, Nadhani hili punguani bado linamaluweluwe ya kipigo cha Serikali mitaa...

We gamba kazimue kwanza ndipo uje uchangie au kuanzisha thread hapa

BACK TANGANYIKA
 
Uzi huu ni wa Mashoga! Wanatamani wangepigwa wao pipe! Katika hali ya Kawaida Familia ya Mbowe, Mukya et al zinawaumiza vipi Watanzania kama ESCROW, EPA, Uchakachuaji kwenye Kura, Katiba, Mikataba ya Kishenzi, Ujangili uliokithiri?... Hivi visebengo vya Lumumba huwa yanawaza kwa masaburiibinASHKmajinun!...
 
Vijana wa ccm wajinga kweli kweli ndio mlicho ona chakujifariji. Vijana wa ukawa tupo busy kuhamasishana kuwa tayari 2015 tuwafunze adabu
 
Back
Top Bottom