Chadema kimekuwa siku zote kikisema kuwa ni chama cha kutetetea wanyonge ambao hawana sauti na wanaonewa
Kuna mnyonge mmoja asiye na sauti anayeitwa Mrs MBOWE ambaye alifunga ndoa ya kanisani na Freeman Mbowe ambaye aliaapa mbele ya Mungu na wanadamu walikokuwepo Kanisani kuwa atakuwa na mke mmoja tu na hatajishughulisha na mwanake mwingine nje ya ndoa.
Joyce Mukya mbunge kampora mume wake na kuzaa na Mbowe mtoto.
Mama wa watu hana sauti ni mnyonge anahitaji kusaidiwa.
Chadema Msaidieni huyo mnyonge kama kweli mnasaidia wanyonge.
Akina Helen Kijo Bisimba pia kwa hili wako wapi mbona hawajatoa tamko? Au ni binadamu gani hao ambao akina Bisimba huwa wanawatetea kwenye kituo chao cha Haki za Binadamu?
Kanisa nalo vipi mbona kinywa akina Niwemugizi,Ngalekumtwa na akina Kakobe wako wapi kwenye hili?
Na akina Anael Nkya wa madawati ya jinsia wako wapi kusaidia huyu mama?
TAWLA nao mbona kimya hawajasikia,hawajaona au wanajikausha?
Huyu mama anahitaji asaidiwe iwe kisheria au vinginevyo ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia ya kuonea hasa wanawake hasa walioko kwenye ndoa halali kama huyo mama mbowe.