Freeman Mbowe na Tundu Lissu washiriki ibada ya Mazishi ya Askofu Kweka

Freeman Mbowe na Tundu Lissu washiriki ibada ya Mazishi ya Askofu Kweka

View attachment 2834847

Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Viongozi wakuu wa Chadema , Tundu Lissu na Freeman Mbowe leo 06/12/2023 , Wamebahatika kuwa miongoni mwa watu waliohudhuria Ibada ya mazishi ya Askofu Kweka .

Akizungumza kwa Taabu kwenye ibada hiyo kutokana na kujawa na Majonzi makubwa , Freeman Mbowe amemtaja Askofu Kweka kama sehemu ya familia yake , kutokana na kuwa karibu mno na Wazazi wake , huku akimtaja kwamba ndiye aliyemfungisha ndoa na ndiye aliyeongoza Mazishi ya Mama yake na Baba yake .

Mbowe amemtaja Baba Askofu Dr Kweka kuwa mfano wa kuigwa na kwamba matendo yake yatadumu milele .
Kuna watu wakifa kwa kweli unaona ile mantiki ya Mungu alimpenda zaidi. Maana mtu anapendwa sana na wanadamu wenzake, lakini gjafla hamnaye tena.

Baba wa huruma mtazame kwa jicho la huruma mtumishi wako huyo aliyeyatoa maisha yake kwaajili ya kukutumikia. Pale alipopungukiwa, aishuhudie huruma yako maana wewe ni Bwana wa msamaha.
 
Michango ni kwa ajili ya Mbowe na siyo wananchi wa hanang na ndio maana kuna picha ya Mbowe mwenyewe na namba ya simu aliyo sajili kwa ajili ya kupokelea michango yake.
Hakika wewe ni mfuasi mwaminifu wa ujinga uliyeamua kuuishi ujinga kwa moyo wako wote.

Basi upokee malipo ya ujinga wako sawasawa na ujinga wako.
 
Nani atakaa na laini inayopokea michango? Kwanini hamkufungua akaunti benki? Hiyo laini uwezo wake wa kupokea pesa ni shilingi ngapi kwa siku? Kwanini mmeweka picha ya Mbowe kwenye tukio la kuchagia wahanga? Je yeye ndiye mhanga? Ndiye anayechangiwa pesa? Nani msimamizi wa miamala inayoingia? Vipi akitoa au kuhamisha pesa kinyemela? Nani wakufuatilia hayo?

Pesa za join the chain zipo wapi? Zilipatikana kiasi gani? Zilitumika kiasi gani? Zilibaki kiasi gani? Zipo wapi? Zilifanya kazi gani zile zilizotumika? Kwa utaratibu upi?
Yawezekana wewe ni kibaka. Hivyo unaamini kuwa ninyi vibaka mpo wengi sana. Pole sana. Mara nyingi mtu akiwa na tabia fulani mbaya huwa sensitive sana kwenye hilo akidhania na wengine wapo kama yeye.

Eti kwa nini imewekwa picha ya Mbowe? Ulitaka waweke picha ya kwako? Wanaweka picha ya mtu anayeaminika ili watu wawe na amani na michango yao kuwa itafika kunakotakiwa.

Hata wakati wa tetemeko la arshi kule Kagera, ni mchango wa CHADEMA pekee ndio uliwafikia waathirika moja kwa moja. Wale wevi wa CCM wakaanza kulalamika kuwa CHADEMA wamefanya vibaya, wanatafuta umaarufu, na kwamba eti michamgo wangeikabidhi kwenye kamati.

Hata hii michango ya sasa, CHADEMA ikabidhi moja kwa moja kwa waathirika. Wasije wakakosea wakapeleka michango hiyo kwenye hizo kamati za maafa za CCM. CCM ni mcha hauchagui cha kutafuni, iwe ni kitambaa, karatasi au yasi, utatafuna tu!!
 
View attachment 2834847

Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Viongozi wakuu wa Chadema , Tundu Lissu na Freeman Mbowe leo 06/12/2023 , Wamebahatika kuwa miongoni mwa watu waliohudhuria Ibada ya mazishi ya Askofu Kweka .

Akizungumza kwa Taabu kwenye ibada hiyo kutokana na kujawa na Majonzi makubwa , Freeman Mbowe amemtaja Askofu Kweka kama sehemu ya familia yake , kutokana na kuwa karibu mno na Wazazi wake , huku akimtaja kwamba ndiye aliyemfungisha ndoa na ndiye aliyeongoza Mazishi ya Mama yake na Baba yake .

Mbowe amemtaja Baba Askofu Dr Kweka kuwa mfano wa kuigwa na kwamba matendo yake yatadumu milele .
R.I.P bishop
 
Yawezekana wewe ni kibaka. Hivyo unaamini kuwa ninyi vibaka mpo wengi sana. Pole sana. Mara nyingi mtu akiwa na tabia fulani mbaya huwa sensitive sana kwenye hilo akidhania na wengine wapo kama yeye.

Eti kwa nini imewekwa picha ya Mbowe? Ulitaka waweke picha ya kwako? Wanaweka picha ya mtu anayeaminika ili watu wawe na amani na michango yao kuwa itafika kunakotakiwa.

Hata wakati wa tetemeko la arshi kule Kagera, ni mchango wa CHADEMA pekee ndio uliwafikia waathirika moja kwa moja. Wale wevi wa CCM wakaanza kulalamika kuwa CHADEMA wamefanya vibaya, wanatafuta umaarufu, na kwamba eti michamgo wangeikabidhi kwenye kamati.

Hata hii michango ya sasa, CHADEMA ikabidhi moja kwa moja kwa waathirika. Wasije wakakosea wakapeleka michango hiyo kwenye hizo kamati za maafa za CCM. CCM ni mcha hauchagui cha kutafuni, iwe ni kitambaa, karatasi au yasi, utatafuna tu!!
Tangia lini Mbowe amekuwa mwaminifu kwenye hela? Kama ni mwaminifu embu niambie pesa za join the chain Zilipatikana kiasi gani? Zipo wapi?
 
View attachment 2834847

Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Viongozi wakuu wa Chadema , Tundu Lissu na Freeman Mbowe leo 06/12/2023 , Wamebahatika kuwa miongoni mwa watu waliohudhuria Ibada ya mazishi ya Askofu Kweka .

Akizungumza kwa Taabu kwenye ibada hiyo kutokana na kujawa na Majonzi makubwa , Freeman Mbowe amemtaja Askofu Kweka kama sehemu ya familia yake , kutokana na kuwa karibu mno na Wazazi wake , huku akimtaja kwamba ndiye aliyemfungisha ndoa na ndiye aliyeongoza Mazishi ya Mama yake na Baba yake .

Mbowe amemtaja Baba Askofu Dr Kweka kuwa mfano wa kuigwa na kwamba matendo yake yatadumu milele .
Alaa gia imebadilishiwa hewani!
 
PoleBaba Askofu Kweka lakini huue ndiyo ukabila wa CHADEMA. Kule Ukerewe mwaka ule meli ilizama wakafa 30 Mbunge wa CHADEMA wala hawakwenda. Sasa hivi kuna Hanang kwa Dr Slaa na Paulina Gekur vigogo wa CHADEMA wala hawatoi pole. Ndiyo maana Mbunge wa Ukerewe na Dr Slaa na Gekul wote wakakimbilia CCM kwenye utu.

Wewe kweli akili yako iliishajifia. Haina kumbukumbu.

Mimi siyo mtu wa kaskazini, lakini naipenda CHADEMA kwa sababu naona wazi ni chama kilichosheheni watu wenye akili, wakweli na wasio wanafiki, kama ilivyo CCM.

Mchango ule wa CHADEMA kwa waliopatwa na tetemeko la ardhi ulifuata ukabila? Tangazo la CHADEMA la kutaka watu watoe michango kwaajili ya maafa ya Hanang, limelenga ukabila? Au ulitaka upewe wewe ndiyo ujue hakuna ukabila?

Nakumbuka wakati wa tetemeko la arshi, CHADEMA ndiyo taasisi pekee iliyowakabidhi michango waathirika moja kwa moja. Na Serikali ya CCM ikalalamika sana ikidai kuwa CHADEMA inafanya siasa, michango ilitakiwa ikabidhiwe kamati ya maafa. Kumbe walitaka kuitafuna, kama ilivyo kawaida ya CCM.
 
Wewe kweli akili yako iliishajifia. Haina kumbukumbu.

Mimi siyo mtu wa kaskazini, lakini naipenda CHADEMA kwa sababu naona wazi ni chama kilichosheheni watu wenye akili, wakweli na wasio wanafiki, kama ilivyo CCM.

Mchango ule wa CHADEMA kwa waliopatwa na tetemeko la ardhi ulifuata ukabila? Tangazo la CHADEMA la kutaka watu watoe michango kwaajili ya maafa ya Hanang, limelenga ukabila? Au ulitaka upewe wewe ndiyo ujue hakuna ukabila?

Nakumbuka wakati wa tetemeko la arshi, CHADEMA ndiyo taasisi pekee iliyowakabidhi michango waathirika moja kwa moja. Na Serikali ya CCM ikalalamika sana ikidai kuwa CHADEMA inafanya siasa, michango ilitakiwa ikabidhiwe kamati ya maafa. Kumbe walitaka kuitafuna, kama ilivyo kawaida ya CCM.
Usihangaike na Wajinga
 
Tangia lini Mbowe amekuwa mwaminifu kwenye hela? Kama ni mwaminifu embu niambie pesa za join the chain Zilipatikana kiasi gani? Zipo wapi?
Umewahi kusikia waliochanga wakilalamika kuwa hawajui zimetumikaje? Kama waliochanga hawajawahi kulalamika, wewe ambaye siyo mchangiaji, inakuhusu nini?

Yaani taarifa ya matumizi ya hizo pesa wakupe wewe ambaye huhusiki, waache kuwapa waliochangia?
 
View attachment 2834847

Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Viongozi wakuu wa Chadema , Tundu Lissu na Freeman Mbowe leo 06/12/2023 , Wamebahatika kuwa miongoni mwa watu waliohudhuria Ibada ya mazishi ya Askofu Kweka .

Akizungumza kwa Taabu kwenye ibada hiyo kutokana na kujawa na Majonzi makubwa , Freeman Mbowe amemtaja Askofu Kweka kama sehemu ya familia yake , kutokana na kuwa karibu mno na Wazazi wake , huku akimtaja kwamba ndiye aliyemfungisha ndoa na ndiye aliyeongoza Mazishi ya Mama yake na Baba yake .

Mbowe amemtaja Baba Askofu Dr Kweka kuwa mfano wa kuigwa na kwamba matendo yake yatadumu milele .
Kumbe amesharudi kutoka kwao. Mbona kimya kimya, mbwembwe zote kushinei
 
Nani atakaa na laini inayopokea michango? Kwanini hamkufungua akaunti benki? Hiyo laini uwezo wake wa kupokea pesa ni shilingi ngapi kwa siku? Kwanini mmeweka picha ya Mbowe kwenye tukio la kuchagia wahanga? Je yeye ndiye mhanga? Ndiye anayechangiwa pesa? Nani msimamizi wa miamala inayoingia? Vipi akitoa au kuhamisha pesa kinyemela? Nani wakufuatilia hayo?

Pesa za join the chain zipo wapi? Zilipatikana kiasi gani? Zilitumika kiasi gani? Zilibaki kiasi gani? Zipo wapi? Zilifanya kazi gani zile zilizotumika? Kwa utaratibu upi?
Ungekuwa unahoji hivi hivi kwenye matumizi ya suluhu, mpango, bashite na majaliwa ungeliokoa Taifa!
 
Kuna watu wakifa kwa kweli unaona ile mantiki ya Mungu alimpenda zaidi. Maana mtu anapendwa sana na wanadamu wenzake, lakini gjafla hamnaye tena.

Baba wa huruma mtazame kwa jicho la huruma mtumishi wako huyo aliyeyatoa maisha yake kwaajili ya kukutumikia. Pale alipopungukiwa, aishuhudie huruma yako maana wewe ni Bwana wa msamaha.
Dah!

Mkuu 'Bams', hizi sala ni za kilokole?
Ni swali tu, hakuna zaidi ya hapo!

Walokole sijui huwa wanafundishwa wapi, maana sala zao wao ni za papo kwa papo (impromptu); hakuna cha "Baba yetu uliye..." au kitu kama hicho.

Mlokole akiamua kutunga sala, maneno yanamtoka mfululizo bila hata kusita; hakuna ku'recite'.

Nisilojua, ni kama ukimwomba arudie sala, atairudia maneno yale yale, au atatunga mengine!
 
View attachment 2834847

Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba, Viongozi wakuu wa CHADEMA, Tundu Lissu na Freeman Mbowe leo 06/12/2023 Wamebahatika kuwa miongoni mwa watu waliohudhuria Ibada ya mazishi ya Askofu Kweka .

Akizungumza kwa Taabu kwenye ibada hiyo kutokana na kujawa na Majonzi makubwa, Freeman Mbowe amemtaja Askofu Kweka kama sehemu ya familia yake, kutokana na kuwa karibu mno na Wazazi wake, huku akimtaja kwamba ndiye aliyemfungisha ndoa na ndiye aliyeongoza Mazishi ya Mama yake na Baba yake.

Mbowe amemtaja Baba Askofu Dr Kweka kuwa mfano wa kuigwa na kwamba matendo yake yatadumu milele.

Pia soma: TANZIA - Askofu Mstaafu wa Dayosisi ya Kaskazini ( KKKT) Dkt. Erasto Kweka afariki Dunia
CHADEMA mmeamua kuishi kinafiki tuu Sasa. Ulivyotaja majina kwenye heading, tofauti na ulivyoyapangilia kwenye maudhui. Unaridhisha pande zote mbili (mbowe na lissu) (lissu na mbowe). Poleni sana
 
Hongera kwao. Wamalize chap tunawasubiri Hanang. Wasisahau magodoro na blankets kwa ajili ya waathirika
Chadema haina budget ya magodoro na blankets bali wanachama wake kama Watanzania wengine kupitia kodi zao ilipatikana budget ya kupeleka kitengo cha Maafa chini ya waziri mkuu.
Na kwa vile matukio ya maafa kwa nchi hii ni nadra sana pesa zilizopo zinaweza kuhudumia tukio la Kateshi bila hata kuombaomba misaada kama blankets na magodoro labda Manpower katika uokoaji tuu.
Ila kama pesa zimeliwa (kama kawaida yao kula hadi rambirambi) tufahamishwe na walaji wawajibishwe.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom