Pre GE2025 Freeman Mbowe: Naagiza ngazi zote za chama ziandae wagombea wa kushinda Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025

Pre GE2025 Freeman Mbowe: Naagiza ngazi zote za chama ziandae wagombea wa kushinda Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Akihutubia kwenye mkutano wa BAWACHA, Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe emetoa agizo kwa Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika kuhakikisha ngazi zote za chama nchi zima zinaandaa viongozi wa kugombea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 na uchaguzi mkuu mwaka 2025. Viongozi hawa wawe na sifa za kushinda uchaguzi.

"Niwaagize mama zangu, rudini kwenye majimbo yenu kakipangeni chama, kila kitongoji, kila kijiji, kila mtaa. Hakuna kitongoji ambacho kitapita bila kupingwa na CHADEMA katika uchaguzi ujao, hakuna"

Mbowe ameongeza kuwa viongozi wazembe ambao hawataweka watu wa kugombea nafasi za uongozi kwenye chaguzi zijazo watachukuliwa hatua.

Amesema macho yote ya watanzania yapo kwa CHADEMa hivyo ni lazima wasimamishe viongozi kwa kila ngazi.

"Naagiza, na siyo kwa BAWACHA peke yake, katibu mkuu tafadhari na mfumo mzima wa mabaraza yote ya chama, kila kiongozi ahakikishe kila nafasi inayogombewa katika serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, lazima CHADEMA iweke mgombea, na siyo mgombea tu wa kujaza nafasi, mgombea wa ushindani wa kushinda."

Amewataka kwenda kusuka chama kwa nguvu ili waizike CCM kwenye chaguzi zijazo.
Napongeza maamuzi na maagizo ya Mkt Mbowe kushiriki chaguzi
kuendelea kususia uchaguzi ni kuendelea kukidhoofisha chama ,
Ni Bora kutumia Kila nafasi inayotokea
Uchaguzi utawaongezea nguvu upinzani hata Kama sio kwa kiwango tunachotamani

INGAwa naendelea na msimamo wangu wa kumshauri achie ngazi kwa heshima , aachie chama kitegemee Mifumo imara sio kiongozi imara
 
Mbowe mjanja anajua kutafuta pesa.Anacholenga si kuwa wagombea lazima washinde anataka kuokota maokoto ya kura kila sehemu sababu chama cha siasa ili kipate ruzuku kigezo ni idadi ya kura kilizopata kwenye uchaguxi.Ndio maana kawa mkali kuwa kila sehemu wasimamishe watu wenye uwezo mkubwa wa ushindani wanaaminika waweza kukipa chama kura nyingi ambazo mwishoni zitaleta ruzuku nyingi kule makao makuu ya chama

Hapo inawindwa ruzuku hasa ndio maana kasema tutasimamisha wagombea kila eneo la uchaguzi hatuachi mahali .maokoto ya kura kwake muhimu sana akipata hapa Mia kule 20 nk si haba mwisho wa siku jumla itasaidia kwenye kikokotoo cha kupata ruzuku hata wasiposhinda nafasi yeyote
Ndio maana agenda ya kusems Chadema haitashiriki uchaguzi wowote hadi iwepo tume huru na katiba mpya ameitupilia mbali.Pesa ya ruzuku ni zaidi ya tume huru na katiba mpya kwake.Akose pesa kisa tume huru na katiba mpya .Sio Mbowe wa kilimanjaro

Chezea pesa wewe
Hahaha

kaamua kukomaa na uwekezaji wa kwny Siasa unalipa sana
 
Katiba iliyopendekezwa mliigeuzia jina mkaiita Katiba inayodekezwa !!! Mkawa mnataka ile rasimu ya maoni ya warioba ndio iwe katiba kamili hivi mlikuwa serious??? Kuleni chuma hicho hakuna cha katiba mpya 😃😃

..hakuna Katiba itakayopendekezwa ambayo itaungwa mkono na kila mtu 100%.

..hoja yangu ni kwamba Ccm walikamilisha mchakato ktk bunge maalum na kupitisha Katiba pendekezwa.

..sasa haijulikani kwanini Ccm hawakuileta katiba hiyo kwa wananchi ili ipigiwe kura ya kukubaliwa, au kukataliwa.
 
Chadema mbona hamueleweki si mmesema hamtashiriki uchaguzi mkuu? Huku sultan aanasema mjiandae au hampo pamoja kwenye maamuzi?

Cc; Erythrocyte
 
Akihutubia kwenye mkutano wa BAWACHA, Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe emetoa agizo kwa Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika kuhakikisha ngazi zote za chama nchi zima zinaandaa viongozi wa kugombea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 na uchaguzi mkuu mwaka 2025. Viongozi hawa wawe na sifa za kushinda uchaguzi.

"Niwaagize mama zangu, rudini kwenye majimbo yenu kakipangeni chama, kila kitongoji, kila kijiji, kila mtaa. Hakuna kitongoji ambacho kitapita bila kupingwa na CHADEMA katika uchaguzi ujao, hakuna"

Mbowe ameongeza kuwa viongozi wazembe ambao hawataweka watu wa kugombea nafasi za uongozi kwenye chaguzi zijazo watachukuliwa hatua.

Amesema macho yote ya watanzania yapo kwa CHADEMa hivyo ni lazima wasimamishe viongozi kwa kila ngazi.

"Naagiza, na siyo kwa BAWACHA peke yake, katibu mkuu tafadhari na mfumo mzima wa mabaraza yote ya chama, kila kiongozi ahakikishe kila nafasi inayogombewa katika serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, lazima CHADEMA iweke mgombea, na siyo mgombea tu wa kujaza nafasi, mgombea wa ushindani wa kushinda."

Amewataka kwenda kusuka chama kwa nguvu ili waizike CCM kwenye chaguzi zijazo.
 
Akihutubia kwenye mkutano wa BAWACHA, Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe emetoa agizo kwa Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika kuhakikisha ngazi zote za chama nchi zima zinaandaa viongozi wa kugombea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 na uchaguzi mkuu mwaka 2025. Viongozi hawa wawe na sifa za kushinda uchaguzi.

"Niwaagize mama zangu, rudini kwenye majimbo yenu kakipangeni chama, kila kitongoji, kila kijiji, kila mtaa. Hakuna kitongoji ambacho kitapita bila kupingwa na CHADEMA katika uchaguzi ujao, hakuna"

Mbowe ameongeza kuwa viongozi wazembe ambao hawataweka watu wa kugombea nafasi za uongozi kwenye chaguzi zijazo watachukuliwa hatua.

Amesema macho yote ya watanzania yapo kwa CHADEMa hivyo ni lazima wasimamishe viongozi kwa kila ngazi.

"Naagiza, na siyo kwa BAWACHA peke yake, katibu mkuu tafadhari na mfumo mzima wa mabaraza yote ya chama, kila kiongozi ahakikishe kila nafasi inayogombewa katika serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, lazima CHADEMA iweke mgombea, na siyo mgombea tu wa kujaza nafasi, mgombea wa ushindani wa kushinda."

Amewataka kwenda kusuka chama kwa nguvu ili waizike CCM kwenye chaguzi zijazo.
Katiba mpya na tume huru zimepatikana!!?

Mbowe. Umefika bei!!?

Hakuna katiba wala time huru uchaguzi wa Nini huo!!?

RIP Tanzania!
 
..hakuna Katiba itakayopendekezwa ambayo itaungwa mkono na kila mtu 100%.

..hoja yangu ni kwamba Ccm walikamilisha mchakato ktk bunge maalum na kupitisha Katiba pendekezwa.

..sasa haijulikani kwanini Ccm hawakuileta katiba hiyo kwa wananchi ili ipigiwe kura ya kukubaliwa, au kukataliwa.
Dai la Katiba mpya ni dai la Wanasiasa wajanja wajanja ambao hupenda kusingizia kuwa ni hitaji la Wananchi

kwa kuwa hao hao waliomshawishi Rais Msikivu kuwahi kutokea hapa Nchini Dr Kikwete aanzishe mchakato wa Katiba mpya ndio hao hao walimshinikiza asistishe asimalizie na kura ya maoni na akawasikilize

kipaumbele Chao hao WajasiriaSiasa ni ruzuku na sio Katiba mpya hivyo Katiba mpya imekosa mwamko na na msisitizo


Sasa hivi kipaumbele cha Freeman Mbowe ni kuhakikisha kila eneo lipate Mgombea mwenye Mvuto hata kama hawatoshinda anajua itasaidia kwny kuongeza fedha za Ruzuku …
 
Dai la Katiba mpya ni dai la Wanasiasa wajanja wajanja ambao hupenda kusingizia kuwa ni hitaji la Wananchi

kwa kuwa hao hao waliomshawishi Rais Msikivu kuwahi kutokea hapa Nchini Dr Kikwete aanzishe mchakato wa Katiba mpya ndio hao hao walimshinikiza asistishe asimalizie na kura ya maoni na akawasikilize

kipaumbele Chao hao WajasiriaSiasa ni ruzuku na sio Katiba mpya hivyo Katiba mpya imekosa mwamko na na msisitizo


Sasa hivi kipaumbele cha Freeman Mbowe ni kuhakikisha kila eneo lipate Mgombea mwenye Mvuto hata kama hawatoshinda anajua itasaidia kwny kuongeza fedha za Ruzuku …

..Kati ya Katiba Mpya na hii ya sasa ipi ina afadhali kwetu wananchi wa kawaida?

..Je, wanaong'ang'ania katiba iliyopo ruzuku sio matamanio na kipaumbele kwa chama chao?
 
..Kati ya Katiba Mpya na hii ya sasa ipi ina afadhali kwetu wananchi wa kawaida?

..Je, wanaong'ang'ania katiba iliyopo ruzuku sio matamanio na kipaumbele kwa chama chao?
Alieanzisha Mchakato wa Katiba mpya alikuwa Rais kutokea NLD au TLP?

Mwenyekiti wa mchakato wa Katiba Mpya Mzee Warioba ni NCCR Mageuzi ?

unajua Prof Mwesiga Baregu Mjumbe wa Tume ile Chama chake kilimtaka ajitoe kwmy mchakato ule?

unajua kuna vyama vilijitoa katika hatua za mwisho mchakato ule ukwame leo wanataka uendelee pale ulipoishia wakati enzi zile walitaka mchakato uanze upya ?
 
Alieanzisha Mchakato wa Katiba mpya alikuwa Rais kutokea NLD au TLP?

Mwenyekiti wa mchakato wa Katiba Mpya Mzee Warioba ni NCCR Mageuzi ?

unajua Prof Mwesiga Baregu Mjumbe wa Tume ile Chama chake kilimtaka ajitoe kwmy mchakato ule?

unajua kuna vyama vilijitoa katika hatua za mwisho mchakato ule ukwame leo wanataka uendelee pale ulipoishia wakati enzi zile walitaka mchakato uanze upya ?

..mchakato haukukwama.

..bunge maalum lilikamilisha kazi yake na liliandika KATIBA PENDEKEZWA.

..hatua iliyotakiwa kufuata ni kuandaa kura ya maoni kukubali au kukataa Katiba Pendekezwa.

..kwasababu Ccm ndio wenye serikali, bunge, na tume ya uchaguzi, na hawakuitisha kura ya maoni, basi wanastahili lawama kwa kuitupilia mbali Katiba Pendekezwa.
 
Akihutubia kwenye mkutano wa BAWACHA, Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe emetoa agizo kwa Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika kuhakikisha ngazi zote za chama nchi zima zinaandaa viongozi wa kugombea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 na uchaguzi mkuu mwaka 2025. Viongozi hawa wawe na sifa za kushinda uchaguzi.

"Niwaagize mama zangu, rudini kwenye majimbo yenu kakipangeni chama, kila kitongoji, kila kijiji, kila mtaa. Hakuna kitongoji ambacho kitapita bila kupingwa na CHADEMA katika uchaguzi ujao, hakuna"

Mbowe ameongeza kuwa viongozi wazembe ambao hawataweka watu wa kugombea nafasi za uongozi kwenye chaguzi zijazo watachukuliwa hatua.

Amesema macho yote ya watanzania yapo kwa CHADEMa hivyo ni lazima wasimamishe viongozi kwa kila ngazi.

"Naagiza, na siyo kwa BAWACHA peke yake, katibu mkuu tafadhari na mfumo mzima wa mabaraza yote ya chama, kila kiongozi ahakikishe kila nafasi inayogombewa katika serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, lazima CHADEMA iweke mgombea, na siyo mgombea tu wa kujaza nafasi, mgombea wa ushindani wa kushinda."

Amewataka kwenda kusuka chama kwa nguvu ili waizike CCM kwenye chaguzi zijazo.
Tususie uchaguzi bila katiba mpya, sasa hivi shiriki uchaguzi kwa nguvu zote, bila ya Katiba mpya?!!
 
Back
Top Bottom