Freeman Mbowe ni bilionea pekee aliyebakia kwenye siasa za majukwaani. Je, atapigania Katiba Mpya hadi mwisho?

Cha ajabu wafuasi wake ni masikini wanashinda njaa
 
Wewe za kwako na za familia ziko wapi?
Mbona Mo ni za familia hamsemi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…