Freeman Mbowe: Ni dhahiri sasa Serikali ya Rais Samia inarejesha Utawala wa mabavu usiothamini haki, Uhuru na Demokrasia

Acheni matusi kwenye mikutano yenu na mukome kudhalilisha dini ya kiislamu na waislamu lakini pia muache ubaguzi kuwadhalilisha wazanzibari na jengeni hoja kwenye majukwaa muimarishe chama chenu muvune wanachama wapya ili uchaguzi ukiwadia tuone malengo ya chadema msiwe kama ngombe

Tundu Lissu zamani alikuwa mjengaji mzuri wa hoja na tukimkubali sana lakini sasa ni kama ameishiwa na maneno, anahubiri demokrasia ya nchi za ulaya iwe exercised Tz ili mashoga waoane hilo jambo kwa utamaduni wetu na kwa maarisho ya dini yetu halikubaliki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…