Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Kupambana na marehemu niujinga usio pimika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupambana na marehemu niujinga usio pimika.
Tulia basi wewe chawaOna huyu Msukuma..... Mwendazake alivyokuwa anawaua alikuwa anajibu hoja au?
Huyo jamaa nafikiri ni muunga juhudi uchwara hata enzi ile ya awm5,alikuwa anatuchora kinara huku akitoa namba kisiri siri 😂Hicho ndiyo kiapo chetu wana cdm
Jiwe likisha geuka kichuguuKupambana na marehemu niujinga usio pimika.
Hao ndiyo mazuzu wanafanya kuunga mkono wakati majumbani mwao wanashindia kashataHuyo jamaa nafikiri ni muunga juhudi uchwara hata enzi ile ya awm5,alikuwa anatuchora kinara huku akitoa namba kisiri siri [emoji23]
Huyo makamu anatakatl kutuvurugia amani yetu wakati tunajua fika yeye akiona mambo yamemchachia anakimbilia ubalozi na kusindikizwa kwenda airport kukwea pipa kwenda ughaibuni hata familia yake haipo nchini. Ashindwe na alegee asituchafulie nchi yetu sisi wengine hatuna la kukimbilia.
Muarabu na PAJERO MMASAI NA KATAMBUGAMnaficha kitu gani ngorongoro?
Aijakusemea wewe endelea naye mwenzako hachelewi kukimbilia ubalozi kisha kusindikizwa hadi ughaibuni wewe mwenzangu mimi tunabakia humu humu Tanzania. Garagabaho.Usituongelee susi jiongelee wewe. Anafaa sana na hakika tutampigania na tutapigana naye hadi tone letu la mwisho
Ashughulikiwe na wafuasi wake wanaofuata upepo kama wewe mwenzako hakawii kukimbilia ubalozini na kupelekwa airport kupanda ndege kurudi alikotoka wewe na mimi tunabakia hapa hapa.Eti ashugulikiwe!!!!
Alishindwa kumshughulikia yule sheitwan wenu itakuwa hawa wasaidizi wake?
Umaarufu au ulimbukeniKwa akili yako wewe unadhani Lissu anahitaji umaarufu?
Lissu ni maarufu mara dufu ya wana ccm wote.
Utajua weweUmaarufu au ulimbukeni
Hata wewe mwenzako akikimbia ughaibuni huna pa kukimbilia si ajabu hata pasipoti hunaMnaficha kitu gani ngorongoro?
Haya maswali Lissu alipaswa aziulize mamlaka husika badala ya kufunga barabara na wafuasi wake. Foolish pride, halafu anataka uongozi wa nchi na akili hiyoKuna nini Ngorongoro mpaka pawepo katazo kwa Lissu na waandishi wa habari.
Nenda kabilishe sanitary padsUngetiita stunted ungeeleweka zaidi.
Aijakusemea wewe endelea naye mwenzako hachelewi kukimbilia ubalozi kisha kusindikizwa hadi ughaibuni wewe mwenzangu mimi tunabakia humu humu Tanzania. Garagabaho.
Anakimbia Risasi za Wauaji kama wewe.Aijakusemea wewe endelea naye mwenzako hachelewi kukimbilia ubalozi kisha kusindikizwa hadi ughaibuni wewe mwenzangu mimi tunabakia humu humu Tanzania. Garagabaho.
Ulimbukeni,??, wewe unaweza kujilinganisha na Lissu ata kwa 0,001%, Sarakasi zote hizi za kukamatwa ni kiwewe cha kumuogopa. Lissu ni mtu na nusu ingawa watu mmeshikiwa akili lakini huo ndiyo ukweli. Limbukeni ni nyie mnaobeba viatu vya watu lakini yeye shida yake ni haki kama ni umaarufu keshakuwa nao tangu kitambo.Umaarufu au ulimbukeni
Mkishindwa kuzisoma na kuzielewa mbinu za watu wanaotapatapa wakati huu na kufanya makosa ya kuwapa mwanya, lawama itakuwa kwa chama chenu.View attachment 2744983
Tunalaani ukamataji, unyanyasaji, usumbufu unaofanywa na Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Dola kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama chetu Mhe Tundu Lissu, viongozi wengine waandamizi wa ngazi mbalimbali, wanachama na wapenzi wetu huko Mkoani Arusha.
Kwa uzito huo huo, tunalaani uzuiaji wa mikutano yetu na shughuli halali za kisiasa huko Ngorongoro, Loliondo na Karatu.
Tuna hofu kubwa ya usalama wa watu wetu na ni dhahiri sasa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inarejesha Utawala wa mabavu usiothamini haki, Uhuru na Demokrasia. Tunafuatilia kwa karibu na tunadai kuachiliwa haraka na bila masharti kwa watu wetu wote!
Freeman Mbowe
Mtandao wa X
Pia soma: Breaking News: - Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu