Freeman Mbowe: Ni dhahiri sasa Serikali ya Rais Samia inarejesha Utawala wa mabavu usiothamini haki, Uhuru na Demokrasia

Kwa hiyo Mbowe alidhania kuachiwa kufanya mikutano ya hadhara ni ndiyo ruhusa ya kuvunja sheria??
Uwache tu huo utawala wa mabavu uendelee kuliko huu ujinga anaoendekeza Lisssu. Umeambiwa na Polisi hakuna kwenda Ngorongoro, unakaidi. Unategemea Polisi wacheke na nyani?
 
These so called maraisi wa hizi nchi za ki-Africa wasiokuwa na idea ya nini maana ya uongozi kwa sababu tu wanajikuta wana connection na wanaoweza kuwalinda na kuwaweka madarakani huwa hawapendi kuambiwa ukweli!

Yeye anakusanya watu haambiwi anafanya mkusanyiko ila wengine wakifanya kile kile anachokifanya wanaonekana wamevunja sharia.
 
Mh Mbowe inakubidi ujue kuwa ccm haijawahi kuwa na dhamira njema kwa wapinzani.

Jua kuwa maisha ya ccm na wapinzani ni sawa na yale ya paka na panya
 
Nilikuwa namuangalia mbowe alivoachiwa sero eti kila siku yuko ikulu kuyajenga na mama dizaini kujifanya ndo mshikaji kindakindaki wa mama na kila siku kumchafua Jiwe, kimoyo moyo nikasema nyoko wewe huwajui ccm ngoja ujichanganye uingie kwenye maslahi yao ndo utawajua vizuri. Ni zaidi ya Workers Party cha North Korea ukiingia kingese kwenye 18 zao
 
Huyo makamu anatakatl kutuvurugia amani yetu wakati tunajua fika yeye akiona mambo yamemchachia anakimbilia ubalozi na kusindikizwa kwenda airport kukwea pipa kwenda ughaibuni hata familia yake haipo nchini. Ashindwe na alegee asituchafulie nchi yetu sisi wengine hatuna la kukimbilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…