Freeman Mbowe: Ni dhahiri sasa Serikali ya Rais Samia inarejesha Utawala wa mabavu usiothamini haki, Uhuru na Demokrasia

Huyo jamaa nafikiri ni muunga juhudi uchwara hata enzi ile ya awm5,alikuwa anatuchora kinara huku akitoa namba kisiri siri [emoji23]
Hao ndiyo mazuzu wanafanya kuunga mkono wakati majumbani mwao wanashindia kashata
 

Mnaficha kitu gani ngorongoro?
 
Usituongelee susi jiongelee wewe. Anafaa sana na hakika tutampigania na tutapigana naye hadi tone letu la mwisho
Aijakusemea wewe endelea naye mwenzako hachelewi kukimbilia ubalozi kisha kusindikizwa hadi ughaibuni wewe mwenzangu mimi tunabakia humu humu Tanzania. Garagabaho.
 
Eti ashugulikiwe!!!!
Alishindwa kumshughulikia yule sheitwan wenu itakuwa hawa wasaidizi wake?
Ashughulikiwe na wafuasi wake wanaofuata upepo kama wewe mwenzako hakawii kukimbilia ubalozini na kupelekwa airport kupanda ndege kurudi alikotoka wewe na mimi tunabakia hapa hapa.
 
Kuna nini Ngorongoro mpaka pawepo katazo kwa Lissu na waandishi wa habari.
Haya maswali Lissu alipaswa aziulize mamlaka husika badala ya kufunga barabara na wafuasi wake. Foolish pride, halafu anataka uongozi wa nchi na akili hiyo
 
Aijakusemea wewe endelea naye mwenzako hachelewi kukimbilia ubalozi kisha kusindikizwa hadi ughaibuni wewe mwenzangu mimi tunabakia humu humu Tanzania. Garagabaho.

Kwamba anakimbilia ubalozi mnapotaka kumwua? Mumiani wakubwa nyie.

Bure kabisa!
 
Aijakusemea wewe endelea naye mwenzako hachelewi kukimbilia ubalozi kisha kusindikizwa hadi ughaibuni wewe mwenzangu mimi tunabakia humu humu Tanzania. Garagabaho.
Anakimbia Risasi za Wauaji kama wewe.
 
Umaarufu au ulimbukeni
Ulimbukeni,??, wewe unaweza kujilinganisha na Lissu ata kwa 0,001%, Sarakasi zote hizi za kukamatwa ni kiwewe cha kumuogopa. Lissu ni mtu na nusu ingawa watu mmeshikiwa akili lakini huo ndiyo ukweli. Limbukeni ni nyie mnaobeba viatu vya watu lakini yeye shida yake ni haki kama ni umaarufu keshakuwa nao tangu kitambo.
 
Mkishindwa kuzisoma na kuzielewa mbinu za watu wanaotapatapa wakati huu na kufanya makosa ya kuwapa mwanya, lawama itakuwa kwa chama chenu.

CCM wapo katika hali ngumu sana wakati huu. Watatumia kila njia inayowasaidia kujiondoa katika hali hiyo ngumu.

Waonyesheni waTanzania sasa, kuwa mmefikia ukomavu wa kujua mbinu mbovu na kuzishinda.

Mkiingia kwenye mitego ya kijinga inayowekwa na CCM wakati huu itakuwa wazi hamjawa na ukomavu wa kutosha.

Hili swala la Loliondo/Ngorongoro ni tufufu yenu yenye nguvu, lakini CCM wapo tayari kuligeuza kuwa udhaifu wenu mkubwa kama chama.

Msifanye papara, Makamu Mwenyekiti atatoka tu kama hakuna sheria iliyovunjwa. CCM hawana uwezo tena wa kupindisha sheria na dunia nzima isijue. Wanatafuta fursa chache kama hizi kujaribu kuhadaa dunia waonekane bado wanao uhalali kuwa watawala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…