daza steven
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 359
- 358
Yaani ukitofautiana kidogo tu na Mbowe uje nje. Haya yametokea baada ya kuwaengua wabunge wote wa CUF na James Mbatia katika baraza la mawaziri vivuli bungeni yeye kama mnadhimu mkuu wa kambi rasimi ya upinzani bungeni. Hili limekuja kutokana na kutofautiana kisiasa katika vyama hivi, wakati wote ni wapinzani na ni wabunge na ni watanzania.
Tofauti kabisa na Dr. Magufuli katika chama chake, yeye ni tofauti hata watu waliokuwa wanampinga na wanamtukana mitusi amewaweka kumsaidia hili kujenga nchi sasa huyu dicteta Freeman kama angechukua nchi na tabia yeke ya visasi siingekuwa balaa na wapinzani wake wangetamani dunia ipasuke waingie, huyu jamaa licha ya kuwa mwenyekiti wa maisha pia ni mkabila.
Zito alipishana nae kisiasa alifukuzwa kama mwizi katika chama na mchango wake wote ulisaaulika kabisa, Kitila Mkumbo walipishana naye baadaye alikimbilia CCM kwa usalama wake na sasa anajenga nchi. Fredrick Sumaye alitofautiana na Mboye yeye yaliyomkuta kila mtu aliona yaani Mh. Sumaye macho yalimtoka kama fundi saa. Kuna mtu alikuwa anaitwa Chacha Wangwe huyu alitofautiana na dicteta Mboe baadae aliuwawa katika kifo cha kutatanisha.
Tunamshukuru Mungu kwa kulipenda taifa hili la Tanzania kwa kuendelea kuiruhusu CCM itawale hadi hapo kitakapotokea chama ambacho mwenyekiti wake si mwenyekiti wa maisha kama Freeman Mbowe, kwani ni hatari kwa taifa kuwa na mwenyekiti anaemiliki chama yaani chama chake hatari sana. Nikweli watu wengi wanaupenda upinzani lakini hawajapata kiongozi mzuri wa kuwafikisha watakako kufika.
Ikumbukwe kuwa sababu kubwa ya kuletwa na kulazimiswa kuingia katika mfumo wa vyama vingi ni kubadilishana vijiti katika uongozi yaani democrasia. Sasa angalia kwa dicteta Freemani Mboe yeye sasa anakariabia miaka 30 sasa katika kiti. Je, ipi maana ya mfumo wa vyama vingi ambapo yeye amekuja kuleta demaocrasia wakati ni dicteta hata Nkuruzinza amejirekebisha. Na ukitaka kuona balaa jifanye unautaka uwenyekiti wa Chadema ndiyo utauona mziki wake utaitwa majina yote mabaya hili upigwe na utaweza kuijua vizuri Redbregedia Nyekundu.
Mshaurini jamani huyo jamaa abadilike kutofautiana kisiasa si uadui awarudishe wabunge wa CUF na Mbatia hili kujenga upinzani imara, huo utakuwa ukomavu wa kisiasa katika kujenga upinzani imara na Ukawa kuwa imara hili wachukue siku moja.
Tofauti kabisa na Dr. Magufuli katika chama chake, yeye ni tofauti hata watu waliokuwa wanampinga na wanamtukana mitusi amewaweka kumsaidia hili kujenga nchi sasa huyu dicteta Freeman kama angechukua nchi na tabia yeke ya visasi siingekuwa balaa na wapinzani wake wangetamani dunia ipasuke waingie, huyu jamaa licha ya kuwa mwenyekiti wa maisha pia ni mkabila.
Zito alipishana nae kisiasa alifukuzwa kama mwizi katika chama na mchango wake wote ulisaaulika kabisa, Kitila Mkumbo walipishana naye baadaye alikimbilia CCM kwa usalama wake na sasa anajenga nchi. Fredrick Sumaye alitofautiana na Mboye yeye yaliyomkuta kila mtu aliona yaani Mh. Sumaye macho yalimtoka kama fundi saa. Kuna mtu alikuwa anaitwa Chacha Wangwe huyu alitofautiana na dicteta Mboe baadae aliuwawa katika kifo cha kutatanisha.
Tunamshukuru Mungu kwa kulipenda taifa hili la Tanzania kwa kuendelea kuiruhusu CCM itawale hadi hapo kitakapotokea chama ambacho mwenyekiti wake si mwenyekiti wa maisha kama Freeman Mbowe, kwani ni hatari kwa taifa kuwa na mwenyekiti anaemiliki chama yaani chama chake hatari sana. Nikweli watu wengi wanaupenda upinzani lakini hawajapata kiongozi mzuri wa kuwafikisha watakako kufika.
Ikumbukwe kuwa sababu kubwa ya kuletwa na kulazimiswa kuingia katika mfumo wa vyama vingi ni kubadilishana vijiti katika uongozi yaani democrasia. Sasa angalia kwa dicteta Freemani Mboe yeye sasa anakariabia miaka 30 sasa katika kiti. Je, ipi maana ya mfumo wa vyama vingi ambapo yeye amekuja kuleta demaocrasia wakati ni dicteta hata Nkuruzinza amejirekebisha. Na ukitaka kuona balaa jifanye unautaka uwenyekiti wa Chadema ndiyo utauona mziki wake utaitwa majina yote mabaya hili upigwe na utaweza kuijua vizuri Redbregedia Nyekundu.
Mshaurini jamani huyo jamaa abadilike kutofautiana kisiasa si uadui awarudishe wabunge wa CUF na Mbatia hili kujenga upinzani imara, huo utakuwa ukomavu wa kisiasa katika kujenga upinzani imara na Ukawa kuwa imara hili wachukue siku moja.