Freeman Mbowe ni zaidi ya Dikteta

Freeman Mbowe ni zaidi ya Dikteta

We na Familia ya Aikaeli Mbowe nani wana mali?
Kwa hiyo unaamini Mbowe anahitaji kulishwa na cdm?
Kama haihutaji kulishwa kwanini asiachie ngazi maana ameshazeeka Sasa tangia kijana mpaka Leo yeye yupo tu kwenye uwenyekiti ujue anakitu anakipata
 
Huwa najiuliza hivi huyu jamaa Freeman Mbowe tangia akiwa kijana anahubiri demokrasia kwenye hii nchi mpaka amezeeka haoni vizuri lakini yeye mwenyewe ndani ya chama chake ni diktekta wa uenyekiti tangia akalie hicho kiti ni miaka ya mtu mzima Sasa lakini jamaa hataki kupisha mtu mwingine akalie hicho kiti.

Huyu jamaa tunakuwa na wasiwasi nae asije chukua nchi halafu yakawa mambo ya Mugabe kujimilikisha Mali na kukataa kutoka madarakani, Mbowe hataki kuachia uenyekiti sababu anajua pesa za ruzuku ya chama ni tamu nawaambieni watanzania mkitaka CCM itoke madarakani anzeni na diktekta Mbowe, huyu jamaa hafai kuwa mwenyekiti hata kama chama kaanzisha baba yake, kiufupi Mbowe kazeeka na ni tapeli tu.
Mbowe hajawahi kuwa dikteta bali wanachama wake tunamkubali maana Sera yetu ni UHURU na WATU.Watu tu ko huru kumweka kiongozi tunayemtaka na siyo kuamriwa na vibaraka wa ccm.
 
Kwanin hampigi kelele kinana asiachie ngazi?
Vipi kina Cheyo
Lipumba hamuwaoni?
Tunaanza na mbowe tapeli anaehubiri demokrasia Kila siku na chama chake kinaitwa chama Cha demokrasia na maendeleo lakini yeye mwenyewe Hana demokrasia chamani
 
Tunaanza na mbowe tapeli anaehubiri demokrasia Kila siku na chama chake kinaitwa chama Cha demokrasia na maendeleo lakini yeye mwenyewe Hana demokrasia chamani
Mngeanza na kinana alieko chama tawa akiwa kiongozi toka 1995 hadi leo
Na masisiemu mengine yote yanayoiba kura bila kificho kama Nape
 
We na Familia ya Aikaeli Mbowe nani wana mali?
Kwa hiyo unaamini Mbowe anahitaji kulishwa na cdm?
Mali gan!?
Acheni kudanganyana

Mnajua maana ya mali nyie?

Familia ya Freeman Uchagani hata 200 aipo kwa kumiliki hizo mali

Wao Wana hela za kubadili mboga tu ndg

Hayo magofu Baba yake aliopewa na Nyerere ndio unayashobokea?

Kwa Taarifa yako Mbowe kapatia pesa Kwenye chama Cha Chadema Hana mishe nyingine ya maana
 
Mbowe hajawahi kuwa dikteta bali wanachama wake tunamkubali maana Sera yetu ni UHURU na WATU.Watu tu ko huru kumweka kiongozi tunayemtaka na siyo kuamriwa na vibaraka wa ccm.
Mbowe ni diktekta mlevi wa madaraka kwanini akae kwenye uwenyekiti mpaka amezeeka haoni mbele inamaana yeye ndio mwenye akili peke yake chadema
 
Mali gan!?
Acheni kudanganyana

Mnajua maana ya mali nyie?

Familia ya Freeman Uchagani hata 200 aipo kwa kumiliki hizo mali

Wao Wana hela za kubadili mboga tu ndg

Hayo magofu Baba yake aliopewa na Nyerere ndio unayashobokea?

Kwa Taarifa yako Mbowe kapatia pesa Kwenye chama Cha Chadema Hana mishe nyingine ya maana
Nyerere mwenyewe alitegemea familia ya akina Mbowe.
 
Nyerere mwenyewe alitegemea familia ya akina Mbowe.
Hizo zilipendwa kaka

Familia ya mbowe ni ya kawaida kabisa Uchagani

Enzi za kupigania uhuru hizo familia yao ni ya kawaida

Na hapa salasala napavizia kwa Kaka yake nipanunue kote maana vijana wameshauza karibu eneo lote

Nyie mnadanganyana sana
 
Hizo zilipendwa kaka

Familia ya mbowe ni ya kawaida kabisa Uchagani

Enzi za kupigania uhuru hizo familia yao ni ya kawaida

Na hapa salasala napavizia kwa Kaka yake nipanunue kote maana vijana wameshauza karibu eneo lote

Nyie mnadanganyana sana
Nunua tu ni haki yako.Lakini kumbuka kuwa Mbowe ni Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani kwa sasa ambacho kilikuwa nyuma ya NCCR-MAGEUZI,CUF,TLP,DP.Leo chini ya uongozi shupavu wa Mbowe grafu imepaa na kusababisha CCM kuacha kuamini katika kura sasa wanaamini katika maamuzi ya Rais na Vyombo vya Ulinzi na Usalama.
 
Hizo zilipendwa kaka

Familia ya mbowe ni ya kawaida kabisa Uchagani

Enzi za kupigania uhuru hizo familia yao ni ya kawaida

Na hapa salasala napavizia kwa Kaka yake nipanunue kote maana vijana wameshauza karibu eneo lote

Nyie mnadanganyana sana
Sijawahi ona mchaga mjinga,ndo mana miaka mingi kitovu Cha CDM ni Kilimanjaro.Kwa sababu wachaga wanajitambua,mtu na akili timamu alafu mchaga unakuaje ccm??
 
Sijawahi ona mchaga mjinga,ndo mana miaka mingi kitovu Cha CDM ni Kilimanjaro.Kwa sababu wachaga wanajitambua,mtu na akili timamu alafu mchaga unakuaje ccm??
Unadhani Chadema Kuna watu timamu?

Hakuna Wachaga wajinga? Unadhani akina Freeman ni wajanja sio?

Sikia dogo Chadema ipo Machame Wachaga halisi chama chao lilikua Tlp na nccr

Wachaga wengi wameachana na Siasa wanatafuta pesa hao wachache wa machame wanamuunga ndg yao mkono awapige pesa wajinga kama wewe
 
Unadhani Chadema Kuna watu timamu?

Hakuna Wachaga wajinga? Unadhani akina Freeman ni wajanja sio?

Sikia dogo Chadema ipo Machame Wachaga halisi chama chao lilikua Tlp na nccr

Wachaga wengi wameachana na Siasa wanatafuta pesa hao wachache wa machame wanamuunga ndg yao mkono awapige pesa wajinga kama wewe
Hahaha 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unadhani Chadema Kuna watu timamu?

Hakuna Wachaga wajinga? Unadhani akina Freeman ni wajanja sio?

Sikia dogo Chadema ipo Machame Wachaga halisi chama chao lilikua Tlp na nccr

Wachaga wengi wameachana na Siasa wanatafuta pesa hao wachache wa machame wanamuunga ndg yao mkono awapige pesa wajinga kama wewe
🤣🤣🤣🤣Jiwe limekupata utosini.Unafikiri Nini kimewarusdisha ccm??huwezi kupata hela ukiwa CDM,utabambikizwa Kodi mpaka ufe.lkn wachaga wajanja vichwa ngumu ngumu wako CDM.Viva Mbowe viva CDM.alafu wajinga wa Kwa kichaga ndo VISHUMUNDU??
 
Nunua tu ni haki yako.Lakini kumbuka kuwa Mbowe ni Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani kwa sasa ambacho kilikuwa nyuma ya NCCR-MAGEUZI,CUF,TLP,DP.Leo chini ya uongozi shupavu wa Mbowe grafu imepaa na kusababisha CCM kuacha kuamini katika kura sasa wanaamini katika maamuzi ya Rais na Vyombo vya Ulinzi na Usalama.
Chama kikuu Cha Upinzani 😂
🤣🤣🤣🤣Jiwe limekupata utosini.Unafikiri Nini kimewarusdisha ccm??huwezi kupata hela ukiwa CDM,utabambikizwa Kodi mpaka ufe.lkn wachaga wajanja vichwa ngumu ngumu wako CDM.Viva Mbowe viva CDM.alafu wajinga wa Kwa kichaga ndo VISHUMUNDU??
Uwajui Wachaga Vizuri

Tulia dogo
 
Back
Top Bottom