Freeman Mbowe ni zaidi ya Dikteta

Freeman Mbowe ni zaidi ya Dikteta

Kwanini sasa hizi Machinery zisilete hao watu sasa hivi? Ukiona mpaka ccm wanaweka mamluki wagombee na Mbowe ujue ndani ya chadema hakuna wa kushindana na Mbowe.
🤣🤣🤣🤣Yaan unalazimisha wafanye kwa matakwa yako? Never ever kila chama kina taratibu zake mkuu. Ndio maan wanaandaa watu wao ndan ya chama hawatokubali mapandikizi, Jambo lingine... Biashara ya atake asitake tuu taa muongezea muda hii inamaana hakukua na mwingine wa kuendeleza ilani ya CCM? Huu ni mfano wa hoja nimekupa ambao unashabihiana na mada.
 
Sumaye alipojaribu kugombea uenyekiti, aliambiwa hivi na Mbowe 'sumu haionjwi' bahati mbaya sisi wananchi na wanachama tuna upeo mdogo. Ila cheo cha mwenyekiti wa chama cha siasa chenye wanachama wengi, ni dili la kupiga pesa sana. Hakuna mtu ataacha hicho cheo never. Mwenyekiti wetu ni 'ntu ya dili'
 
P
Leo naangalia maigizo ya uchaguzi wa Mwenyekiti CCM.
Nimekodoa macho sana kuTV, nawaona wenzio mliyokuwa wote kwa Jiwe, akina Tulia wanajichezesha sana ili waonekane kwa Mama.
Weye wangoja nini kuwahi fursa hii ? Sikuoni.
Hivi ukijapata kura mbili tena, utamlilia nani?
NB.
Ngonjera zako za jf zilishakosaga mvuto hata kwa hao unaojaribu kuwaimbia mapambio.
 
Sumaye alipojaribu kugombea uenyekiti, aliambiwa hivi na Mbowe 'sumu haionjwi' bahati mbaya sisi wananchi na wanachama tuna upeo mdogo. Ila cheo cha mwenyekiti wa chama cha siasa chenye wanachama wengi, ni dili la kupiga pesa sana. Hakuna mtu ataacha hicho cheo never. Mwenyekiti wetu ni 'ntu ya dili'
After that Sumaye akarudi wapi 🤣🤣🤣🤣 ni moja ya mamb ulipaswa kujiuliza kwa kina, why alipokosa akarudi alikotoka kwann asingebaki CDM
 
Hali halisi mnaiona na mnashuhudia kuwa huyu mwenyekiti wetu ni mtu wa kujali biashara zake na sio chama chetu.

Mbaya zaidi amefanya chaka mali yake na hili ni kosa kubwa sana.

Sasa hivi anatambua kuwa hatuko vizuri kisiasa lakini amejificha Dubai.

Tupambane makamanda, tumuondoe madarakani, tupate mwenyekiti ambae atakuwa na nia njema na chama chetu. Sio kutugeuza sisi ndondocha.

La sivyo tutaambulia patupu.
Mkuu angalia vizuri wasije wakakuchachawangwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaan unalazimisha wafanye kwa matakwa yako? Never ever kila chama kina taratibu zake mkuu. Ndio maan wanaandaa watu wao ndan ya chama hawatokubali mapandikizi, Jambo lingine... Biashara ya atake asitake tuu taa muongezea muda hii inamaana hakukua na mwingine wa kuendeleza ilani ya CCM? Huu ni mfano wa hoja nimekupa ambao unashabihiana na mada.
Utake usitakeilikuwa hoja ya watu wachache wajinga na mwenyewe alilitolea ufafanuzi kwamba hataongeza hata sekunde 1. Na hii ya kujiongezea muda iliwahi kuwepo hata enzi za jk.

Kwa ishu ya Chadema, hoja yao kuu ni kwamba kwa miaka yote wanamuweka Mbowe maana wakiweka mwingine tofauti atauza chama.

Mbowe ni kiongozi mzuri lakini alipaswa kutengeneza tasisi yenye kujisimamia ila siyo hivi sasa ambapo taasisi inamtegemea yeye
 
Katiba ya CDM ina Mwenyekiti wa kudumu tu mpk akufe ndo uchaguzi ufanyike
 
CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema

Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha

kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Mataga ni hasara kwa nchi hata kureason tu ni tatizo, pole sana
 
Ungezijua sifa zitakiwazo Ili uitwe dikteta usingesema hivyo
 
CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema

Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha

kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Dictator keshakufa na kufukiwa chato,tz sasa hivi tuna raha kuliko nchi yeyote duniani,mbowe atakua mwenyekiti cdm mpka achoke...dada dawa ya genye ubanduliwe sio kutokwa povu,msalimie mzee halima
 
CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema

Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha

kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Bado tunamtaka huyohuyo Mbowe kwa sababu hanunuliki hatuwezi kumuamini kumpa chama mtu mwingine
 
Utake usitakeilikuwa hoja ya watu wachache wajinga na mwenyewe alilitolea ufafanuzi kwamba hataongeza hata sekunde 1. Na hii ya kujiongezea muda iliwahi kuwepo hata enzi za jk.

Kwa ishu ya Chadema, hoja yao kuu ni kwamba kwa miaka yote wanamuweka Mbowe maana wakiweka mwingine tofauti atauza chama.

Mbowe ni kiongozi mzuri lakini alipaswa kutengeneza tasisi yenye kujisimamia ila siyo hivi sasa ambapo taasisi inamtegemea yeye
Well nadhan wahusika wamekusikia kama una hoja watakubaliana nawe, but hua siamin kama mtu akiwa mpinzani wako atakutakia mafanikio.
 
Mbona Mbowe kwa CHADEMA ni sawa na Kim Jong un kwa Korea's Workers Party. Yaani badala ya kuwa binadamu mnamwabudu kama Mungu.
Kitu kimojq ninachomsifia meko ni kuwa hata ccm aliwanyoosha kweli kweli!!sasa hivi ndio mnaibuka ooh, mbona wakati yupo hai hakuna mtu alikuwa na sauti?!
 
Huyo faru John, hovyo kabisa. Ila kajikamatia nyumbu zake wa kutosha wenye kumpigia mapambio ya sifa usiku na mchana.
kama alivyo hovyo MEKO WENU mpaka ZILAILI 👹👹akaona bora amnyakue
 
Back
Top Bottom